Baraka FM

Recent posts

22 February 2024, 20:48

Wananchi Tunduma wasisitizwa ulinzi shirikishi kulinda amani

Na Mwandishi wetu Songwe Wananchi wa Kata ya Mwakakati Mjini Tundu ma Mkoani Songwe wam etakiwa kuendeleza ushir ikiano na Jeshi la Polisi katika kuhimarisha vikun di vya ulinzi shirikishi ili kuweka maeneo yao salama. Rai hiyo ilitolewa Febr uari…

22 February 2024, 20:42

Homera aongoza kikao kamati ya ushauri mkoa wa Mbeya

Na Mwandishi wetu Leo February 22, 2024 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Cde: Juma Z Homera ameongoza Kikao Cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Mbeya(RCC) kilicholenga kujadili, kushauri na Kutoa Mapendekezo juu ya Namna bora ya kutatua baadhi ya…

22 February 2024, 17:35

Bodaboda Mbeya wagoma, wavamia ofisi za jiji

Na Ezra Mwilwa Umoja wa madereva bodaboda mkoa wa Mbeya wamefanya maandamano katika ofisi za jiji kuomba kusikilizwa kero zao ikiwepo kukamatwa na kutozwa faini wawapo barabarani. Mwenyekiti wa umoja huo Ndg. Aliko Fuanda amesema wamekuwa wakikamatwa pindi wanapoingia soko…

22 February 2024, 16:57

Mercy World Organization yawa faraja kwa wanyonge

Na Hobokela Lwinga Wadau, mashirika na watu binafsi wameombwa kujitokeza kusaidia makundi maalum ikiwemo yatima ili kupunguza changamoto mbalimbali zinazowakabili. Wito huo umetolewa na mwenyekiti wa bodi ya  taasisi isiyo ya kiserikali ya Mercy World Organization MEWO Subira Mwasamboma na…

22 February 2024, 15:09

LHRC yatembelea kituo cha redio Baraka Jijini Mbeya

Na Hobokela Lwinga Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dkt. Anna Henga ametembelea Radio Baraka Fm iliyopo jiijini Mbeya.Dkt. Henga amepata wasaa wa kujifunza namna ambavyo kituo hicho kinavyoendesha shughuli zake za kuwapatia elimu wasikilizaji…

21 February 2024, 15:08

Chunya yavuka malengo zoezi la chanjo ya surua rubella

Na mwandishi wetu Halmashauri ya wilaya ya Chunya imetoa chanjo ya Surua Rubella kwa watoto 44,942 sawa na asilimia 116.37 wakati lengo lilikuwa kuwafikia watoto 38,619 na kwa takwimu hiyo Halmashauri ya wilaya ya Chunya imekuwa ni wilaya iliyochanja watoto…

21 February 2024, 14:46

Kamanda wa polisi Songwe apandishwa cheo

Namwandishi wetu, Songwe Maofisa, Wakaguzi na Askari wa vyeo mbalimbali wa Ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoani Songwe wakiongozwa na Afisa Mnadhimu, Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP GALLUS HYERA wamempongeza Kamanda wa Polisi Mkoa huo kwa kupandishwa cheo kutoka Kamishna…

20 February 2024, 16:08

Biteko aridhishwa ujenzi wa miradi ya umeme

Na Hobokela Lwinga Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Dotto Biteko amefanya ziara leo tarehe 20.2.2024 na kukagua miradi ya uendelezaji wa umeme wa joto ardhi katika eneo la Kyejo Mbaka pamoja na Ngosi ikiwa…

About Baraka Fm

OVERVIEW

Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road. 

Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.

More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.

COVERAGE AREA

Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),

Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.

VISION

A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.

MISSION:

To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership

To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues

To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area

To provide messages of hope to heal the broken society

SOCIAL IMPACT

BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.

SLOGAN

Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.

CORE VALUES

Christianity: We seek to provide high quality media services

Quality: We seek to provide high quality media services

Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other     changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.

Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings

Social responsibility:  We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities

Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity

Respect:  We seek to treat all manner of people with respect

Impartiality: We seek to be fair to everybody

Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station

NUMBER OF STATION

At present BFM radio has two stations which are:

Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios

Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)

There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to   strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.

Baraka FM products:

  1. Live events coverage programs
  2. Daily business and financial news and adverts
  3. Political, social, human interest and economic news programs
  4. Daily sports package radio show
  5. Every day gospel music entertainment radio programs
  6. Religious and Bible knowledge  programs

DAILY PROGRAMMES:

From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.

NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.

KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.

JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education. 

EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students. 

IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge

MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.