Baraka FM
Baraka FM
4 June 2024, 14:52
Malezi bora ya mtoto ndiyo yanategemea zaidi uwepo wa maadili bora kwenye jamii na endapo jamii itakosa maadili bora kwa watoto basi jamii hiyo itakuwa na kizazi ambacho kitakuwa hakina maadili mazuri. Ivillah Mgala Wazazi wametakiwa kuwalea watoto katika maadili…
3 June 2024, 12:54
Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi limepata askofu mpya baada ya kustaafu kwa aliyekuwa askofu wa Jimbo hilo Dkt.Alinikisa Cheyo. Na Hobokela Lwinga Askofu mpya wa Kanisa la Moraviani Tanzania Jimbo la kusini magharibi Robert Pangani ameiomba serikali…
3 June 2024, 11:53
Kanisa la Moravian jimbo la kusini magharibi wakiongozwa na maaskofu wa kanisa hilo Tanzania wameshiriki Ibada ya kumuweka wakfu Askofu wa kanisa la Moravian Tanzania jimbo la kusini magharibi Mchungaji Robert Pangani. Na Ezra Mwilwa Wachungaji na wakristo wa kanisa…
1 June 2024, 07:15
Pareto ni zao la biashara linalotumika kutengenezea viuatilifu mbalimbali vya kuua wadudu wanao tambaa na kuruka. Na Hobokela Lwinga Mkuu wa wilaya ya Mbeya mhe.Beno Malisa amesema mnunuzi yeyote ambaye atakiuka miongozo katika katika kununua zao la pareto atachukuliwa sheria…
30 May 2024, 18:47
Wahenga wanasema elimu ni msingi wa maisha wengine wanasema elimu ni ukombozi, Halmashauri ya wilaya ya Mbeya imeweka mikakati madhubuti ya kuongeza kiwango cha ufaulu ambacho kitatokomeza ziro. Na Hobokela Lwinga Kata ya shizuvi halmashauri ya wilaya ya Mbeya imezindua…
27 May 2024, 20:20
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya chama Cha mapinduzi CCM Taifa Mnec, Ndele Mwaselela amesema kuwa Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan anajivunia vijana kuwa ndio nguvu kazi ya Taifa. Na Lukia Chasanika Mnec Mwaselela ameyasema hayo akiwa mgeni rasmi katika mahafari ya…
21 May 2024, 22:40
Sekta ya madini ni sekta nyeti katika kuliingizia taifa pato,katokana na hali hiyo serikali imeendelea kuwatengenezea mazingira rafiki wachimbaji sambamba na kutoa elimu ya mara mara ili kujiepusha na madhara wanayoweza kuyapata kutokana na kazi ya uchimbaji. Na Kelvin Lameck…
21 May 2024, 16:12
Katika kuhakikisha wafanyakazi kwenye taasisi zao wanapata haki zao,waajiri kulipa michango ya wafanyakazi wao kwa wakati ili kuwaondolea usumbufu pindi wanapostaafu. Na Ezekiel Kamanga Katibu Tawala Msaidizi Mkoa wa Mbeya Emmanuel Kayuni amefungua mkutano wa Wastaafu Watarajiwa uliondaliwa na Shirika…
20 May 2024, 15:32
Wakristo wote ni vema kushiriki katika ibada za Pentekosti ili kukumbuka siku ya kuzaliwa kwa kanisa pamoja na ujazo wa Roho Mtakatifu. Na Rukia Chasanika Wakriso nchini wameshauriwa kuhudhuria katika mikutano ya pentekoste ili kujifunza neno la Mungu na kujazwa…
20 May 2024, 10:51
Utekelezaji wa Maagizo ya Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suruhu Hassan kuwapatia wafanyabiashara wadogo maarufu kama Machinga vitambulisho maalumu waanza kutekelezaji. Na Ezra Mwilwa Umoja wa wafanyabiashara wadogo maarufu kama machinga jiji la Mbeya wakiongozwa…
OVERVIEW
Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road.
Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.
More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.
COVERAGE AREA
Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),
Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.
VISION
A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.
MISSION:
To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership
To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues
To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area
To provide messages of hope to heal the broken society
SOCIAL IMPACT
BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.
SLOGAN
Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.
CORE VALUES
Christianity: We seek to provide high quality media services
Quality: We seek to provide high quality media services
Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.
Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings
Social responsibility: We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities
Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity
Respect: We seek to treat all manner of people with respect
Impartiality: We seek to be fair to everybody
Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station
NUMBER OF STATION
At present BFM radio has two stations which are:
Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios
Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)
There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.
Baraka FM products:
DAILY PROGRAMMES:
From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.
NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.
KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.
JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education.
EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students.
IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge
MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.