Baraka FM
Baraka FM
12 June 2024, 14:43
Shirika la umeme TANESCO limeboresha huduma za nishati hiyo na kupunguza kukatikatika kwa umeme kwenye maeneo mengi nchini. Na Hobokela Lwinga Serikali kupitia shirika la umeme Tanzania TANESCO linatekeleza uanzishwaji wa vyanzo mbalimbali vya uzalishaji umeme ili kuondokana na kero…
12 June 2024, 14:04
Katiba Ni Muongozo Ambao Unawekwa Kwa Ajili Ya Kuongoza Mambo Mbalimbali Iwe Katika Nchi,Vikundi Hata Taasisi Mbalimbali. Na Deus Mellah Chama cha Wanasheria wa Tanganyika TLS kinaendelea kuendesha mijadala ya wazi yenye kujenga, kusikiliza na kupokea maoni ya Wananchi kuhusu…
12 June 2024, 12:27
Zao la migomba ni zao la chakula na biashara ,katika nchi ya Tanzania ipo mikoa ambayo imekuwa na uzalishaji mwingi kupitia kilimo hicho ikiwemo mikoa ya Kagera eneo la Bukoba na Mbeya katika halmashauri ya wilaya ya Rungwe na Busokelo.…
12 June 2024, 11:56
Kanisa la Moravian kupitia katiba za majimbo yake limekuwa utaratibu wa ukomo wa uongozi unaoendana na umri,hali hiyo inaleta mabadiliko ya Kiongozi kwani inatoa fursa ya kufanya uchaguzi upya wenye demokrasia. Na Hobokela Lwinga Askofu Kiongozi kanisa la Moravian Tanzania…
11 June 2024, 11:26
Kila mwananchi anawajibu wa kuendelea kulinda taifa lake kwa kulinda amani, kuanzia katika ngazi ya familia Na Hobokela Lwinga Askofu wa kanisa la Moraviani Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi Mhashamu Robert Pangani amewataka wakristo wote kuilinda Amani ya kanisa na…
10 June 2024, 12:25
Kampuni ya ununuzi wa zao la pareto Tanzania PCT imefanya kikao kazi na mawakala wake kuelekea msimu mpya wa uvunaji ambao unaanza july mosi 2024 ili kuweza kupata maua bora ya zao hilo. Kikao kazi hicho kilichoandaliwa na kampuni ya…
6 June 2024, 17:11
Jiji la Mbeya likiwa bado kwenye majonzi makubwa ya kutokea ajali eneo la Mbembela huku wananchi na ndugu marehemu wakiendelea kuitambua miili ya wapendwa wao,taarifa inadai kuwa idadi ya vifo imeongezeka. Na Hobokela Lwinga Idadi ya vifo katika ajali iliyotokea…
6 June 2024, 15:27
Wakati mtaani malalamiko yakiendelea kuwa mengi kuhusiana na kupanda kwa vocha wananchi wanapaswa kutoa taarifa kwa wahusika na wasimamizi wa mawasiliano nchini. Na Hobokela Lwinga Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA Kanda ya Nyanda za Juu Kusini imewataka wauzaji wa vocha…
5 June 2024, 19:07
Huzuni imetanda jiji la Mbeya baada ya kutokea ajali ambayo imeondoa uhai wa watu. Na Hobokela Lwinga Watu 13 wamepoteza maisha na wengine 18 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari matatu likiwamo lori, gari dogo na Coaster. Ajali hiyo imetokea leo…
5 June 2024, 18:40
Limeni mazao ya yenye kusaidia kujenga afya za watoto wenu katika kukuza uwezo mkubwa wa watoto. Na Lukia Chasanika Wazazi na walezi wameshauriwa kulima mazao lishe ili kuwasaidia watoto kupata virutubisho ambavyo vitawasaidia kukua kiakili na kimwili. Hayo yamesemwa na…
OVERVIEW
Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road.
Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.
More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.
COVERAGE AREA
Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),
Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.
VISION
A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.
MISSION:
To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership
To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues
To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area
To provide messages of hope to heal the broken society
SOCIAL IMPACT
BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.
SLOGAN
Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.
CORE VALUES
Christianity: We seek to provide high quality media services
Quality: We seek to provide high quality media services
Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.
Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings
Social responsibility: We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities
Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity
Respect: We seek to treat all manner of people with respect
Impartiality: We seek to be fair to everybody
Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station
NUMBER OF STATION
At present BFM radio has two stations which are:
Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios
Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)
There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.
Baraka FM products:
DAILY PROGRAMMES:
From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.
NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.
KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.
JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education.
EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students.
IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge
MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.