Baraka FM
Baraka FM
12 January 2024, 18:02
Na mwandishi wetu,Chunya Kamati ya fedha, Uchumi na Mipango ya Halmashauri ya wilaya ya Chunya ikiongozwa na Makamu mwenyekiyi wa Halmashauri imeagiza viongzoi wa vijiji na kata zote kutenga maeneo ya kujenga miundombinu ya maendeleo katika vijiji na kata zao…
11 January 2024, 18:33
Na mwandishi wetu, Mbeya Leo Alhamiss Januari 11 2024 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Cde:Juma Homera ameipokea Kamati ya Kudumu ya Bunge Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Ikiongozwa na M/kit wa Kamati hiyo Denis Lazaro Yondo Mbunge wa…
11 January 2024, 17:46
Na Moses Mbwambo,Iringa Ikiwa ni siku chache vyombo vya habari kuripoti tukio la mwananchi aliyeliwa na mamba katika bwawa la mtera lililopo kata ya migori, Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego leo amefanya…
11 January 2024, 12:38
Na mwandishi wetu, Songwe Mbunge wa Jimbo la Momba Mhe. Condester Sichalwe amesema kuwa kivuko cha waenda kwa miguu kinachounganisha kata ya Ivuna na Mkomba pamoja na Wilaya ya Songwe kimegharimu kiasi cha Shilingi milioni 207 kimeweza kurahisisha shughuli za…
11 January 2024, 12:22
Na mwandishi wetu, Songwe Furaha ya wakazi wa kata ya Kinyala ipo Mbioni kukamilika baada ya Halmashauri kukamilisha ujenzi wa kituo cha afya kwa kutumia mapato yake ya ndani kwa gharama ya zaidi ya shilingi million 201. Jumla ya majengo…
11 January 2024, 12:11
Na mwandishi wetu, Songwe Wakuu wa Divisheni ya Elimu Awali, Msingi na Sekondari wamefanya ziara ya kufuatilia hali ya uripoti wa wanafunzi wanaoanza elimu ya awali, darasa la kwanza na wanaojiunga na kidato cha kwanza katika baadhi ya shule zilizopo…
11 January 2024, 11:50
Na mwandishi wetu, Songwe Walimu kutoka Kata za Saza, Mkwajuni na Mwambani Wilayani Songwe wamepewa mafunzo ya mtaala ulioboreshwa yaliyofanyika katika Shule ya Msingi Mkwajuni. Akizungumza wakati wa mafunzo hayo, Mkuu wa Divisheni ya Elimu Awali na Msingi Wilaya ya…
9 January 2024, 19:03
Na mwandishi wetu, Songwe Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Dkt. Francis K. Michael Ameshiriki kugawa chakula na kula pamoja na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Uwanjani iliyopo Halmashauri ya Mji Tunduma Mhe.Dkt. Michael, amefanya ziara hiyo ikiwa ni…
9 January 2024, 18:49
Na Mwandishi wetu,Songwe Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Dkt. Francis K. Michael, amekagua ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari Izuba Kata ya Isongole Wilayani Ileje na kueleza kuridhishwa na mwenendo wa ujenzi shule hiyo. Mkoa wa Songwe amefanya ukaguzi…
9 January 2024, 18:38
Na mwandishi wetu,Songwe Madereva wa Pikipiki maarufu kama Bodaboda wa Wilaya ya Momba Mkoa wa Songwe wametakiwa kufuata sheria za usalama barabarani na kuzingatia matumizi sahihi ya barabarani ikiwa ni pamoja na kuacha kujihusisha na usafirishaji wa bidhaa za magendo…
OVERVIEW
Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road.
Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.
More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.
COVERAGE AREA
Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),
Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.
VISION
A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.
MISSION:
To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership
To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues
To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area
To provide messages of hope to heal the broken society
SOCIAL IMPACT
BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.
SLOGAN
Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.
CORE VALUES
Christianity: We seek to provide high quality media services
Quality: We seek to provide high quality media services
Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.
Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings
Social responsibility: We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities
Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity
Respect: We seek to treat all manner of people with respect
Impartiality: We seek to be fair to everybody
Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station
NUMBER OF STATION
At present BFM radio has two stations which are:
Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios
Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)
There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.
Baraka FM products:
DAILY PROGRAMMES:
From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.
NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.
KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.
JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education.
EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students.
IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge
MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.