Baraka FM
Baraka FM
24 September 2024, 15:16
Ligi kuu Tanzania bara yaani NBC premier league inatarajiwa kuendelea kesho katika uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya kwa wenyeji Ken Gold kuwa kuwakaribisha Yanga kutoka Dar es salaam. Na Ezekiel Kamanga Mchezo Ligi ya NBC utaozikutanisha timu ya Ken Gold…
23 September 2024, 17:24
Kutokana na hali ilivyo nchini ya matukio ya watu kutekwa na kuuawa imemlazimu askofu Pangani kutoa kauli ya kukemea matukio hayo. Na Ezekiel Kamanga Askofu Robert Pangani wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi amewataka Waumini na Watanzania…
21 September 2024, 07:07
Wengi wa Watu wamekuwa na mazoea ya kufanya kazi Bila kutafuta maarifa mapya kuhusu kazi wanazozifanya,hata hivyo baadhi ya Watu wamekuwa wakipuuza pale tu fursa ya mafunzo inapokuwa imejitokeza kwa visingizio mbalimbali ikiwemo wingi wa majukumu. Na Hobokela Lwinga Imearifiwa…
21 September 2024, 06:14
17 September 2024, 22:11
Kila nafsi itaonja mauti vitabu vitakatifu vimeandika , na hii inadhihilisha kuwa duniani tunasafiri hivyo tunapaswa kuendelea kumtumikia Mungu kwa uaminifu. Na Hobokela Lwinga Mchungaji mstaafu marehemu Andrea Simbeye aliyefariki dunia September 14,2024 amezikwa leo Septemba 17,2024 nyumbani kwake Iwambi…
17 September 2024, 19:55
Tanzania ni nchi ya amani na kila mwananchi anapaswa kuwa mlinzi wa kulinda amani ya taifa. Na Hobokela Lwinga Mchungaji Daniel siame wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi amesema kanisa Lina wajibu wa kukemea na kuombea taifa…
17 September 2024, 06:41
15 September 2024, 16:39
Duniani hakuna mwenye makazi ya kudumu hivyo inatupasa kujiandaa ili kuwa na mwisho mwema. Na Hobokela Lwinga Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi linatangaza kifo Cha mchungaji mstaafu marehemu Andrea Simbeye kilichotokea tarehe September 14,2024. Taarifa iliyotolewa na…
14 September 2024, 06:23
13 September 2024, 22:15
Mafaniko ya mwanadamu yanategemea nguvu ya uwekezaji alionao mtu na ili uweze kufanikiwa ni lazima ujiepushe na mambo ambayo yanaweza yakakufanya ukashindwa kufanikiwa. Na Hobokela Lwinga Vijana wametakiwa kutumia muda wao mwingi katika kumtumikia Mungu na kujiimarisha kiuchumi kwani umri…
OVERVIEW
Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road.
Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.
More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.
COVERAGE AREA
Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),
Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.
VISION
A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.
MISSION:
To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership
To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues
To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area
To provide messages of hope to heal the broken society
SOCIAL IMPACT
BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.
SLOGAN
Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.
CORE VALUES
Christianity: We seek to provide high quality media services
Quality: We seek to provide high quality media services
Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.
Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings
Social responsibility: We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities
Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity
Respect: We seek to treat all manner of people with respect
Impartiality: We seek to be fair to everybody
Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station
NUMBER OF STATION
At present BFM radio has two stations which are:
Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios
Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)
There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.
Baraka FM products:
DAILY PROGRAMMES:
From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.
NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.
KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.
JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education.
EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students.
IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge
MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.