Baraka FM

Recent posts

13 September 2023, 18:43

Umeme waleta mgao wa maji mkoani Mbeya

Maji ni uhai, viumbe wote hai wanategemea maji hata nje ya viumbe hai bado kumekuwa na uhitaji wa maji,nchi ya Tanzania imekuwa ikitegemea maji kuzalisha nishati ya umeme hivyo maji ni kila kitu kwenye shughuli yoyote ya binadamu. Na Hobokela…

12 September 2023, 11:11

Vyombo vya habari vyatakiwa kuibua changamoto katika jamii

Meneja wa radio Baraka Charles Amulike akiwa anatoa msaada wa vifaa vya shule katika shule ya msingi Ilota Mbeya vijijini (picha Hobokela Lwinga) Vyombo vya habari vimekuwa vikiaminiwa kuwa na mchango wa kuibua changamoto mbalimbali katika jamii kutokana na hilo…

11 September 2023, 23:27

TADIO yawanoa wahariri, wataalam wa kidijitali mikoa ya Nyanda za Juu Kusini

Katika kuimarisha na kupunguza changamoto zinazoikabili sekta ya habari nchini,TADIO imeendelea kuvijengea uzoefu vyombo vya habari ili kuondokana na mifumo ya analojia na kwenda kidijitali kulingana na mabadiliko ya ulimwengu. Na Hobokela Lwinga Wamiliki wa vyombo vya habari nchini wametakiwa…

11 September 2023, 12:49

Fahamu jinsi mifumo ya maisha inavyosababisha ongezeko la magonjwa

Katika maisha ya binadamu kumekuwa na mifumo mbalimbali ya maisha, ambapo watanzania walio wengi wana tabia ya kutozingatia afya hasa katika suala la ulaji hali inayowafanya wakumbwe na magonjwa mbalimbali. Na Hobokela lwinga Kutokana na mifumo mbalimbali ya maisha kuchangia…