

19 December 2023, 19:58
Na mwandishi wetu Halmashauri ya wilaya ya rungwe imeanza zoezi la kutoa elimu kwa mlipa kodi lengo likiwa ni kuwajengea uelewa wananchi faida ya kutoa kodi kwa maendeleo ya taifa letu. Katika soko la ndizi mabonde tukuyu mjini leo, wananchi…
19 December 2023, 19:49
Shangwe ya Mapokezi ya Mwenyekiti Mpya wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Patrick Mwalunenge Katika Wilaya ya Rungwe lmefana baada ya Mamia ya wakazi wa wilaya ya Rungwe kujitokeza Kumlaki. Mapokezi yamefanyika katika uwanja wa stendi ya daladala Tukuyu mjini. Mwalunge…
19 December 2023, 19:39
Na mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Cde Juma Zuberi Homera ameshiriki Mkutano wa Wadau Nyanda za Juu Kusini lililoandaliwa na Baraza la Kumshauri Rais kuhusu masuala ya Chakula na Kilimo chini ya Waziri Mkuu Mstaafu Mh: Mizengo Kayanza…
19 December 2023, 19:23
Na Moses Mbwambo Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego akiwa ameambatana na viongozi wa Mbalimbali wa mkoa huo wakiwemo wakuu wa Wilaya Wakurugenzi viongozi wa Chama cha Mapinduzi na kamati ya ulinzi wametoa Mkono wa pole kwa Waathirika…
12 December 2023, 19:28
Na mwandishi wetu,Songwe Ili Kujikwamua kiuchumi na kuanza kujitegemea Klabu ya waandishi wa Habari mkoa wa Songwe imeanzisha mradi wa kilimo cha zao la parachichi ambalo wanategemea kuanza kuvuna baada ya miaka miwili. Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa klabu ya…
12 December 2023, 19:23
Na mwandishi wetu,Rungwe Mbeya Mheshimiwa Joseph Kakunda Mbunge wa Jimbo la Sikonge Mkoa wa Tabora ameipongeza Halmashauri ya wilaya ya Rungwe kwa Kuzalisha zaidi ya lita za maziwa million 44 kwa mwaka hatua iliyoongeza kipato cha wananchi sambamba na uboreshaji…
12 December 2023, 19:09
Na mwandishi wetu, Songwe Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Dkt. Francis K. Michael katika kuimarisha sekta ya miundombinu ya barabara amekabidhi gari aina ya Toyota Landcruiser ambalo limetolewa na serikari kupitia Wizara ya Ujenzi katika ofisi ya Wakala wa…
12 December 2023, 18:38
Na Mwandishi Wetu,Songwe Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Dkt Francis K. Michael, amepokea msaada kutoka kwenye Kikundi cha Tunduma ni Fursa Online 11 Desema 2023. ambacho kimetoa tani moja ya mahindi, kilo 250 za sabuni, mavazi pamoja na viatu…
9 December 2023, 09:34
Na Hobokela Lwinga Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi limesema nia yake ni kuiunga Serikali katika utoaji wa huduma bora hasa katika sekta ya elimu. Hayo yamesemwa na askofu mteule na mwenyekiti wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo…
9 December 2023, 08:16
Na Hobokela Lwinga Katibu Tawala Mkoa wa Mbeya Rodrick Mpogolo amewataka Watumishi wote Mkoani Mbeya Kufanya Kazi kwa Kufuata Misingi na Maadili ya Kazi na kutanguliza Mbele Uzalendo ili Wananchi wapate huduma sahihi sawasawa na Wanavyostahili. Ameyasema hayo Wakati akizungumza…
OVERVIEW
Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road.
Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.
More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.
COVERAGE AREA
Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),
Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.
VISION
A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.
MISSION:
To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership
To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues
To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area
To provide messages of hope to heal the broken society
SOCIAL IMPACT
BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.
SLOGAN
Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.
CORE VALUES
Christianity: We seek to provide high quality media services
Quality: We seek to provide high quality media services
Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.
Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings
Social responsibility: We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities
Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity
Respect: We seek to treat all manner of people with respect
Impartiality: We seek to be fair to everybody
Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station
NUMBER OF STATION
At present BFM radio has two stations which are:
Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios
Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)
There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.
Baraka FM products:
DAILY PROGRAMMES:
From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.
NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.
KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.
JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education.
EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students.
IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge
MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.