Baraka FM
Baraka FM
29 January 2024, 18:09
Na Hobokela Lwinga Kamisaa wa Sensa nchini Anne Makinda amesisitiza waandishi wa habari kutumia matokeo ya takwimu za sensa ya watu na makazi kwa usahihi ili kuandika habari zenye ubora na usahihi zitakazosaidia katika kuleta maendeleo kwa wananchi. Makinda ameyasema…
26 January 2024, 21:45
Na mwandishi wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa watatu akiwemo Mwalimu wa Shule ya Msingi Mwaselela Azimio Gerald [31] Mkazi wa ZZK mji mdogo wa Mbalizi na wenzake wawili Furaha Issa [32] na Goodluck Mwakajisi [25] wote…
23 January 2024, 18:19
Na Deus Mellah Mtu mmoja anayejulikana kwa jina la Kanary Jaribu Haonga mwenye umri wa miaka 26 mkazi wa kitongoji cha Iwagamoyo kata Itumpi mkoani Songwe amesombwa na maji wakati akijaribu kuvuka mto Mlowo eneo la kijiji cha Iyenga ni…
23 January 2024, 17:28
Na mwandishi wetu, Songwe Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Songwe imewapongeza viongozi wa Serikali Ngazi ya Mkoa na Halmashauri, Chama na taasisi za Serikali na ofisi ya Mbunge wa Jimbo la Songwe kwa usimamizi na…
23 January 2024, 17:14
Na Hobokela Lwinga Halmashauri ya wilaya ya Rungwe kwa kushirikiana na wazazi imeendelea na Mpango wake kuhakikisha kila Mwanafunzi anapata chakula cha mchana kwa siku zote za masomo. Uongozi wa shule ya Msingi Masebe na Mpuguso zilizopo Ushirika (Kata ya…
23 January 2024, 09:06
Na mwandishi wetu Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Rufaa Mbeya, Bi Myriam Msalale, leo amefungua rasmi mafunzo ya msingi ya huduma za dharura kwa watumishi wa wodi maalum ya wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU). Lengo la mafunzo haya ni…
23 January 2024, 08:43
Na mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Cde. Juma Zuberi Homera amefungua Mkutano wa Afrika ambao umeandaliwa na Tasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa zao la Mpunga Internation Rice Research Institute (IRRI) na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania…
22 January 2024, 19:30
Na Ezra Mwilwa Taasisi ya Tulia Trust inayoingonzwa na Dkt.Tulia Akson Mwansasu Mbunge wa Mbeya Jiji, Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzani ambaya pia Rais wa Mabunge yote Duniani ametoa msaada wa vifaa vya shule kwa wanafunzi…
18 January 2024, 20:59
Na Hobokela Lwinga Halmashauri ya wilaya ya Rungwe imekalisha ujenzi wa nyumba ya watumishi (two in one) katika shule ya sekondari Msasani one kwa gharama ya shilingi million 100. Fedha hii imetolewa na serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na…
18 January 2024, 20:45
Na mwandishi wetu Serikali kupitia Wizara ya Afya imepongezwa kwa juhudi kubwa inayoendelea kufanya za kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi, mama na mtoto ikiwa ni kipaumbele cha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Pongezi hizo zimetolewa leo Januari 18, 2024 na…
OVERVIEW
Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road.
Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.
More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.
COVERAGE AREA
Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),
Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.
VISION
A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.
MISSION:
To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership
To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues
To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area
To provide messages of hope to heal the broken society
SOCIAL IMPACT
BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.
SLOGAN
Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.
CORE VALUES
Christianity: We seek to provide high quality media services
Quality: We seek to provide high quality media services
Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.
Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings
Social responsibility: We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities
Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity
Respect: We seek to treat all manner of people with respect
Impartiality: We seek to be fair to everybody
Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station
NUMBER OF STATION
At present BFM radio has two stations which are:
Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios
Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)
There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.
Baraka FM products:
DAILY PROGRAMMES:
From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.
NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.
KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.
JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education.
EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students.
IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge
MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.