

15 September 2023, 22:46
Wanasema kinga ni bora kuliko tiba,ili uweze kuwa salama huna budii kukubaliana na ushauri wa wataalamu wa afya unaopatiwa juu ya afya yako.kila binadamu tangu kuzaliwa kwake lazima apewe chanjo ili kuweza kuimarisha afya yake, hali hiyo ukiwa kama mzazi…
14 September 2023, 20:00
Wahenga wanasema jasiri haachi asili hivyo ndivyo unaweza kusema kutokana na kile ambacho kimekuwa kikifanywa na wizara ya maliasili na utalii nchini Tanzania kutokana na kudumisha mila na destri ya mtanzania hasa katika kuenzi ngoma za asili na vyakula kwa…
14 September 2023, 18:40
Kanisa ni moja ya taasisi nyeti ambayo ipo katika kuwajenga waumini wake kumjua Mungu na kumtumikia,kutokana na hali hiyo kanisa la Moravian limekuwa na utaratibu wa kuandaa mikutano ya kila idara ili kuwakutanisha waumini kubadilishana vipawa kutokana na rika zao.…
14 September 2023, 13:39
Elimu ni msingi wa kuongeza maarifa na ili uwe na amaarifa huna budi kuifunzz kwa waliofanikiwa kutkana na umhimu wa elimu jeshi la zimamoto haliko mbali na wananchi katika kuwapatia elimu pasipo kubagua rika,rangi,kabila wala umbo la mtu. Na Ezra…
13 September 2023, 18:43
Maji ni uhai, viumbe wote hai wanategemea maji hata nje ya viumbe hai bado kumekuwa na uhitaji wa maji,nchi ya Tanzania imekuwa ikitegemea maji kuzalisha nishati ya umeme hivyo maji ni kila kitu kwenye shughuli yoyote ya binadamu. Na Hobokela…
13 September 2023, 13:38
Maisha ya binadamu yeyote duniani kote yanategemea mazingira na mtunzaji wa mazingira ni binadamu mwenyewe hivyo basi ni wajibu kutunza mazingira ili kuepukana na athari za mabadiliko ya tabia ya nchi. Na Hobokela Lwinga Kiongozi wa mbio za Mwenge wa…
12 September 2023, 12:39
Uharibifu wa mazingira duniani kote umekuwa na athali hasi zinazosababisha mabadiliko ya tabia ya nchi,na hivi karibuni tumeshuhudia athali hizo ikiwemo upungufu wa mvua Na Hobokela Lwinga Wananchi mkoani mbeya wameshauriwa kuwa mabalozi wazuri wa utunzaji wa mazingira ili kulinda…
12 September 2023, 11:11
Meneja wa radio Baraka Charles Amulike akiwa anatoa msaada wa vifaa vya shule katika shule ya msingi Ilota Mbeya vijijini (picha Hobokela Lwinga) Vyombo vya habari vimekuwa vikiaminiwa kuwa na mchango wa kuibua changamoto mbalimbali katika jamii kutokana na hilo…
11 September 2023, 23:27
Katika kuimarisha na kupunguza changamoto zinazoikabili sekta ya habari nchini,TADIO imeendelea kuvijengea uzoefu vyombo vya habari ili kuondokana na mifumo ya analojia na kwenda kidijitali kulingana na mabadiliko ya ulimwengu. Na Hobokela Lwinga Wamiliki wa vyombo vya habari nchini wametakiwa…
11 September 2023, 16:22
Matumizi ya teknolojia yanatajwa kuwa kichocheo kikubwa katika kufanikisha sekta ya kilimo nchini. Na Hobokela lwinga Wakulima katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wametakiwa kufuatilia elimu ya kilimo inayotolewa kupitia kwa wataalam wa kilimo na kujifunza uzalishaji bora wa…
OVERVIEW
Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road.
Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.
More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.
COVERAGE AREA
Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),
Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.
VISION
A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.
MISSION:
To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership
To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues
To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area
To provide messages of hope to heal the broken society
SOCIAL IMPACT
BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.
SLOGAN
Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.
CORE VALUES
Christianity: We seek to provide high quality media services
Quality: We seek to provide high quality media services
Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.
Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings
Social responsibility: We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities
Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity
Respect: We seek to treat all manner of people with respect
Impartiality: We seek to be fair to everybody
Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station
NUMBER OF STATION
At present BFM radio has two stations which are:
Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios
Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)
There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.
Baraka FM products:
DAILY PROGRAMMES:
From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.
NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.
KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.
JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education.
EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students.
IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge
MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.