Recent posts
13 September 2023, 18:43
Umeme waleta mgao wa maji mkoani Mbeya
Maji ni uhai, viumbe wote hai wanategemea maji hata nje ya viumbe hai bado kumekuwa na uhitaji wa maji,nchi ya Tanzania imekuwa ikitegemea maji kuzalisha nishati ya umeme hivyo maji ni kila kitu kwenye shughuli yoyote ya binadamu. Na Hobokela…
13 September 2023, 13:38
Wananchi Mbeya wahimizwa kutunza mazingira kuongeza uzalishaji wa maji
Maisha ya binadamu yeyote duniani kote yanategemea mazingira na mtunzaji wa mazingira ni binadamu mwenyewe hivyo basi ni wajibu kutunza mazingira ili kuepukana na athari za mabadiliko ya tabia ya nchi. Na Hobokela Lwinga Kiongozi wa mbio za Mwenge wa…
12 September 2023, 12:39
Wananchi Mbeya washauriwa kutunza mazingira ili kuepukana na athali ya mabadilik…
Uharibifu wa mazingira duniani kote umekuwa na athali hasi zinazosababisha mabadiliko ya tabia ya nchi,na hivi karibuni tumeshuhudia athali hizo ikiwemo upungufu wa mvua Na Hobokela Lwinga Wananchi mkoani mbeya wameshauriwa kuwa mabalozi wazuri wa utunzaji wa mazingira ili kulinda…
12 September 2023, 11:11
Vyombo vya habari vyatakiwa kuibua changamoto katika jamii
Meneja wa radio Baraka Charles Amulike akiwa anatoa msaada wa vifaa vya shule katika shule ya msingi Ilota Mbeya vijijini (picha Hobokela Lwinga) Vyombo vya habari vimekuwa vikiaminiwa kuwa na mchango wa kuibua changamoto mbalimbali katika jamii kutokana na hilo…
11 September 2023, 23:27
TADIO yawanoa wahariri, wataalam wa kidijitali mikoa ya Nyanda za Juu Kusini
Katika kuimarisha na kupunguza changamoto zinazoikabili sekta ya habari nchini,TADIO imeendelea kuvijengea uzoefu vyombo vya habari ili kuondokana na mifumo ya analojia na kwenda kidijitali kulingana na mabadiliko ya ulimwengu. Na Hobokela Lwinga Wamiliki wa vyombo vya habari nchini wametakiwa…
11 September 2023, 16:22
TARI yatoa elimu ya kilimo biashara kwa wakulima mikoa ya Nyanda za Juu Kusini
Matumizi ya teknolojia yanatajwa kuwa kichocheo kikubwa katika kufanikisha sekta ya kilimo nchini. Na Hobokela lwinga Wakulima katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wametakiwa kufuatilia elimu ya kilimo inayotolewa kupitia kwa wataalam wa kilimo na kujifunza uzalishaji bora wa…
11 September 2023, 12:49
Fahamu jinsi mifumo ya maisha inavyosababisha ongezeko la magonjwa
Katika maisha ya binadamu kumekuwa na mifumo mbalimbali ya maisha, ambapo watanzania walio wengi wana tabia ya kutozingatia afya hasa katika suala la ulaji hali inayowafanya wakumbwe na magonjwa mbalimbali. Na Hobokela lwinga Kutokana na mifumo mbalimbali ya maisha kuchangia…