Baraka FM

Recent posts

13 July 2024, 13:58

Kwaya kuu Ushirika wa Msia Mbozi watembelea Baraka FM Mbeya

Kutembelewa ni jambo la heri na hii ni ishara kwamba unapendwa, hii ndio maana halisi ya kile kinachokuwa kimefanyika kwa mgeni yoyote anayefika katika malango yako. Na Hobokela Lwinga Mapema leo kituo cha matangazo cha redio Baraka kimepokea ugeni wa…

13 July 2024, 10:57

Ofisi za utawala kanisa la Moravian wilaya ya Chunya kuzinduliwa

Kanisa la Moravian limekuwa na utaratibu wa mgawanyo wa utawala katika kuwafikisha waumini wake karibu kwenye maeneo mbalimbali hali hiyo inafanya wilaya zake kumiliki ofisi ambazo asilimia kubwa zinajengwa na waumini. Na Ezekiel Kamanga Askofu Robert Pangani wa Kanisa la…

13 July 2024, 05:18

Sangoma adaiwa kumbaka binti yake Mbeya

Katika hali ya kushangaza binti mmoja mkoani Mbeya anadaiwa kufanyiwa kitendo cha ukatili na mzazi wake wa kumzaa (Baba) kwa kudaiwa kufanya naye tendo la ndoa. Na Ezekiel Kamanga Masumbuko Sompo (51) mganga wa jadi mkazi wa kijiji cha Nyombwe…

6 July 2024, 22:02

Watu wenye ulemavu Rungwe wapewa tabasamu na kanisa la Moravian

Si mara ya kwanza kwa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini kugawa msaada wa viti mwendo kwa watu wenye ulemavu, ambapo tangu kuanza kwa mradi huu zaidi ya watu 50 wamenufaika na wengine wakiendelea kuibuliwa. Na mwandishi wetu Kanisa…

6 July 2024, 20:18

Kanisa la Moravian lamuomboleza mama mchungaji Sabina Mwakilembe

Hatimaye mwili wa Marehemu Sabina Mwakilembe mke wa Mchungaji mstaafu Marehemu Amosi Mwasambapa umezikwa katika makaburi ya familia eneo la kalobe jijini Mbeya. Na Hobokela Lwinga Askofu wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini Magharibi Robert Pangani ameiasa jamii…

4 July 2024, 19:28

Mke wa mchungaji mstaafu marehemu Amosi Mwasambapa afariki dunia

Duniani tutapata, wote tuko safari na katika safari hiyo hakuna anayejua mwisho wake , yaani mwisho wa uhai wake . Na Hobokela Lwinga Katibu Mkuu kanisa la Moravian Jimbo la kusini magharibi Ndugu Israeli Mwakilasa anautangazia umma na waumini wa…

3 July 2024, 16:25

Hizi ndizo sababu za kuvunjika kwa ndoa nyingi katika karne ya sasa

Je,unafahamu sababu za kuvunjika kwa ndoa nyingi katika karne ya sasa?Ziko sababu nyingi zinatajwa na inawezekana ukizijua zitakusaidia. Na Hobokela Lwinga Mabadiliko ya sayansi na teknolojia yatajwa kuwa sababu kubwa ya ongezeko kubwa la talaka Kwa wanandoa wengi. Hayo yemesemwa…

3 July 2024, 15:52

Fyandomo kinda fundi wa hamasa Mbeya

Sifa za mtu mwema hupaswi kumpa akiwa amelala mauti mpe akiwa hai kwani akiwa hai utakuwa umemuheshimisha. Na mwandishi wetu Timida Fyandomo ni Mjumbe wa Baraza Kuu la Jumuiya ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa kutoka Mkoa wa…

29 June 2024, 06:46

Mchungaji mstaafu kanisa la Moravian Levant Aaron Sichone afariki dunia

Duniani wote tunapita, ndivyo unaweza kusema kwani hakuna anayeijua siku yake ya kutwaliwa hapa duniani ndio maana vitabu vya Dino pamoja viongozi wa kiimani wamekuwa wakisistiza kuishi Maisha ya kumpendeza Mungu wakati wote Kanisa la Moravian Tanzania jimbo la kusini…

About Baraka Fm

OVERVIEW

Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road. 

Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.

More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.

COVERAGE AREA

Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),

Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.

VISION

A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.

MISSION:

To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership

To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues

To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area

To provide messages of hope to heal the broken society

SOCIAL IMPACT

BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.

SLOGAN

Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.

CORE VALUES

Christianity: We seek to provide high quality media services

Quality: We seek to provide high quality media services

Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other     changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.

Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings

Social responsibility:  We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities

Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity

Respect:  We seek to treat all manner of people with respect

Impartiality: We seek to be fair to everybody

Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station

NUMBER OF STATION

At present BFM radio has two stations which are:

Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios

Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)

There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to   strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.

Baraka FM products:

  1. Live events coverage programs
  2. Daily business and financial news and adverts
  3. Political, social, human interest and economic news programs
  4. Daily sports package radio show
  5. Every day gospel music entertainment radio programs
  6. Religious and Bible knowledge  programs

DAILY PROGRAMMES:

From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.

NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.

KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.

JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education. 

EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students. 

IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge

MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.