

23 February 2025, 07:50
Katika Hali isiyo ya kawaida Baba anadaiwa kutoroka na mtoto wa miezi Saba, kwa madai ya MKE ametoa mwimba kwa njia za kishirikina. Na Ezekiel Kamanga Mariam Omary Said(21) mkazi wa Mabatini Jijini Mbeya anamtafuta mwanawe Muzdalifa Adamu Hinju jinsi…
22 February 2025, 06:09
Zifahamu habari zilizo pewa nafasi kubwa katika krasa za magazeti Tanzania
20 February 2025, 07:49
Maji ni uhai palipo na maji ndio sehemu viumbe hai vinaweza kustahimili kuishi,maji yanatumiwa na binadamu,mnyama,ndege hata wadudu. Na Moses Mbwambo, Iringa Serikali ya Awamu ya Sita kupitia wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini RUWASA imetoa zaidi ya…
19 February 2025, 21:30
Wakati kampeni ya uzinduzi wa msaada wa kisheria wa mama Samia legal aid ukiwa umefanyika katika mikoa kumi na saba, sasa wananchi mkoa wa Mbeya wamefikiwa. Na Hobokela Lwinga Mkuu wa mkoa wa Mbeya Comrade Juma Zuberi Homera amewataka wananchi…
13 February 2025, 13:42
Kulingana na mchango wa vyombo vya habari katika maendeleo ya nchi,TCRA imewakutanisha wadau kujadili na kujifunza mambo mbalimbali kuelekea uchaguzi Mkuu 2025. Na Charles Amlike,Dodoma Waziri wa habari,utamaduni,Sanaa na michezo Prof.Paramagamba Kabudi amevitaka vyombo vya habari viache kubananga lugha ya…
10 February 2025, 22:41
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Zuberi Homera ametembelea shule ya mchepuo wa Kiingereza ya Holly Land iliyopo Mamlaka ya Mji Mdogo wa Makongolosi Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya. Lengo la kutembelea shule hiyo ni kuipongeza kwa matokeo mazuri tangu…
8 February 2025, 06:31
Uangalizi kwa watoto ni muhimu sana ili kuwaepusha na majanga na hatari ambazo zinaweza kuwaepusha na hatari. Na Hobokela Lwinga Mtoto Aliyefahamika Kwa Jina La Vicent Konga Mwenye Umri Wa Miaka 6 Aliyekuwa Akisoma Darasa La Kwanza Katika Shule Ya…
4 February 2025, 18:44
Katika kuboresha na kutoa huduma bora katika sekta ya afya serikali imeendelea kusogeza huduma karibu zaidi na wananchi. Na Ezekiel Kamanga, Mbeya Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Beno Malisa kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Zuberi Homera…
4 February 2025, 17:56
Mkoa wa Mbeya ni moja wapo ya mikoa ambayo inatekeleza zoezi la utoaji mikopo ya asilimia kumi kupitia halmashauri zake. Na Hobokela Lwinga Hamashauri ya Wilaya ya Chunya imekabidhi hundi ya Million 803,200,000 kwa vikundi vya wanawake, Vijana na Watu…
4 February 2025, 17:37
Duniani hatuna mji udumuo mataraijio yetu ni kuurithi ufalme wa milele wa Mungu ndio maana Mungu anatoa na kutwaa. Na Mwandishi WetuHalmashauri Kuu ya Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini, kwa masikitiko makubwa inatangaza kifo cha Mchungaji Batare Kasongwa.…
OVERVIEW
Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road.
Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.
More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.
COVERAGE AREA
Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),
Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.
VISION
A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.
MISSION:
To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership
To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues
To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area
To provide messages of hope to heal the broken society
SOCIAL IMPACT
BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.
SLOGAN
Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.
CORE VALUES
Christianity: We seek to provide high quality media services
Quality: We seek to provide high quality media services
Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.
Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings
Social responsibility: We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities
Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity
Respect: We seek to treat all manner of people with respect
Impartiality: We seek to be fair to everybody
Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station
NUMBER OF STATION
At present BFM radio has two stations which are:
Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios
Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)
There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.
Baraka FM products:
DAILY PROGRAMMES:
From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.
NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.
KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.
JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education.
EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students.
IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge
MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.