Baraka FM

Recent posts

12 October 2025, 17:41

Rufaa Mbeya yazindua kliniki afya ya akili

Katika kuendelea kusogeza huduma kwa jamii, Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya imezindua Kliniki maalumu ya Ustawi na Utimamu wa Afya ya Akili kwa watoa huduma wa Afya Nyanda za Juu Kusini. Na Lukia Chasanika Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Kliniki hiyo Mkurgenzi Mtendaji wa Hospitali ya…

10 October 2025, 18:44

Msyaliha: Wahitimu theolojia tumieni elimu yenu kuhubiri injili

Watumishi mbalimbali wanao pata masomo ya theolojia watakiwa kumtumikia Mungu kutokana na elimu wanayo ipata. Na Kelvin Lameck Wahitimu wa masomo ya theolojia katika chuo cha biblia Utengule kinachomilikiwa na kanisa la Moraviani Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi wametakiwa kutumia…

8 October 2025, 22:30

Kanisa la Moravian jimbo la Mbozi lapata askofu wa kwanza

Kanisa la Moravian Tanzania kupitia majimbo yake limekuwa na mikutano mikuu ambayo hutoa fursa ya kufanya uchaguzi wa kidemokrasia kupata viongozi. Na Hobokela Lwinga Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la limefanya mkutano Mkuu (sinodi)na kufanikiwa kupata askofu wa kwanza katika…

6 October 2025, 16:47

Wahitimu kidato cha nne washauriwa kuwa makini katika vyumba vya mitihani

Umakini wa Mwanafunzi wakati wa kufanya mtihani ndio sababu kubwa ya kufanya vizuri. ‎‎Na Lukia Chasanika‎‎ Wahitimu ya kidato cha nne katika shule ya sekondari Izuo wameshauriwa kuwa makini katika vyumba vya mitihani ili kufanya vizuri katika mitihani yao.‎‎ Ushauri…

5 October 2025, 11:45

Mch Mstaafu Mwaisango waumini ombea Tanzania

kuelekea uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika tarehe 29,Oktoba 2025 viongozi wa dini wameendelea kuhimiza waumini kuombea taifa ili kuvuka salama. Na Ezekiel Kamanga Mchungaji Nelson Mwaisango Mwenyekiti pia Katibu mstaafu wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini amewataka waumini wa…

25 September 2025, 15:50

Wadiakonia Moravian wajengewa uwezo kuhudumia watu wenye uhitaji

Kusaidia watu wenye mahitaji ni sehemu ya maagizo ya Mungu kwenye maandiko Matakatifu yaani Biblia Yakobo 1:27 inasema “Dini iliyo safi, isiyo na taka mbele za Mungu Baba ni hii, Kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao, na kujilinda…

25 September 2025, 14:13

Askofu Pangani ashiriki ibada uzinduzi kanisa la Moravian Forest mpya

Mungu anapendezwa na wewe watu wanaojitoa kufanya kazi yake duniani ukisoma Kitabu kitakatifu cha Biblia Hagai 1:8 inasema “Pandeni milimani, mkalete miti, mkaijenge nyumba; nami nitaifurahia, nami nitatukuzwa, asema BWANA.” ‎Na Hobokela Lwinga ‎Zaidi ya shilingi milioni 380 zimetumika katika…

16 September 2025, 07:26

Helen Keller kutoa matibabu ya macho Songwe

Kutokana na kuwepo wa gharama kubwa katika matibabu ya macho, shirika la Helen Keller International limejitoa kusaidia watu wenye tatizo la macho mkoani Songwe. Na Ezekiel Kamanga Katika hatua muhimu ya kupunguza upofu unaepukika, Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya…

11 September 2025, 18:02

Chagua njia nyembamba si ndefu-Askofu Pangani

Wanadamu wametakiwa kujachungu njia nyembamba itakayo wasaidia kuurithi ufalme wa mbinguni siku ya mwisho. Na Ezra Mwilwa Askofu wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi Mch. Robert Pangani amewataka wakristo na watu wote kuchagua njia njema inayompendeza mungu…

About Baraka Fm

OVERVIEW

Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road. 

Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.

More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.

COVERAGE AREA

Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),

Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.

VISION

A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.

MISSION:

To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership

To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues

To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area

To provide messages of hope to heal the broken society

SOCIAL IMPACT

BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.

SLOGAN

Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.

CORE VALUES

Christianity: We seek to provide high quality media services

Quality: We seek to provide high quality media services

Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other     changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.

Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings

Social responsibility:  We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities

Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity

Respect:  We seek to treat all manner of people with respect

Impartiality: We seek to be fair to everybody

Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station

NUMBER OF STATION

At present BFM radio has two stations which are:

Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios

Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)

There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to   strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.

Baraka FM products:

  1. Live events coverage programs
  2. Daily business and financial news and adverts
  3. Political, social, human interest and economic news programs
  4. Daily sports package radio show
  5. Every day gospel music entertainment radio programs
  6. Religious and Bible knowledge  programs

DAILY PROGRAMMES:

From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.

NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.

KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.

JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education. 

EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students. 

IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge

MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.