Baraka FM
Baraka FM
7 October 2024, 22:57
kutokana na kushamili kwa ajali nyingi nchi zinazohusisha vyombo Vya Moto chanzo hatujawa Na Ezekiel Kamanga Uzembe wa madereva, ukosefu wa alama za barabarani,ubovu wa mabasi na miundombinu ya barabara Mkoani Mbeya umesababisha vifo vya watu thelathini na tatu na…
7 October 2024, 09:35
Jinamizi la ajali bado limeendelea kuutesa mkoa wa Mbeya kutokana na matukio hayo ambayo yametokea mfululizo hivi karibuni. Na Ezekiel Kamanga Ajali iliyohusisha mabasi mawili ya kampuni ya Kapricon Express na Premier Line yamegongana uso kwa uso eneo la Sae…
5 October 2024, 09:55
Wakati jamii ikihitaji kupata huduma za ukaribu kwenye maeneneo yao,mahakama kuu ya Tanzania imeanza kutoa huduma hiyo kwa kutoa huduma kupitia gari ambayo itazungunguka kwenye maeneo yao. Na Deus Mellah Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Mbeya imezindua mahakama inayotembea…
4 October 2024, 13:09
katika kuweka Mazingira mazuri ya elimu Jamii inapaswa kushiriki kikamilifu katika kujenga ustawi Bora wa elimu nchini. Na Rukia Chasanika,Mufindi Iringa Naibu waziri wa viwanda na biashara na mbunge wa jimbo la Mufindi kaskazini Exaud Kigahe ameahidi kuweka maji na…
4 October 2024, 10:56
Kanisa la Moravian Tanzania limekuwa na Utaratibu wa kuhahakisha majimbo na wilaya zake kuwa na makao makuu na kujenga ofisi bora ili kuongeza ufanisi wa utendaji kazi wa huduma za kiroho kwa ustawi wa kanisa. Na Hobokela Lwinga Kanisa la…
1 October 2024, 07:30
Wafanya biashara wadogo maarufu kama Machinga wametakiwa kutumia fursa za mikopo ya halmashauri na ile ya kimachinga inayo tolewa na serikali.Wito huo umetolewa na Afisa Maendeleo Jiji la Mbeya Deus Mhoja katika mkutano na wamachinga kilichofanyika ukumbi wa shule ya…
30 September 2024, 15:34
Maandalizi kuelekea uchaguzi wa serikali mitaa ambapo tayari elimu imeanza kutolewa kwa wasaidizi wa wasimamizi wa uchaguzi huo. Deus Mellah Halmashauri ya jiji la Mbeya imetoa mafunzo kwa Wasimamizi Wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya kata kuhusu kanuni na taratibu za…
29 September 2024, 17:03
Uwepo wa dawati la baraza la wazee kwa ngazi ya taifa, mkoa, wilaya na kata wazee wameomba serikali kuwapatia ofisi. Na Ezra Mwilwa Katika kuelekea kilele cha kuadhimisha siku ya wazee duniani tarehe 01 Oktoba, wazee mkoani Mbeya wamekutana kuadhimisha…
28 September 2024, 00:06
Wimbi la ajali limeendelea kuukumba mkoa wa Mbeya ambapo kwa mwezi wa tisa pekee zimetokea ajali tatu. Na Hobokela Lwinga Watu 11 wamefariki dunia baada ya gari lenye namba za usajili T.601 CFS Lori aina ya Mitsubishi Fuso walilokuwa wamepanda…
26 September 2024, 20:22
Katika kudumisha na kuendeleza Injili kupitia kanisa la Moravian duniani kunalifanya kanisa hilo kuwa na mikutano ya pamoja. Na Hobokela Lwinga Wenyeviti wa majimbo yanayounda kanisa la Moravian Tanzania wameshiriki mkutano Mkuu wa kanisa la Moravian duniani unaofanyika katika visiwa…
OVERVIEW
Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road.
Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.
More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.
COVERAGE AREA
Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),
Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.
VISION
A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.
MISSION:
To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership
To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues
To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area
To provide messages of hope to heal the broken society
SOCIAL IMPACT
BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.
SLOGAN
Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.
CORE VALUES
Christianity: We seek to provide high quality media services
Quality: We seek to provide high quality media services
Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.
Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings
Social responsibility: We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities
Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity
Respect: We seek to treat all manner of people with respect
Impartiality: We seek to be fair to everybody
Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station
NUMBER OF STATION
At present BFM radio has two stations which are:
Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios
Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)
There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.
Baraka FM products:
DAILY PROGRAMMES:
From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.
NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.
KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.
JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education.
EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students.
IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge
MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.