Recent posts
14 November 2023, 19:45
Dr.Tulia:Toeni elimu huo ndio wajibu wenu kama ustawi wa jamii
Na Deus Mellah Spika wa bunge la jamhuri wa muungano wa tanzania ambaye pia ni mbunge wa jimbo la mbeya mjini Dr Tulia Akson amewataka mafiasa ustawi wa jamii nchini kuendelea kutoa elimu kwa jamii kuhusu masuala mbalimbali yanayoihusu jamii…
14 November 2023, 19:30
Wakristo watakiwa kuzalisha mali ili kujiongezea uchumi kwenye familia zao na ka…
Na Hobokela Lwinga Wakristo wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika uzalishaji mali ili kuweza kuwa mfano na ushuhuda juu ya Mungu wanayemtumikia. Wito huo umetolewa na katibu wa idara ya uwakili kanisa la Moravian Tanzania jimbo la kusini Magharibi Mch.…
13 November 2023, 18:57
34 mbaroni kwa uharifu Mbeya
Na Hobokela Lwinga Jeshi la polisi mkoa wa Mbeya limewakamata watuhumiwa 34 kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo utoroshaji madini, uhamiaji haramu, uvunjaji na wasambazaji wa noti bandia. Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya Benjamin Kuzaga amesema wanaoshikiliwa kwa tuhuma za kutorosha…
13 November 2023, 18:50
Dkt.Tulia apokelewa kwa shangwe Mbeya
Na Hobokela Lwinga Mapokezi ya spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na rais wa umoja wa mabunge duniani Dkt. Tulia Ackson mkoani Mbeya hasa jimboni kwake Mbeya mjini yamefanyika kwa kishindo na ubora mkubwa. Wakati hafla hiyo…
13 November 2023, 18:24
Sekondari Onicah watoa msaada wa lishe hospitali ya rufaa kanda ya Mbeya
Na Yudah Jay Wanafunzi wa shule ya Sekondari Onicah iliyopo Mbalizi wametoa msaada wa vyakula lishe kwa baadhi ya watoto wagonjwa wa utapiamlo waliolazwa katika hospitali ya rufaa ya Watoto kanda ya Mbeya. Wakizungumzana na kituo hiki wanafunzi hao wamesema…
13 November 2023, 17:46
Wawili wakamatwa utoroshaji madini Mbeya
Na mwandishi wetu Watu wawili wa familia moja wamekamatwa na kikosi kazi cha madini kwa kushirikiana na maafisa madini mkoa wa kimadini wa Mbeya wakitorosha vipande 28 vya dhahabu iliyochomwa yenye uzito kilogramu 1.08373 yenye thamani ya shilingi mil. 142.229.…
13 November 2023, 15:48
St. Francis Mbeya wafanya maombi kabla ya mtihani kidato cha nne
Na Deus Mellah Wakati mtihani wa taifa wa kidato cha nne ukianza leo kwa shule zote za sekondari nchini wanafunzi kidato cha nne wa shule ya St. Francis girls ya jijini Mbeya wamefanya ibada maalumu ya kumuomba Mungu ili aweze…
13 November 2023, 15:03
DC Mwanziva atembelea gereza la Ludewa, asisitiza uzalishaji mali
Na Josea Sinkala Mkuu wa Wilaya ya Ludewa mkoani Njombe Mhe. Victoria Mwanziva, amefanya ziara katika Gereza la Wilaya Ludewa mkoani humo. Akizungumza na viongozi mbalimbali amesema gereza la Ludewa pamoja na kurekebisha tabia za wafungwa pia lipo ili kuzalisha…
10 November 2023, 17:14
Tumejiandaa vyema kumpokea Dr. Tulia
Mwenyekiti wa UVCCM Mbeya mjini Ndg Clemence Mwandemba amempongeza Rais wa JMT Dr Samia Suluhu Hassan Kwa kuwa kiungo hatari mchezeshaji katika Ushindi wa Dr Tulia, pale Nchini Angola ,Dr Samia amepiga asist nyingi Pale IPU na Dr Tulia zote ameweka…
10 November 2023, 16:17
Lulandala:Iweni walinzi na watetezi wa chama na serikali
katibu mkuu wa UVCCM Fakii Lulandala amewataka vijana wa UVCCM kuwa walinzi na watetezi wa chama na serikali katika utekelezaji wa maendelo kupitia ilani ya CCM. Wito huo ameeutoa katika ofisi za chama cha mapinduzi sokomatola jijini mbeya wakati akizungumza…