Baraka FM
Baraka FM
22 March 2024, 17:49
Wahenga wanasema elimu haina mwisho,inapotokea fursa hupaswi kuiacha kwani hiyo inakuwa na moja ya kujiongezea maarifa. Na Hobokela Lwinga Naibu waziri wa utamaduni Sanaa na michezo Mhe. HAMIS MWINJUMA amesema lugha ya Kiswahili ni kiungo muhimu cha mawasiliano miongoni mwa…
21 March 2024, 19:16
Unapofanya kazi mahali wapo watu unawakuta na unapokelewa na kupewa ushrikiano,basi iko hivyo unapoondoka pia ni vyema kuaga .Hii inatufundisha kutoka kwa SAPC. Theopista Mallya ambaye ameona umhimu wa kuwaaga baadhi ya watu ambao amefanya kazi nao katika mkoa wa…
21 March 2024, 18:41
Hakuna mtu aliyejuu ya sharia hivyo kila mtu anapaswa kuheshimu sharia kwa mjibu wa sharia za nchi. Na mwandishi wetu Mahakama ya Wilaya ya Momba mkoani Songwe tarehe 15 Machi 2024 imemhukumu mshtakiwa Stanford Theobert (19) mkulima, mkazi wa Maporomoko,…
21 March 2024, 18:00
Sheria ni msumeno unaokatakata kuwili na sheria ni mwongozo unaotumika kuongoza mambo fulani iwe kwenye kikundi au nchi fulani, taifa la Tanzania ni miongozni mwa mataifa yanayoongozwa na sheria kupitia katiba ya nchi . Na Mwandishi wetu Mahakama ya Wilaya…
21 March 2024, 09:07
Mjane aliyekuwa akiishi kwenye nyumba ya maturubai Mbeya ameonwa na jicho la mbunge na spika wa Tanzania Dkt.Tulia Mwansasu Ackson ambaye pia ni Rais wa IPU baada ya kuishi kwa muda mrefu kwenye nyumba yenye maturubai. Na Ezra Mwilwa Taasisi…
21 March 2024, 08:11
Wilaya ya Momba mkoani Songwe imekabidhiwa kisima cha maji baada ya kilio cha muda mrefu. Na Ezra Mwilwa Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Marryprisca Mahundi amezindua na kukabidhi kisima cha maji kwa wananchi wa kijiji cha Ipumpila kata ya Ndalambo…
20 March 2024, 18:55
Kutokana na changamoto ya uhaba wa maji kwa baadhi ya wakazi jijini Mbeya mamlaka ya maji safi imeendelea kujenga miradi ya maji ili kunusuru hali hiyo. Na Sifael Kyonjola Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Mbeya kwa kushirikiana…
20 March 2024, 16:47
Unapoaminiwa na kupewa kufanya kazi fulani huna budi kuonyesha jitihada zako za utendaji kazi kwa weledi. Na mwandishi wetu Afisa Tarafa ya Ilongo Magdalena Sikwese ameagiza Maafisa Watendaji wa Kata na Vijiji kuhakikisha wanatumia nafasi zao kwa kuwatumikia Wananchi vizuri…
19 March 2024, 18:42
Shughuli za kila mwanadamu zinatengemea kufanywa kupitia taratibu na sheria za nchi,na endapo mtu akikiuka hayo ni lazima achukuliwe hatua kwa mujibu wa taratibu na sheria za nchi. Na Hobokela Lwinga Watu 10 wanashikiliwa na jeshi la polisi Mkoani Mbeya…
18 March 2024, 19:51
Waziri Mkuu kassim Majaliwa amewataka watanzania kutumia fursa ya matumizi sahihi ya lugha ya kiswahili ili kujipatia ajira kutokana na mataifa mengine kuipokea lugha hiyo kwa kasi kubwa. Na Hobokela Lwinga Waziri mkuu ameagiza watanzania na ofisi za Serikali kuhakikisha…
OVERVIEW
Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road.
Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.
More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.
COVERAGE AREA
Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),
Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.
VISION
A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.
MISSION:
To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership
To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues
To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area
To provide messages of hope to heal the broken society
SOCIAL IMPACT
BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.
SLOGAN
Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.
CORE VALUES
Christianity: We seek to provide high quality media services
Quality: We seek to provide high quality media services
Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.
Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings
Social responsibility: We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities
Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity
Respect: We seek to treat all manner of people with respect
Impartiality: We seek to be fair to everybody
Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station
NUMBER OF STATION
At present BFM radio has two stations which are:
Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios
Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)
There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.
Baraka FM products:
DAILY PROGRAMMES:
From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.
NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.
KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.
JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education.
EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students.
IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge
MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.