Baraka FM

Recent posts

2 December 2023, 08:33

Serikali kuboresha miundombinu ya huduma za afya

Na Kelvin Lameck Serikali imesema itaendelea kuboresha miundombinu ya utoaji wa huduma za afya sambamaba na kutoa elimu kwa Wananchi ikiwa ni hatua ya kukabiliana na kupunguza maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi. Hayo yamesemwa na mkuu wa Wilaya ya Mbarali…

2 December 2023, 07:17

Pimeni afya zenu ili muishi vizuri

Na Hobokela Lwinga Jamii mkoani mbeya imeombwa kujitokeza kwenye hospitali vituo vya afya, na zahanati kupima maambukizi ya virusi vya ukimwi na kuanza matumizi ya dawa za kufubaza virusi mara moja hasa mhusika agundulikapo kuwa na maambukizi ili kuendelea kuijenga…

28 November 2023, 19:49

Moravian Tanzania yarejeshewa viwanja vyake vya Dodoma

Na Mwandishi wetu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amemuagiza Katibu Mkuu Wizara yake Eng. Anthony Sanga kuwasimamisha kazi Wapima Ardhi Enock Katete na Cleoface Ngoye kwa tuhuma za kuidhinisha na kubadilisha ramani ya eneo linalomilikiwa…

28 November 2023, 16:25

Serikali yajipanga kutatua changamoto ya maji mkoani Songwe

Na Hobokela Lwinga Naibu Waziri wa Maji, Mhandisi Maryprisca Mahundi,amesema kuwa serikali inatekeleza miradi nane yenye thamani ya sh. Bilioni 13.3 kwa ajili kutoa huduma ya maji kwenye Vijiji 22 katika Wilaya ya Mbozi, Mkoani Songwe. Mhandisi Mahundi ameeleza hayo…

28 November 2023, 16:12

77% ya vijiji vimepata huduma ya maji safi na salama nchini

Na Hobokela Lwinga Naibu Waziri wa Maji Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb) ameitaka Sekta Binafsi kutumia fursa ya milango ya uwekezaji iliyofunguliwa na serikali ya awamu ya sita kuwekeza katika Sekta ya Maji. Wito huo ameutoa jijini Mbeya wakati akifungua…

28 November 2023, 11:48

Mwanamke afariki akielekea kutibiwa hospitali

Na Frola Godwin Mwananke mmoja anayejulikana kwa majina ya Selina Kasekwa (69)amekutwa amefari katika mashamba ya Tazara yaliyopo Ikuti Iyunga jijini Mbeya. Wakizungumza na kituo hiki baadhi ya mashuhuda wamedai marehemu alikuwa mgonjwa hivyo kifo chake kimetokea wakati akijipeleka hospitali…

23 November 2023, 18:27

Mbeya kukaguliwa miradi ya maendeleo

Na Hobokela Lwinga Mkuu wa mkoa wa Mbeya mh.Juma Zuberi Homera anatarajia kuanza ziara katika halmashauri za Jiji la Mbeya na Mbeya Dc lengo likiwa ni kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na serikali. Akitoa taarifa ya ziara hiyo kwa vyombo…

23 November 2023, 18:04

Wagonjwa mtoto wa jicho Wanging’ombe kupata matibabu

Na Ezekiel Kamanga,Wanging`Ombe Njombe Wizara ya Afya imelipongeza shirika lisilo la kiserilali la Helen Keller Internationa(HKI) la Marekani kwa kugharamia kambi ya matibabu ya mtoto wa jicho itakayodumu kwa wiki moja kuanzia Novemba 20, 2023 hadi Novemba 27, 2023 hospitali…

23 November 2023, 17:44

Tumieni fursa vyuoni kuwa viongozi wa badae

Na Ezra Mwilwa Vijana Waliopo vyuoni wameshauriwa kujianda na masuala ya uongozi katika nyanja Mbalimbali za kijamii. Wito huo umetolewa na Mch.Agines Njeyo katika semina iliyoandaliwa na Wanafunzi wa Makanisa ya CCT Chuo kikuu Teofilo Kisanja ambapo amesema katika nyakati hizi vijana…

23 November 2023, 17:15

Utalii Wa Matibabu Wa Nyemelea Mkoani Songwe

Na mwandishi wetu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa(MB), Amesema serikali itaendelea kutoa fedha ili kukamilisha ujenzi wa Hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Songwe ili kuimarisha huduma za afya zikiwemo za kibingwa na kwamba itakapokamilika itachochea utalii wa tiba kwa…