Baraka FM

Wanafunzi vyuoni wahimizwa kupima Afya zao

29 August 2025, 19:44

Baadhi ya wanafunzi MVTC kadege(picha na Ezra Mwilwa)

kutokana nauwepo wa magonjwa mbalimbli yakuambukiza na yasiyo yakuambukiza vijana wamehimizwa kwenda kufanya vipimo vya Afya zao

Na Ezra Mwilwa

Wanafunzi waliopo vyuoni wahimizwa kuto kujihusisha na vitendo viovu vinavyo weza kuwasababishia kupata maambukizi ya virusi vya UKIMWI

Wito huo umetolewa na wakufunzi wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi kupitia Idara ya Udiakonia Lulu Mpenja na Bitrice Mwakipesile waliopo kuwa wakitoka Elimu ya kujikinga na maambukizi ya UKIMWI kwa wanafunzi MVTC kadege.

Mkufinzi Lulu Mpenja(picha na Ezra Mwilwa)

Nao baadhi ya wanafunzi walio shiriki katika mafunzo hayo wamesema watahakikisha Wana tekeleza mafunzo yote waliyo pewa.

Mkufinzi Bitrice Mwakipesile(picha na Ezra Mwilwa)

Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi kupitia Idara ya Udiakonia wameendelea kutoa mafunzo hayo kwa wafanyakazi na wanafunzi wa taasisi zote za kanisa.