Baraka FM
Baraka FM
18 January 2024, 20:36
Na Hobokela Lwinga Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Cde Juma Zuberi Homera amewahakikishia Usalama wa Kutosha Wafanyabiashara na wawekezaji wa Mkoa wa huo ili kuendelea kufanya Shughuli zao za Uzalishaji Mali wenye tija kwa Serikali na Wakazi wa Mbeya kwa…
18 January 2024, 20:27
Na Hobokela Lwinga Mkuu wa wilaya ya Mbeya Mkoani Mbeya Mh.Beno Malisa ametoa onyo kali kwa wakulima,mawakala wa mbolea na wanaoshiriki kuhujumu mpango wa mbolea ya ruzuku iliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan…
18 January 2024, 20:21
Na Mwandishi wetu Songwe. Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wakiwemo waandishi wa habari ili kuendelea kujiwekea mikakati ya kuifikia jamii kwa kuipatia elimu na kuijengea uelewa kuhusu madhara ya uhalifu. Hayo yalibainishwa wakati wa…
18 January 2024, 15:33
Na Ezra Mwilwa Wakulima wa zao la chai wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya wameviomba vyama vya ushirika kuwalipa mapema malipo yao ili waweze kuendeleza kilimo hicho kwa ufanisi. Mwenyekiti wa wakulima hao Ndg. Asajile Mwasampeta amesema wamekua wakipata changamoto ya…
18 January 2024, 12:10
Na Hobokela Lwinga Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Konde, Geofrey Mwakihaba amewataka wachungaji kuacha usanii na kurejea kwenye misingi ambayo Mungu amewatuma. Amesema hayo katika ibada ya kuwabariki wachungaji 17 wa Kanisa hilo na…
18 January 2024, 11:36
Na Hobokela Lwinga Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe baada ya kukamilisha ujenzi kwa kutumia Mapato yake ya ndani ipo mbioni kuanza kutoa huduma ya elimu katika shule mpya ya Msingi Umoja kwa Mchepuo wa Kingereza (Umoja English Medium). Shule hii…
18 January 2024, 11:23
Na Ezekiel Kamanga Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mbeya SF Malumbo Ngata ametoa taarifa ya miezi sita ya matukio mbalimbali hamsini na tatu yalliyoripotiwa Mkoani Mbeya likiwemo la vifo vya watoto wawili waliofariki baada kutumbukia kisima…
16 January 2024, 21:22
Na Hobokela Lwinga Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema katika mwaka wa masomo wa 2023/2024, Serikali imetenga shilingi bilioni 48 kwa ajili ya kutoa mikopo kwa wanafunzi wa ngazi ya stashahada. Amesema hayo leo wakati wa ufunguzi wa Chuo Kikuu Katoliki…
16 January 2024, 19:45
Na Hobokela Lwinga Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kasim Majaliwa ameondoka Mkoani Mbeya baada ya Kushiriki Hafla ya Ufunguzi wa Chuo Kikuu Cha Kikatoloki Mbeya (CUoM) Leo January 16 2024.
16 January 2024, 18:39
Na Hobokela Lwinga Waziri Mkuu Kassim Majaliwa rasmi amekizindua na kukipandisha Hadhi chuo kikuu kishiriki Cha Cathoric University Collage of Mbeya (CUCoM) na kuwa chuo kikuu kamili Cha kikatoliki Mbeya (CUoM) Leo January 16 2024. Awali akifungua chuo hicho kwa…
OVERVIEW
Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road.
Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.
More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.
COVERAGE AREA
Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),
Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.
VISION
A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.
MISSION:
To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership
To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues
To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area
To provide messages of hope to heal the broken society
SOCIAL IMPACT
BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.
SLOGAN
Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.
CORE VALUES
Christianity: We seek to provide high quality media services
Quality: We seek to provide high quality media services
Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.
Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings
Social responsibility: We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities
Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity
Respect: We seek to treat all manner of people with respect
Impartiality: We seek to be fair to everybody
Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station
NUMBER OF STATION
At present BFM radio has two stations which are:
Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios
Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)
There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.
Baraka FM products:
DAILY PROGRAMMES:
From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.
NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.
KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.
JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education.
EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students.
IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge
MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.