Baraka FM
Baraka FM
4 September 2024, 10:30
Kuelekea katika uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi Mkuu 2025 vyama mbalimbali vya siasa vimeendelea kujiandaa kuhakikisha vinashiriki chaguzi hizo. Na Josea Sinkala, Mbeya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Mbeya Masaga Pius Kaloli,…
4 September 2024, 08:02
3 September 2024, 18:52
Sekta ya usafirishaji ni sekta inayotegemewa kwa kiwango kikubwa kutokana na uwepo wa sekta hiyo ajira nyingi zimetengenezwa licha ya uwepo wa changamoto wanazokutana nazo watendaji katika sekta hiyo. Na Hobokela Lwinga Baadhi ya maafisa usafirishaji na madereva wa daladala…
3 September 2024, 07:22
2 September 2024, 23:22
MNEC Mwaselela amekutana na wajumbe wote wa Halmashauri kuu ya CCM Wilaya na viongozi wa jumuiya zote za Chama Cha Mapinduzi wilayani Chunya. Na Ezra Mwilwa MNEC Mwaselela amepokea Taarifa za Miradi Iliyotekelezwa na Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan…
2 September 2024, 19:01
Wakati serikali na jamii kwa ujumla ikipambana na mmonyoko wa maadili unaosababisha masuala ya ushoga kwa vijana wengi baadhi ya watu wamekuwa wakipuuza Hali hiyo inajitokeza katika moja ya shule Mbeya ambapo mtu asiyefahamika amebainika akigawa biskuti zinazodhaniwa kutokuwa salama.…
2 September 2024, 18:33
Soko kuu la Mwanjelwa jijini Mbeya limekuwa na changamoto ambazo zimekuwa zikilalamilikiwa kwa muda mrefu ikiwemo kukukosa wateja wa kununua bidhaa kwani wengi wao wamekuwa wakitumia masoko ya nje ya soko. Na Hobokela Lwinga Wafanyabiashara wa soko Kuu la Mwanjelwa…
1 September 2024, 11:19
Kifo ni fumbo ambalo hakuna anayeweza kutegua fumbo hilo isipo kuwa Mungu mwenyewe anayetoa na kutwaa. Na Hobokela Lwinga Aliyekuwa Diwani wa kata ya Ilima Marehemu Philipo Shimwela amezikwa tarehe 31.8.2024 katika kijiji chao cha Lubanda kilichopo katika kata hii…
1 September 2024, 11:03
Kanisa la Moravian kupitia taratibu zake katika utumishi limeweka ukomo wa miaka 60 kwa wachungaji kutumika kwenye nafasi hiyo. Na Ezekiel Kamanga Askofu Robert Pangani wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi amewataka Watanzania kuwaombea watoto ili wamjue…
31 August 2024, 23:04
Baada ya Mwenge wa Uhuru kukagua na kizindua miradi Mbalimbali mkoani mbeya, umeagwa rasmi kuelekea mkoani Songwe. Na Ezra Mwilwa Mjumbe Wa Halmashauri Kuu Ya CCM Taifa NEC Ndugu Ndele Mwaselela Amewaongoza Wajumbe Wa Kamati ya Siasa Mkoa Wa Mbeya…
OVERVIEW
Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road.
Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.
More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.
COVERAGE AREA
Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),
Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.
VISION
A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.
MISSION:
To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership
To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues
To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area
To provide messages of hope to heal the broken society
SOCIAL IMPACT
BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.
SLOGAN
Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.
CORE VALUES
Christianity: We seek to provide high quality media services
Quality: We seek to provide high quality media services
Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.
Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings
Social responsibility: We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities
Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity
Respect: We seek to treat all manner of people with respect
Impartiality: We seek to be fair to everybody
Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station
NUMBER OF STATION
At present BFM radio has two stations which are:
Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios
Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)
There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.
Baraka FM products:
DAILY PROGRAMMES:
From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.
NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.
KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.
JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education.
EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students.
IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge
MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.