Baraka FM
Baraka FM
29 May 2025, 19:16
wakristo watakiwa kuacha kuwanyanyapaa watu wanaoishi na maambukizi ya virusi vya ukimwi Na Ezra Mwilwa wito huo umetolewa na Askofu Robert Pangani amesema wameandaa mafunzo hayo yanayolenga kusaidia jamii zetu kuepukana na ongezeko la maambikizi mapya ya maambikizi mapya. katibu…
29 May 2025, 17:31
Kanisa la Moravian linaoutaratibu wa watumishi wake kustaafu pale wanapofikisha umri wa miaka 60,umri huo unaendana na umri wa kustaafu kwa watumishi wa serikali. Na Hobokela Lwinga Waumini wa Kanisa la Moraviani Jimbo la Kusini Magharibi wametakiwa kujiandaa na kushiriki…
26 May 2025, 15:31
Kutokana na uwepo wa uzalishaji maudhui mbalimbali katika mitandao ya kijamii waandishi wa habari wametakiwa kutumia taaluma Zao kuelimisha jamii Na Ezra Mwilwa Mafunzo hayo yaliyo andaliwa na mtandao wa Radio Jamii (TADIO) yamefanyika katika ukumbi wa hotel ya Mdope…
26 May 2025, 13:16
Changamoto ya zao la pareto ni uwepo wa wanunuzi holela(vishoka) wasiofuata taratibu za ununuzi wa zao hilo. Na Hobokela Lwinga Serikali ya halmashauri ya wilaya mbeya imaahidi kuwashughulina kuwakamata wanunuzi walanguzi wanaowanyonya wakulima wanaojihusisha na kilimo cha pareto. Akizungumza na…
24 May 2025, 20:52
Wataalamu wa afya watakiwa kutoa kipaumbele kwa vijana katika kuwapa elimu ya afya ili kuwasaidia kuondokana na changamoto zinazochangiwa na ukosefu wa elimu hiyo.Na Lukia ChasanikaShirika la DSW Tanzania limeendelea kutoa elimu mbalimbali kwa vijana waliopo vyuoni na nje ya…
24 May 2025, 15:29
Kuelekea uchaguzi Mkuu October 2025 baadhi ya makada kupitia vyama vyao vya siasa wameanza kutangaza nia zao kuwania nafasi mbalimbali ikiwemo udiwani,ubunge na urais. Na Ezra Mwila Kada wa chama cha mapinduzi na mwandishi wa habari mkoani Mbeya Charles…
22 May 2025, 09:22
Jeshi la polisi mkoa wa Mbeya limeendelea kufanya misako mbalimbali ya kuwabaini wahalifu wa makosa mbalimbali. Na Hobokela Lwinga Jeshi La Polisi Mkoa Wa Mbeya Linawashikilia Watuhumiwa Wawili Wote Wanawake, Ambao Ni Seva Simwinga [29] Na Sara Simwinga [35] Wafanyabiashara…
19 May 2025, 17:53
Viongozi wa dini nchini wametakiwa kuwahimiza wakristo kuendelea kuombea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu ili uweze kufanyika kwa amani na wapatikane viongozi wenye maono. Kufuatia tukio kubwa la uchaguzi wa viongozi mbalimbali ndani ya taifa letu mwaka huu…
19 May 2025, 16:52
Ni jukumu la kila mwananchi kuombea taifa ili liendelee kuwa na amani na katika hilo kila mtu anaowajibu wakulinda amani ya nchi. Na Hobokela Lwinga Waumini Wakanisa La Moravian Tanzania Ushirika Wa Nsonyanga Uliopo Halmashauri Ya Mbeya Wamefanya Ibada Ya…
10 May 2025, 07:31
Zao la pareto ni miongoni mwa mazao ya biashara yanayolimwa nchini Tanzania,katika Mikoa ya Mbeya zao hili limekuwa likilimwa katika halmashauri ya wilaya ya Mbeya,Rungwe,Busokelo na katika mkoa wa Songwe zao hili linalimwa katika wilaya ya Ileje. Na Hobokela Lwinga…
OVERVIEW
Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road.
Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.
More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.
COVERAGE AREA
Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),
Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.
VISION
A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.
MISSION:
To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership
To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues
To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area
To provide messages of hope to heal the broken society
SOCIAL IMPACT
BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.
SLOGAN
Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.
CORE VALUES
Christianity: We seek to provide high quality media services
Quality: We seek to provide high quality media services
Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.
Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings
Social responsibility: We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities
Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity
Respect: We seek to treat all manner of people with respect
Impartiality: We seek to be fair to everybody
Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station
NUMBER OF STATION
At present BFM radio has two stations which are:
Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios
Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)
There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.
Baraka FM products:
DAILY PROGRAMMES:
From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.
NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.
KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.
JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education.
EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students.
IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge
MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.