Baraka FM

Recent posts

5 October 2023, 22:06

Zimamoto Mbeya yatoa elimu shule za msingi

Elimu ni msingi wa maendeleo, kila mtu anapaswa kupata elimu ili kuweza kufanikiwa juu ya jambo ambalo anatamani kulijua haijalishi umri, hapa jeshi la zimamoto linaonesha wazi namna ambavyo limeendelea kutoa elimu ili kuwezesha wananchi kukabiliana na majanga mbalimbali ikiwemo…

5 October 2023, 20:35

Bilioni 5 zawanufaisha wananchi ujenzi mradi wa maji Mbarali

Maji ambayo imekuwa ikitajwa kuleta migogoro ya kindoa, kwa ujumla kero hiyo imekuwa ikitatuliwa pindi ambapo mamlaka yenye wajibu wa kupeleka huduma inapopeleka eneo husika, huku wajibu wa kutunza mradi huo likibaki wa watumiaji ambao ni wananchi. Na mwandishi wetu…

3 October 2023, 19:09

Umuhimu wa kutunza macho yako ukiwa kazini

Katika maisha yetu ya kila siku tunashauriwa kutunza macho yetu kwa kupunguza matumizi ya simu pamoja na komputa hasa ukiwa kazini. Na Mpoki Japheth Wananchi mkoani Mbeya wameshauriwa kutunza macho yao ili kuepukana na changamoto ya tatizo la uoni hafifu.…

3 October 2023, 17:17

Utoro chanzo ufaulu kushuka kwa wanafunzi kidato cha nne

Wazazi na walezi ni lazima wawe karibu na watoto wao ili kuhakikisha wanazingatia masomo yao na kufika shuleni kwa wakati ili waweze kufanya vizuri katika mitihani yao ya mwisho. Na Rukia chasanika Imeelezwa kuwa utoro wa wanafunzi wa shule ya…

1 October 2023, 00:08

Bil. 6 kujenga miundombinu rafiki kwa makundi yenye ulemavu nchini

Kundi la walemavu wa kusikia ni kundi mojawapo ambalo limekuwa likikumbana na vikwazo vingi katika kupata huduma za kijamii kutokana na kukosa wataalam wengi wa lugha ya alama na hii imekuwa kikwazo na kuonekana watu wenye ulemavu hasa wa uziwi…

29 September 2023, 23:09

Mch. Mwakipesile ahukumiwa miaka 3 jela

Kila nchi inaendeshwa kwa mujibu wa taratibu na sheria na katika sheria hakuna ambaye anakuwa juu ya sheria, hivyo kila mtu anapaswa kuheshimu taratibu na kuheshimu sheria. Na Josea Sinkala Mahakama ya Hakimu mkazi Mbeya imemhukumu kutumikia kifungo cha miaka…

29 September 2023, 10:46

Tulia traditional dances festival yafana Mbeya

Mziki ni sehemu ya maisha maisha ya binadamu,jamii inasisitizqwa kuenzi na kufuatilia mziki wa asili ili kudumisha mila,destri na tamaduni Na Ezra Mwilwa Mstahiki meya wa jiji wa Mbeya Dormohamed Issa amewataka wananchi wa mkoa wa Mbeya kuyatumia maonesho ya…

29 September 2023, 10:04

WHO: Tuna imani na wanahabari katika kutatua changamoto za jamii

Jamii imekuwa na uelewa mdogo sana juu ya makundi ya ya watu wenye ulemavu ,hivyo basi katika kuondoa dhana ya unyanyapa wwa makundi yenye ulemavu serikali kupitia wadau imekuwa ikitoa elimu kuwezesha kuondokana na hali hiyo. Na Hobokela Lwinga Katika…

26 September 2023, 12:15

Kada CHADEMA alia na serikali ugumu wa maisha

CHADEMA kata ya Kandete Busokelo kinafanya mkutano huo ikiwa ni maandalizi ya kumpokea Mwenyekiti wa Taifa Freeman Mbowe na safu yake wanaotarajiwa kuwa na mikutano katika wilaya ya Rungwe. Na Josea Sinkala Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kata ya…

26 September 2023, 10:24

Biblia ya Agano Jipya yazinduliwa kwa lugha ya Kisafwa Mbeya

Tanzania ina makabila zaidi ya 120 na kila kabila lina mila na destri zake, katika kudumisha utamaduni, Umoja wa kabila la Wasafwa Mbeya umeandika Biblia ya Agano la Jipya kwa lugha ya Kisafwa. Na Josea Sinkala Umoja wa Maendeleo ya…