Baraka FM

Recent posts

17 June 2025, 05:46

Rc dkt Homera apongeza baraza la madiwani kupanda kimapato

Kufuatia tamko la waziri wa TAMISEMI mh Mohamed Mchengerwa kuagizi ifikapo june 20 kuvunjwa kwa mabaraza ya madiwani Mkuu wa mkoa wa Mbeya akutana na madiwani Halmashauri ya jiji la na kuwapongeza Na Ezra Mwilwa Halmashauri ya Jiji la Mbeya…

14 June 2025, 15:46

Somabiblia wawatoa msaada kwa wahitaji

Kampuni ya soma Biblia imefikisha miaka kumi katika kuadhimisha miaka hiyo wametembelea jeshi la magereza Rwanda Mbeya kuwatazama wafungwa na kutoa msaada wa vitu mbalimbli. Na Ezra Mwilwa Wadau na taasisi mbalimbali wameombwa kutowatenga wahitaji badala yake wanatakiwa kujenga utamaduni…

12 June 2025, 18:32

CCM Mbeya watoa utaratibu

Kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2025 chama cha mapinduzi mkoa wa Mbeya waweka utaratibu wazi wa zoezi la uchukiaji wa fomu kwa ngazi za ubunge na udiwani. Na Ezra Mwilwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya kimetoa utaratibu kuelekea wa…

11 June 2025, 19:40

Watu wenye ulemavu Songwe waja naombi

kutokana na kuwepo kwa mashindano ya watu wenye ulemavu ngazi ya Taifa timu wa walemavu mkoa wa Songwe wameomba wadau mbalimbli kuwaunga mkono ili waweze kushiriki mashindano hayo. Na Ezra Mwilwa Timu ya soka ya walemavu wanaume mkoani Songwe wameomba…

11 June 2025, 16:35

Watu kadhaa wanusurika kifo ajalini simike,Mbeya

Jinamizi la ajali laendelea kuliandama jiji la Mbeya. ‎‎‎Na Hobokela Lwinga ‎‎Abiria waliokuwa wakisafiri kuelekea Tunduma kwa kutumia gari aina ya Coaster lenye namba za usajili T. 592 DKX linalofanya safari zake Mbeya – Tunduma wamenusurika kifo baada ya gari…

8 June 2025, 14:22

Watu 28 wafariki dunia ajalini Mbeya, Rais atoa mkono wa pole

Maisha ni hadithi na huwa yananyauka na kama maua,hali hiyo unaweza kuifananisha na maisha ya mwanadamu kwani huwa na nyakati tofauti mpaka kukifikia kifo. ‎‎Hobokela Lwinga ‎‎ WatuWatu 28 wamefariki dunia na wengine wanane kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari matatu…

6 June 2025, 21:53

Makanisa ya askofu Gwajima yafungwa Mbeya

Wakati waumini wa kanisa la ufufuo na uzima wakiwa katika sintofahamu kubwa juu ya wapi pa kuabudu, serikali imeendelea kuyafungia makanisa hayo nchi nzima.‎‎ Na Hobokela Lwinga ‎‎‎ Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeyafunga makanisa sita ya Ufufuo na…

About Baraka Fm

OVERVIEW

Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road. 

Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.

More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.

COVERAGE AREA

Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),

Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.

VISION

A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.

MISSION:

To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership

To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues

To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area

To provide messages of hope to heal the broken society

SOCIAL IMPACT

BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.

SLOGAN

Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.

CORE VALUES

Christianity: We seek to provide high quality media services

Quality: We seek to provide high quality media services

Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other     changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.

Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings

Social responsibility:  We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities

Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity

Respect:  We seek to treat all manner of people with respect

Impartiality: We seek to be fair to everybody

Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station

NUMBER OF STATION

At present BFM radio has two stations which are:

Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios

Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)

There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to   strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.

Baraka FM products:

  1. Live events coverage programs
  2. Daily business and financial news and adverts
  3. Political, social, human interest and economic news programs
  4. Daily sports package radio show
  5. Every day gospel music entertainment radio programs
  6. Religious and Bible knowledge  programs

DAILY PROGRAMMES:

From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.

NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.

KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.

JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education. 

EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students. 

IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge

MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.