Baraka FM
Baraka FM
3 July 2025, 12:52
Baada ya taarifa za uvumi za MNEC Ndele Mwaselela kuchukua fomu za kugombea ubunge,leo amejitokeza hadharani kuzungumza. Na Hobokela Lwinga Baada ya zoezi la uchukuaji wa fomu za kugombea udiwani na ubunge ndani ya CCM,Mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM…
1 July 2025, 19:30
Mbunge Oran Njeza, amesema amejifunza mambo mengi katika kipindi chake cha ubunge kinachomalizika mwaka huu na kwamba yuko tayari na imara kutumia uzoefu wake huo kusukuma mbele gurudumu la maendeleo ya wana Mbeya vijijini. Na Josea Sinkala Mbunge wa jimbo…
30 June 2025, 16:33
Wakati jamii ikiwaamini watu wenye elimu ,jamii hiyo hiyo inawataka wenye elimu kuonyesha umuhimu wa elimu waliyoipata. Na Rukia Chasanika Wanafunzi wanaohitimu katika vyuo vya maendeleo ya jamii mkoani Mbeya wameshauriwa kuandika maandiko ya miradi mbalimbali ambayo itasaidia kupunguza wimbi…
30 June 2025, 16:17
Wakati pilikapilika za uchaguzi zikiwa zinaendelea watia nia hususani wa chama cha mapinduzi wameendelea kuchukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania nafasi za ubunge na udiwani kwenye maeneo yao. Na Rukia Chasanika Zoezi la uchukuaji wa fomu za kuwania nafasi za…
29 June 2025, 16:48
Ukisoma Biblia takatifu kitabu cha Zaburi 66:8 Inasema “Enyi mataifa, mtukuzeni Mungu wetu,Itangazeni sauti ya sifa zake;” Na Hobokela Lwinga Askofu wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi mch.Robert Pangani amewataka vijana kuishi maisha ya hekima yatakayoleta…
25 June 2025, 12:08
Elimu haina mwisho kauli hiyo inathibitisha kuwa elimu haichagui umri wa mtu,bali elimu ni msingi wa maendeleo kwa mtu na taifa. Na Hobokela Lwinga Kaimu Katibu Mkuu kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi mch.Nsevilwe Msyaliha Ameitaka Jamii hasa…
24 June 2025, 05:26
Wanasema ili uweze kufanikiwa kufanya jambo fulani unapaswa kuweka Imani, ndivyo ambavyo waumini wa dini mbalimbali wanapaswa kuwekeza kwenye maombi kuelekea uchaguzi Mkuu October mwaka huu .Na Hobokela LwingaViongozi wa dini nchini wametakiwa kusema kweli ya Mungu juu ya matukio…
20 June 2025, 12:15
Mapema leo katika barabarani ya Tanzania, Zambia hali imekuwa mbaya kwa abiria baada ya madereva wanaotumia njia hiyo kusafirisha abiria kugoma kufanya kazi. Na Mwandishi wetu,Songwe Madereva wanaofanya safari zao Mbeya,Ileje mkoani Songwe na sumbawanga mkoani Rukwa wamegoma kwa kushinikiza…
18 June 2025, 13:13
Sheria ni msumeno huwa unakata kote kote kauli hii ina maana kuwa hakuna mtu yeyote aliye juu ya sheria. Na Hobokela Lwinga Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa Chuo Kikuu cha Sayansi na…
17 June 2025, 19:06
Wadau na taasisi mbalimbali wameombwa kutowatenga wahitaji badala yake wanatakiwa kujenga utamaduni wa kuwatembelea na kuwasaidia wahitaji misaada mbalimbali kwani kufanya hivyo ni sadaka na thawabu mbele za Mungu. Na Hobokela Lwinga Watu wenye ulemavu wametakiwa kutumia fursa za elimu…
OVERVIEW
Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road.
Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.
More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.
COVERAGE AREA
Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),
Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.
VISION
A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.
MISSION:
To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership
To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues
To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area
To provide messages of hope to heal the broken society
SOCIAL IMPACT
BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.
SLOGAN
Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.
CORE VALUES
Christianity: We seek to provide high quality media services
Quality: We seek to provide high quality media services
Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.
Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings
Social responsibility: We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities
Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity
Respect: We seek to treat all manner of people with respect
Impartiality: We seek to be fair to everybody
Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station
NUMBER OF STATION
At present BFM radio has two stations which are:
Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios
Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)
There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.
Baraka FM products:
DAILY PROGRAMMES:
From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.
NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.
KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.
JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education.
EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students.
IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge
MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.