Baraka FM
Baraka FM
16 January 2024, 14:42
Na mwandishi wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeadhimisha “Police Family Day” kwa kushiriki shughuli mbalimbali na michezo na familia zao. Akifungua sherehe za maadhimisho ya “Police Family Day” Januari 12, 2024 katika uwanja wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia…
16 January 2024, 14:34
Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mhe.Benno Malisa ameahidi kuendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi kwa kuhakikisha linapata vitendea kazi ikiwemo magari kwa ajili ya kufanya kazi kwa ufanisi. Ametoa kauli hiyo wakati akikabidhi magari mapya matatu kwa…
16 January 2024, 14:16
Na mwandishi wetu Katika Ukanda wa juu na kati katika Halmashauri ya wilaya ya Rungwe baadhi ya mashamba mahindi yameanza kukauka. Pamoja na kukauka bado mvua inaendelea kunyesha katika kata zote ikilenga kustawisha mazao mbalimbali. Wakulima Mnakumbushwa kuvuna kwa wakati…
16 January 2024, 12:00
Na Hobokela Lwinga Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh: Kasim Majaliwa tayari amewasili katika Uwanja wa Kimataifa Songwe ulioko Mkoani Mbeya kwaajiri ya Kushiriki Hafla ya Ufunguzi wa Chuo Kikuu Cha Kikatoloki Mbeya(CUoM). Waziri Mkuu amepokelewa na…
16 January 2024, 11:07
Na mwandishi wetu Halmashauri ya wilaya ya Rungwe ikishirikiana na wadau wengine (TFS &Bonde la maji ziwa Nyasa) imeungana na Watanzania wengine katika zoezi la upandaji wa miti. Zoezi hili limefanyika katika shule mpya ya sekondari Isaka iliyopo katika kata…
16 January 2024, 10:36
Na Mwandishi wetu Songwe Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Songwe kamishna msaidizi ACP Theopista Malya amesema kuwa vitendo vya ukatili wa kijinsia vimepungua mkoani Songwe kutokana na elimu inayotolewa kuifikia jamii. Kamanda Malya ameyasema hayo wakati akizungumza na…
16 January 2024, 10:25
Na mwandishi wetu Halmashauri ya wilaya ya Rungwe inatarajia kupanda miche ya miti Millioni 1.5 katika mwaka huu wa fedha 2023/24. Hii inajumuisha miche iliyopo katika kitalu cha Halmashauri kilichopo Tukuyu mjini na mingine kupitia wadau mbalimbali. Katika kitalu cha…
16 January 2024, 10:19
Na mwandishi wetu Isaka sekondari, shule mpya katika kata ya Nkunga ambayo imesajiliwa kwa namba S. 6491 na tayari imeanza kupokea wanafunzi wa kidato cha kwanza. Kuanzishwa kwa shule hii kumesaidia kuondoa msongamano wa wanafunzi darasani katika shule ya sekondari…
16 January 2024, 09:53
Mvua
14 January 2024, 20:01
Na Moses Mbwambo, Iringa Hivi karibuni Baada ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego, Kuingia kazini kusaka Mamba leo Askari wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania Tawa kwa Kushirikiana na Wananchi wa Kata ya Migoli Halmashauri ya…
OVERVIEW
Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road.
Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.
More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.
COVERAGE AREA
Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),
Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.
VISION
A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.
MISSION:
To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership
To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues
To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area
To provide messages of hope to heal the broken society
SOCIAL IMPACT
BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.
SLOGAN
Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.
CORE VALUES
Christianity: We seek to provide high quality media services
Quality: We seek to provide high quality media services
Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.
Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings
Social responsibility: We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities
Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity
Respect: We seek to treat all manner of people with respect
Impartiality: We seek to be fair to everybody
Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station
NUMBER OF STATION
At present BFM radio has two stations which are:
Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios
Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)
There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.
Baraka FM products:
DAILY PROGRAMMES:
From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.
NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.
KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.
JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education.
EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students.
IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge
MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.