Baraka FM
Baraka FM
20 February 2024, 10:42
Na Hobokela Lwinga Naibu Waziri Mkuu na Waziri Wa Nishati Mh, Dkt. Dotto Biteko amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Songwe na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera tayari kwa kuanza ziara yake ya kikazi ya…
20 February 2024, 10:38
Na Ezra Mwilwa Kanisa la Moravian Tanzania Ushirika wa Teku wamefanya Ibaada maalumu kwaajiri ya kumshukuru Mungu juu ya Chuo kikuu Teofilo Kisanji kuendelea kukua na kutunukiwa hadhi kubwa ya vyuo vikuu Nchini. Katika ibada hiyo imehudhuriwa na Askofu Mteule…
19 February 2024, 09:54
Na mwandishi wetu, London Uingereza Naibu Waziri wa Maji, Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb) amewasili Nchini Uingereza, kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 13 wa ubunifu wa Teknolojia za maji kwa Mwaka 2024( World Water-Tech Innovation Summit) akimuwakilisha Waziri wa…
15 February 2024, 15:37
Na Hobokela Lwinga Kuelekea katika kilele cha siku ya maridhiano nchini ambayo kitaifa inatarajiwa kufanyika mkoani mbeya,viongozi wadini wameanza kufanya shughuli mbalimbali za kijamii ikiwemo upandaji miti,uchangiaji wa damu pamoja na utoaji elimu ya kupinga ukatili wa kijinsia. Akizungumza katika…
14 February 2024, 21:42
Na Ezekiel Kamanga,Songwe Mkuu wa Wilaya ya Songwe mkoa wa Songwe Solomon Itunda amesimamisha mchakato wa utoaji leseni ulioanza kutolewa eneo la Bafex lililopo mlima Elizabeth kata ya Saza wilaya ya Songwe mkoa wa Songwe. Itunda amechukua hatua hiyo katika…
14 February 2024, 21:16
Na mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Cde: Juma Homera amewataka Madreva wa Magari ya Serikali kuyatunza Vyema na kujiepusha na Matumizi mabovu ya Barabara ikiwemo Kutembea Mwendo Mkali na kutojali alama za Barabarani Hali inayolelekea Ajali zisizo na…
13 February 2024, 18:59
Ikiwa leo ni siku ya radio duniani jamii imesema inatambua mchnago mkubwa wa tasinia hiyo katika kukuza mawasiliano,utoaji wa taarifa,elimu na hata burudani.
13 February 2024, 14:41
Na mwandishi wetu, Dodoma Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Maryprisca Mahundi amesema Serikali inaendelea na zoezi la utafiti wa maji ardhini pamoja na uchimbaji wa visima 13 katika Jimbo la Buchosa Wilayani Sengerema. Mahundi ameyasema hayo leo Februari 13 2024,…
13 February 2024, 08:38
Na Hobokela Lwinga Jeshi la polisi mkoani Mbeya wametakiwa kufanya kazi kwa weledi na kumtanguliza Mungu ili kufikia malengo ya jeshi na taifa kwa ujumla. Hayo yamesemwa na Kamishna Mstaafu wa Jeshi la Polisi SACP Robert Mkisi amewaasa alipotembelea Mkoa…
12 February 2024, 11:22
Na Ezekiel Kamanga Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Songwe CPA Cecilia Kavishe amesema Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP) umetatua migogoro ya kimipaka katika halmashauri hiyo hatua inayowasidia wananchi kuendelea na shughuli za uzalishaji mali kwa…
OVERVIEW
Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road.
Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.
More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.
COVERAGE AREA
Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),
Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.
VISION
A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.
MISSION:
To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership
To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues
To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area
To provide messages of hope to heal the broken society
SOCIAL IMPACT
BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.
SLOGAN
Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.
CORE VALUES
Christianity: We seek to provide high quality media services
Quality: We seek to provide high quality media services
Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.
Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings
Social responsibility: We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities
Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity
Respect: We seek to treat all manner of people with respect
Impartiality: We seek to be fair to everybody
Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station
NUMBER OF STATION
At present BFM radio has two stations which are:
Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios
Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)
There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.
Baraka FM products:
DAILY PROGRAMMES:
From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.
NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.
KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.
JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education.
EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students.
IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge
MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.