Baraka FM

Akamatwa na nyaraka za serikali Mbeya

31 July 2024, 19:52

Afisa Uhamiaji mkoa wa Mbeya akizungumza nawana Habari (Picha na Ezra Mwilwa)

Idara ya Uhamiaji mkoani Mbeya imemkamata Dismas Nziku kwa tuhuma za kutengeneza vyeti bandia vya kuzaliwa vinavyofanana na vile vinavyotolewa na Wakala wa Usajili.

Afisa Uhamiaji mkoa wa Mbeya Ferbert Ndege Amesema wamemkamata mtuhumiawa aliye kutwa na nyaraka za serikali.

Sauti ya Afisa Uhamiaji mkoa wa Mbeya Ferbert Ndege

Nao baadhi ya maafisa kutoka idara ya upelelezi mkoa wa Mbeya wamesema wataendelea na msako wakuwatafuta watu wote wanao jihusisha na vyitendo kama hivyo.

Sauti za baadi ya maafisa upelelezi mkoa wa Mbeya