Baraka FM

Recent posts

10 October 2023, 07:06

Katibu Mkuu Moravian Mwakilasa,Vijana acheni anasa mtumikeni Mungu

Ili kuhakikisha jamii inakuwa na kizazi kilicho bora kuna kuwa hakuna budi kuanza kuwajenga vijana kulingana na rika zao,kanisa la Moravian limekuwa na utaratibu mzuri wa kuwakutanisha vijana kutoka shirika zake mbalimbali lengo likiwa ni kujipa tathini ya mwenendo wa…

8 October 2023, 07:17

Wasichana 700 shule ya sekondari Kayuki wapewa taulo za kike

Jukumu la malezi ni la kila mtu, katika kuwezesha mabinti ili kupata elimu kwenye mazingira bora huna budi kuhakikisha mabinti hao wanafunzi wanawekwa kwenye mazingira mzuri kila wakati. Na mwandishi wetu Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mbeya ambaye pia…

5 October 2023, 22:06

Zimamoto Mbeya yatoa elimu shule za msingi

Elimu ni msingi wa maendeleo, kila mtu anapaswa kupata elimu ili kuweza kufanikiwa juu ya jambo ambalo anatamani kulijua haijalishi umri, hapa jeshi la zimamoto linaonesha wazi namna ambavyo limeendelea kutoa elimu ili kuwezesha wananchi kukabiliana na majanga mbalimbali ikiwemo…

5 October 2023, 20:35

Bilioni 5 zawanufaisha wananchi ujenzi mradi wa maji Mbarali

Maji ambayo imekuwa ikitajwa kuleta migogoro ya kindoa, kwa ujumla kero hiyo imekuwa ikitatuliwa pindi ambapo mamlaka yenye wajibu wa kupeleka huduma inapopeleka eneo husika, huku wajibu wa kutunza mradi huo likibaki wa watumiaji ambao ni wananchi. Na mwandishi wetu…

3 October 2023, 19:09

Umuhimu wa kutunza macho yako ukiwa kazini

Katika maisha yetu ya kila siku tunashauriwa kutunza macho yetu kwa kupunguza matumizi ya simu pamoja na komputa hasa ukiwa kazini. Na Mpoki Japheth Wananchi mkoani Mbeya wameshauriwa kutunza macho yao ili kuepukana na changamoto ya tatizo la uoni hafifu.…

3 October 2023, 17:17

Utoro chanzo ufaulu kushuka kwa wanafunzi kidato cha nne

Wazazi na walezi ni lazima wawe karibu na watoto wao ili kuhakikisha wanazingatia masomo yao na kufika shuleni kwa wakati ili waweze kufanya vizuri katika mitihani yao ya mwisho. Na Rukia chasanika Imeelezwa kuwa utoro wa wanafunzi wa shule ya…

1 October 2023, 00:08

Bil. 6 kujenga miundombinu rafiki kwa makundi yenye ulemavu nchini

Kundi la walemavu wa kusikia ni kundi mojawapo ambalo limekuwa likikumbana na vikwazo vingi katika kupata huduma za kijamii kutokana na kukosa wataalam wengi wa lugha ya alama na hii imekuwa kikwazo na kuonekana watu wenye ulemavu hasa wa uziwi…

29 September 2023, 23:09

Mch. Mwakipesile ahukumiwa miaka 3 jela

Kila nchi inaendeshwa kwa mujibu wa taratibu na sheria na katika sheria hakuna ambaye anakuwa juu ya sheria, hivyo kila mtu anapaswa kuheshimu taratibu na kuheshimu sheria. Na Josea Sinkala Mahakama ya Hakimu mkazi Mbeya imemhukumu kutumikia kifungo cha miaka…

About Baraka Fm

OVERVIEW

Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road. 

Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.

More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.

COVERAGE AREA

Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),

Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.

VISION

A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.

MISSION:

To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership

To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues

To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area

To provide messages of hope to heal the broken society

SOCIAL IMPACT

BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.

SLOGAN

Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.

CORE VALUES

Christianity: We seek to provide high quality media services

Quality: We seek to provide high quality media services

Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other     changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.

Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings

Social responsibility:  We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities

Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity

Respect:  We seek to treat all manner of people with respect

Impartiality: We seek to be fair to everybody

Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station

NUMBER OF STATION

At present BFM radio has two stations which are:

Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios

Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)

There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to   strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.

Baraka FM products:

  1. Live events coverage programs
  2. Daily business and financial news and adverts
  3. Political, social, human interest and economic news programs
  4. Daily sports package radio show
  5. Every day gospel music entertainment radio programs
  6. Religious and Bible knowledge  programs

DAILY PROGRAMMES:

From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.

NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.

KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.

JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education. 

EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students. 

IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge

MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.