Baraka FM
Baraka FM
21 October 2024, 15:39
Kama ilivyo utaratibu wa kikatiba ya kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi kila mchungaji anayefikisha umri wa miaka 60 huwa anastaafu. Na Deus Mellah Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusin Magharibi wilaya ya Mbeya limemuaga Mwenyekiti wao…
21 October 2024, 08:18
Elimu ya uzimaji Moto inapaswa kuendelea kutolewa kwa wananchi ili kukabiliana na majanga ya Moto Na Mwandishi wetu Vyumba vitatu vya Madarasa na ofisi moja ya Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Jitegemee iliyopo Mji Mdogo wa Mbalizi Wilaya ya…
20 October 2024, 19:54
Taifa lolote linategemea nguvu ya vijana hivyo kwa kutambua hilo mamlaka zimekuwa na wajihubwa kuwajenga vijana kuwa wazalendo. Na Kelvin Lameck Aliyewahi kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii nchini Tanzania Mh. Lazaro Nyarandu amewataka vijana kuwa wazalendo kwa kufanya mambo…
17 October 2024, 21:11
Wakati wahenga wanasema elimu haina mwisho hii inamaana kwamba unapotoka hatua moja inakupeleka hatua nyingine ya elimu ya juu. Na Deus Mellah Wanafunzi wa kidato cha nne wanaotarajia kufanya mtihani wao wa taifa Novemba 11, 2024 wametakiwa kujianda na kupitia…
17 October 2024, 19:54
November 27,2024 Tanzania inatarajia kufanya uchaguzi wa Serikali za mitaa, vijiji na vitongoji ambapo kwa sasa zoezi la uandikishaji linaendelea. Na Hobokela Lwinga Wakati leo ikiwa ni siku ya saba tangu zoezi la wananchi kwenda kujiandikisha kwenye daftari la mpiga…
17 October 2024, 15:43
Kumekuwa na familia nyingi zinazoishi katika hali duni za maisha kwa kutambua hilo kila mtu anawajibu wa kusaidia jamii hizo ili kuondokana na changamoto zinazozikabili. Na Flora Godwin Kikundi Cha Iyela Mamas wameto msaada kwa wahitaji zaidi ya 50 wakijumuishwa…
15 October 2024, 19:26
Wakristo wametakiwa kuwa mastari wa mbele kuendelea kuliombea taifa hasa kipindi hiki cha kuelekea kwenye uchaguzi. Na Josea Sinkala Kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa, vitongoji na vijiji nchini Tanzania, wachungaji na waumini mbalimbali jijini Mbeya wamejitokeza kwenye maombi ya…
15 October 2024, 06:48
14 October 2024, 13:41
Takribani siku nne vijana wa kanisa la Moravian wamekuwa na Mkutano wa kujifunza neno la Mungu. Na Hobokela Lwinga Vijana kati kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi wamehitimisha Mkutano wao mkuu wa Jimbo uliofanyika katika ushirika wa Mkwajuni…
12 October 2024, 18:25
Ili kuongeza ufaulu kwa wanafunzi jamii haina budii kuweka mazingira mazuri kwa kuhakikisha miundombinu inakuwa rafiki kwa wanafunzi. Na Ezekiel Kamanga Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge…
OVERVIEW
Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road.
Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.
More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.
COVERAGE AREA
Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),
Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.
VISION
A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.
MISSION:
To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership
To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues
To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area
To provide messages of hope to heal the broken society
SOCIAL IMPACT
BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.
SLOGAN
Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.
CORE VALUES
Christianity: We seek to provide high quality media services
Quality: We seek to provide high quality media services
Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.
Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings
Social responsibility: We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities
Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity
Respect: We seek to treat all manner of people with respect
Impartiality: We seek to be fair to everybody
Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station
NUMBER OF STATION
At present BFM radio has two stations which are:
Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios
Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)
There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.
Baraka FM products:
DAILY PROGRAMMES:
From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.
NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.
KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.
JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education.
EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students.
IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge
MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.