Baraka FM
Baraka FM
4 November 2024, 19:22
Unawaza ukadhani ni simulizi lakini hii habari ya kwel kwa wanandoa wenye ulemavu wa kutoona kuamua kuishi pamoja. Na Ezekiel Kamanga Upendo Tebela(37)na mumewe Mwakifumbwa(52) wakazi wa Mbalizi wote ni vipofu waliamua kuoana mwaka 2021 na wamejaliwa kupata mtoto wa…
29 October 2024, 19:24
Mikutano ya injili ambayo imekuwa ikifanyika maeneo mbalimbali imekuwa na matokeo chanya hali hiyo imekuwa ikisaidia kuhamasisha watu kuishi kwa amani na upendo. Na Iman Anyigulile Waumini wa dini ya kikristo mkoani Mbeya wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuhudhuria mikutano ya…
28 October 2024, 16:41
Kanisa linapaswa kutokuwa na kampeni za uchaguzi wakati wa uchaguzi wa viongozi. Na Hobokela Lwinga Askofu wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi Mch.Robert Pangani ameonya watumishi wanaofanya kampeni ndani ya kanisa kuwa hatua hiyo inaweza kukwamisha kupata…
27 October 2024, 20:54
Wakati usambazwaji wa mitihani ya kidato cha pili ukiendelea kufanyika nchini changamoto imeweza kutokea katika halmashauri ya chunya. Na Hobokela Lwinga Watu kadhaa wamejeruhiwa katika ajali ya gari Mali ya kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi wilaya ya…
26 October 2024, 18:00
Demokrasia inapaswa kutumika mahali popote iwe kwenye taasisi za dini, binafsi au umma ili kupata lidhaa kutoka kwa watu wanaohitaji kuongozwa. Na Hobokela Lwinga Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la lake Tanganyika(kigoma)limefanya mkutano mkuu wa Jimbo hilo na kuchagua viongozi…
26 October 2024, 07:51
Malalamiko yatasikilizwa kwa umakini, na utapata mrejesho mara moja. Hifadhi ya Taifa Ruaha na Mradi wa REGROW wanahakikisha usalama na ustawi wa jamii yako. REGROW ni Mradi wa Serikali unaofadhiliwa na Benki ya Dunia kwa Lengo la kuboresha usimamizi wa…
24 October 2024, 11:05
Uchaguzi unatoa fursa kwa wananchi kuchagua viongozi watakaawaongoza, katika kutambua hilo wananchi wanapaswa kuchagua viongozi bora. Na Hobokela Lwinga Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma Tanzania mkoa wa Mbeya Ipyana Njiku, amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kuchagua viongozi bora…
23 October 2024, 16:05
Serikali ikiendelea kuweka mazingira mazuri kwa wawekezaji nao wanawajibu wa kuendelea kutoa ushirikiano kwa kutoa huduma bora kwa wananchi. Na Hobokela Lwinga Kampuni ya mawasiliano Tanzania Tigo imesema itaendelea kutoa ushirikiano kwa Serikali kuhudumia wananchi katika nyanja mbalimbali ikiwemo kupitia…
22 October 2024, 07:29
Viongozi wa Dini wameazwa kulitumikia kanisa na watu mbalimbali bila kujali itikadi za kidini wala kabila. Na Ezra Mwilwa Wachungaji na viongozi wengineo wa makanisa wametakiwa kutenda kazi ya Mungu bila upendeleo wowote katika kuhudumia watu.Wito huo umetolewa na Dr.Askofu…
21 October 2024, 18:53
Taasisi mbalimbali nchini zinawajibu wa kuisaidia jamii kuondoa changamoto ambazo zinaikabili katika nyanja mbalimbali. Na Mch.Bosco Nyambege Wananchi wa Kijiji Cha Luhanga kata ya Luhanga wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya wamelishukuru Kanisa la Moravian Tanzania jimbo la kusini magharibi kupitia…
OVERVIEW
Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road.
Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.
More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.
COVERAGE AREA
Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),
Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.
VISION
A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.
MISSION:
To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership
To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues
To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area
To provide messages of hope to heal the broken society
SOCIAL IMPACT
BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.
SLOGAN
Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.
CORE VALUES
Christianity: We seek to provide high quality media services
Quality: We seek to provide high quality media services
Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.
Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings
Social responsibility: We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities
Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity
Respect: We seek to treat all manner of people with respect
Impartiality: We seek to be fair to everybody
Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station
NUMBER OF STATION
At present BFM radio has two stations which are:
Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios
Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)
There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.
Baraka FM products:
DAILY PROGRAMMES:
From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.
NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.
KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.
JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education.Â
EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students.
IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge
MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.  Â