Baraka FM
Baraka FM
12 October 2024, 09:33
kumalizika kwa Mkutano mkuu wa Jimbo kwa kanisa la Moravian Tanzania kunatoa fursa kwa vijana hao kuanza maandalizi ya mkuu wa kanisa la Moravian Tanzania (KMT) ambao utafanyika jijini Dodoma. Na Hobokela Lwinga Vijana kati wa kanisa la Moravian tanzania…
12 October 2024, 05:26
9 October 2024, 08:24
Wakati msimu wa kilimo ukiwa umekaribia wananchi wanatakiwa kuchukua tahadhali ya kutokuharibu Mazingira. Na Hobokela Lwinga Wito umetolewa kwa baadhi ya wananchi kuacha tabia ya kuchoma moto mashamba wakati wa usafishaji ili kuepuka athari za moto huo kusambaa katika maeneo…
8 October 2024, 12:09
REGROW ni Mradi wa Serikali unaofadhiliwa na Benki ya Dunia kwa Lengo la kuboresha usimamizi wa maliasili na kukuza utalii kusini mwa Tanzania. Hifadhi ya Taifa ya Ruaha pamoja na hifadhi ya Mikumi, Udzungwa na Nyerere wanatekeleza mradi huu. Kutokana…
8 October 2024, 12:00
Ewe mwananchi mradi wa REGROW Unaofadhiliwa na bank ya dunia unakupa fursa ya kutoa malalamiko yako endapo unaipata changamoto katika uhifadhi, ukatili wa kijinsia, sambamba na migogoro ya ardhi. Njia za kutoa malalamiko 1. Fika ofisi za Kijiji chako, utapokelewa…
8 October 2024, 07:40
Ili kuondokana na uhalifu kwenye jamii, wananchi wamekuwa wakishauriwa kuwa na bidii ya kufanya kazi. Na Ezekiel Kamanga Kijana mmoja ambaye hajafahamika jina wala makazi amenusurika kifo baada ya kupigwa baada ya kutuhumiwa kuiba pikipiki ya Chama Cha Mapinduzi inayotumiwa…
8 October 2024, 01:04
Ili uweze kufanikiwa kwenye jambo lolote ni lazima uhitaji ushirikiano kutoika kwa mtu mwingine iwe kimwili au kiroho ndio maana wahenga wanasema “kidole kimoja hakivunji chawa“. Na Deus Mellah Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi limeanzisha ushirikiano na…
8 October 2024, 00:29
Ni utaratibu wa kikatiba kila ngazi ya kanisa la moravian tanzania kuanzia wilaya,jimbo kuwa na ofisi za kisasa lengo likiwa ni kusogeza huduma za kiroho kwa waumini wake. na Hobokela Lwinga Makamu Mwenyekiti wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la…
8 October 2024, 00:05
Mapema Leo Kumeshuhudiwa Kutokea Kwa Jali Ya Masafa Marefu Sae Jijini Mbeya Na Ezekiel Kamanga Watu kumi na saba wamejeruhiwa baada ya mabasi mawili yanayofanya safari zake Mbeya-Arusha mali ya kampuni ya Kaplikon na basi jingine la kampuni ya Premier…
7 October 2024, 23:11
Wakati matukio mbalimbali yakiendelea kutokea nchini sababu inatajwa kuwa watu kumuacha Mungu na kufanya vitendo Vya kishirikina. Na Ezekiel Kamanga Wakristo Duniani wametakiwa kukimbilia kwenye nyumba za ibada pia watumishi wawe faraja kwa waumini wao badala ya kutangatanga mitaani ambako…
OVERVIEW
Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road.
Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.
More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.
COVERAGE AREA
Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),
Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.
VISION
A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.
MISSION:
To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership
To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues
To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area
To provide messages of hope to heal the broken society
SOCIAL IMPACT
BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.
SLOGAN
Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.
CORE VALUES
Christianity: We seek to provide high quality media services
Quality: We seek to provide high quality media services
Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.
Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings
Social responsibility: We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities
Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity
Respect: We seek to treat all manner of people with respect
Impartiality: We seek to be fair to everybody
Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station
NUMBER OF STATION
At present BFM radio has two stations which are:
Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios
Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)
There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.
Baraka FM products:
DAILY PROGRAMMES:
From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.
NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.
KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.
JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education.
EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students.
IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge
MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.