Baraka FM
Baraka FM
2 January 2024, 18:10
Na Kelvin Lameck Askofu Mteule ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi Mchungaji Robert Pangani amewataka waumini na Watanzania kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kudumisha amani katika nchi. Pangani ameyasema…
2 January 2024, 18:08
Na mwandishi wetu Askofu Mkuu wa Jimbo kuu Katoliki Mbeya na Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania Gervas Nyaisonga Leo Tarhe 01/01/2024 amefika Nyumbani kwa Cde Juma Zuberi Homera Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kwa lengo la kumtakia Kheri…
1 January 2024, 13:08
Na Hobokela Lwinga katika kuupokea mwaka mpya 2024 kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi ushirika wa Yeriko uliopo mbalizi Mbeya. Akiongoza katika ibada hiyo kwa wanandoa hao mchungaji wa ushirika wa Yeriko Paul Mwampamba amesema ndoa hizo ni…
31 December 2023, 15:02
Na Hobokela Lwinga Mchungaji Paul Mwampamba hatimaye amesimikwa rasmi kuwa Mchungaji wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi ushirika wa Yeriko na katibu wa wilaya ya Mbalizi inayopatikana katika mji mdogo wa Mbalizi halmashauri ya wilaya ya Mbeya.…
31 December 2023, 14:06
Na Hobokela Lwinga Makamu mwenyekiti wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi Mch. Asulumenye Mwahalende ameyataka makanisa yote ya Kanisa la Moravian jimbo la Kusini Magharibi kuhakikisha yanakuwa na kengele ambazo zitakuwa zikipigwa kabla ya ibada ikiwa ni…
31 December 2023, 10:07
Na Kelvin Lameck Watu kadhaa wanahofiwa kufariki katika ajali iliyotokea mapema leo katika eneo la Mbembela kata ya Nzovwe jijini Mbeya. Ajali hiyo imehusisha magari matatu ikiwemo roli pamoja hiace mbili ambazo zilikuwa na abiria zikifanya safari zake Sokomatola Mbalizi.…
30 December 2023, 09:04
Na mwandishi wetu Huduma ya matibabu katika kituo cha afya Iponjola zimeanza leo rasmi tarehe 29.12.2023 ikiwa ni hatua ya kuwasogezea wananchi huduma hii muhimu karibu na makazi yao. Kituo hiki kilichojengwa na Serikali kwa Kushirikiana na Wananchi kimegharimu zaidi …
30 December 2023, 08:52
Na Hobokela Lwinga Mgogoro wa ardhi uliodumu kwa zaidi ya miaka 15 kati ya kanisa la Gofan, Jiji la Mbeya na kata ya Isanga, umechukua sura mpya baadaya Afisa mipango miji wa Jiji la Mbeya kukosa majibu ya namna walivyotwaa…
30 December 2023, 08:16
Na mwandishi wetu,Songwe Kamanda wa Polisi Mkoa wa songwe Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Theopista Mallya Disemba 29, 2023 ameendelea na operesheni ya ukaguzi wa magari ya abiria kwenye barabara ya kwenda Mbeya Tunduma katika kituo cha ukaguzi wa magari…
28 December 2023, 18:24
Na mwandishi wetu,Songwe Waumini wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Thomas Jimbo Kuu la Mbeya wametakiwa kuzishinda dhamiri zao mbaya ili kutotenda matendo uhalifu katika jamii. Hayo yalisemwa na Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP…
OVERVIEW
Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road.
Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.
More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.
COVERAGE AREA
Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),
Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.
VISION
A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.
MISSION:
To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership
To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues
To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area
To provide messages of hope to heal the broken society
SOCIAL IMPACT
BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.
SLOGAN
Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.
CORE VALUES
Christianity: We seek to provide high quality media services
Quality: We seek to provide high quality media services
Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.
Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings
Social responsibility: We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities
Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity
Respect: We seek to treat all manner of people with respect
Impartiality: We seek to be fair to everybody
Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station
NUMBER OF STATION
At present BFM radio has two stations which are:
Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios
Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)
There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.
Baraka FM products:
DAILY PROGRAMMES:
From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.
NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.
KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.
JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education.
EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students.
IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge
MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.