

4 February 2025, 13:24
Biblia inasema “Kutoka 24:4-5[4]Basi Musa akayaandika maneno yote ya BWANA, akaondoka asubuhi na mapema, akajenga madhabahu chini ya mlima, na nguzo kumi na mbili, kwa hesabu ya kabila kumi na mbili za Israeli,[5]akapeleka vijana wa wana wa Israeli, waliotoa sadaka…
4 February 2025, 13:04
Ufanyaji kazi mzuri huwa unamweka mtu sehemu nzuri ya kusemwa na watu na hali hiyo huwa inafanya kupongezwa iwe kwa taasisi au mtu binafsi. Na Ezekiel Kamanga Mkuu wa Wilaya ya Songwe, Mhe. Solomon Itunda ameipongeza Mahakama ya Wilaya ya…
31 January 2025, 21:49
Kwenye maisha unapaswa kujifunza kwa watu waliofanikiwa kwani kufanya hivyo kuonaongeza uelewa na kukupa mafanikio katika kile unafanya. Na Kelvin Lameck Watumishi wanaofanya kazi katika taasisi za elimu zilizo chini ya kanisa la Moraviani Tanzania Jimbo la Kusini Magharabi wametakiwa…
29 January 2025, 16:34
Jukumu la kupambana na kuzuia Rushwa si la taasisi ya TAKUKURU pekee bali kila mwananchi anao wajibu wa kutoa taarifa za Rushwa pindi anapobaini mianya katika eneo alilopo. Na Hobokela Lwinga, Mbeya Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa mkoa…
29 January 2025, 09:05
Kukamilika kwa Hospitali ya Wilaya ya momba kutakuwa msaada mkubwa kwa wananchi wa maeneo ya kata za Chitete na Msangano, hivyo kupunguza changamoto ya kusafiri umbali mrefu kufuata huduma za afya. Na Mwadishi wetu ,Songwe. Mkuu wa Mkoa wa Songwe,…
28 January 2025, 18:19
Changamoto ya miundombinu ya barabara katika maeneo mengi ya jiji la Mbeya yamekuwa kero kwa madereva na wananchi. Na Josea Sinkala, Mbeya. Madereva wa pikipiki za magurudumu matatu almaarufu Bajaji wanaofanya safari zao kati ya Isyesye na Kabwe Mwanjelwa jijini…
22 January 2025, 16:35
Ulinzi wa mazingira ni wa kila mtu katika jamii na ili usalama wa jamii uwe mzuri jamii haina budii kutunza mazingira. Na mwandishi wetu Kaimu Katibu Tawala mkoa wa Mbeya Ndg: Said Juma Madito amewataka Wadau wa Mazingira Tanzania(Mbeya) kuhakikisha…
21 January 2025, 19:25
Kwenye maisha changamoto zinamfanya mtu wajibiki kuhakikisha jamii yake inakuwa vizuri,na hii huwafanya watu wengi kutafuta maisha kwa kufanya kazi inayoonekana mbele yake. Na mwandishi wetu Watu wawili waliotajwa kwa majina ya Daniel Mwendesha (26) na Sam Sagali (25) wamepoteza…
18 January 2025, 08:01
Safari ya dunia ni fupi ambapo inamfanya kila mtu kutafakari namna ya kumpendeza Mungu ili kuwa na mwisho mwema. Na Hobokela Lwinga Askofu kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi Robert Pangani ameongoza na kushiriki ibada ya kuenzi na…
9 January 2025, 18:19
kutokana na mabadiliko mbalimbli ya mitaala ya Elimu serikali inaendelea na ujenzi wa Shule zitakazo kidhi mitaala hiyo. Na mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Mhe.Jaffar Haniu leo tarehe 9.1.2025 amefanya ziara na kukagua hatua ya ujenzi wa shule…
OVERVIEW
Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road.
Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.
More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.
COVERAGE AREA
Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),
Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.
VISION
A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.
MISSION:
To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership
To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues
To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area
To provide messages of hope to heal the broken society
SOCIAL IMPACT
BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.
SLOGAN
Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.
CORE VALUES
Christianity: We seek to provide high quality media services
Quality: We seek to provide high quality media services
Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.
Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings
Social responsibility: We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities
Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity
Respect: We seek to treat all manner of people with respect
Impartiality: We seek to be fair to everybody
Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station
NUMBER OF STATION
At present BFM radio has two stations which are:
Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios
Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)
There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.
Baraka FM products:
DAILY PROGRAMMES:
From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.
NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.
KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.
JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education.
EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students.
IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge
MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.