Baraka FMSiasaPM Majaliwa ahitimisha ziara Mbeya, afungua CUoM PM Majaliwa ahitimisha ziara Mbeya, afungua CUoM 16 January 2024, 19:45 Na Hobokela Lwinga Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kasim Majaliwa ameondoka Mkoani Mbeya baada ya Kushiriki Hafla ya Ufunguzi wa Chuo Kikuu Cha Kikatoloki Mbeya (CUoM) Leo January 16 2024. Chuo kikuu uzalishaji mali Share