Recent posts
19 October 2023, 19:45
Gari la kanisa laua wawili mchungaji akihamishwa Songwe
Kifo hakipigi hodi na hakuna anayeweza kuzui kifo ndio maana vitabu vya dini vina tusisitiza kujianda wakati kwa maana ya kutenda Mambo mema. Na Ezekiel Kamanga Watu wawili wamefariki kwa ajali ya lori namba T 644 AJC Mercedes Benz mali…
19 October 2023, 19:15
Mbeya kupunguza maambukizi ya malaria ifikapo 2025
Dunia imeendelea kupambana na ugonjwa wa maralia hivyo Tanzania kama nchi haina budii kuuangana na dunia katika kutimiza hilo,hali hiyo imefika mpaka ngazi za chini katika kuendeleza jitihada za kutokomeza maralia katika ngazi ya familia. Na mwandishi wetu Mbeya Mkuu…
19 October 2023, 18:39
Wazazi na walezi msiwaachie walimu watoto wenu
Hivi karibu kumekuwa masuala ya kikatili ambayo yamekuwa Yakifanywa kwa wanafunzi na walimu wao,kitendo hicho kimekuwa kikwazo na kuondoa iman ya kuwaamini baadhi ya walimu. Na Daniel Simelta Wazazi na Walezi mkoani Songwe, wametakiwa kuimarisha malezi kwa watoto wao na…
17 October 2023, 18:09
Kisa simu mwanaume ampiga mke wake mpaka kufa Mbeya
Wakati Mungu anamuumba mwanadamu yaani adamu aliona si vema akishi pekee yake akampatia msaidizi wake ambaye ni eva ili waishi pamoja tena kwa furaha,hali hiyo imegeuka karaha kwa wanandoa hawa kujikuta wakiingia kwenye mgogoro kisa simu na kusababisha kifo kwa…
17 October 2023, 17:30
Wavenza: Saidieni watoto yatima waishi kama watoto wengine
Kwenye jamii kuna msemo unasema motto wa mwenzako ni wako ,hii inamaana kuwa kila mtoto anapaswa kupata mahitaji yote kama watoto wengine unapopata nafasi ikiwa ni pamoja na chakula,elimu na malazi. Na Deus Mellah Jamii nchini imetakiwa kuwa mstari wa…
17 October 2023, 15:48
Wazazi washauriwa kutengeneza mazingira mazuri kuondoa utoro kwa wanafunzi
Mazingira mazuri kwa wanafunzi kunatajwa kuwa chanzo cha mafaniko kwa wananfunzi wengi, wanafunzi wengi wameshindwa kufanya vizuri kwenye masomo yao kwa sababu ya kukutana na changamoto kwenye mazingira ya shule na nyumbani. Na Deus Mellah Wazazi na walimu kwa kushirikiana…
14 October 2023, 06:16
LATRA yatoa msimamo wa upandaji wa nauli za daladala Mbeya
Madereva mbeya wamekuwa na mgomo ambao umepelekea changamoto ya ukosefu wa usafiri,na baadhi ya wahudumu kuwatoza abria nauli ya shilingi 700 kutoka mbalizi hadi kabwe tofauti na nauli ya awali ya shilingi 500. Mamlaka Ya Udhibiti Usafiri Ardhini LATRA mkoa…
13 October 2023, 19:31
Miundombinu mibovu sekondari Ruiwa chanzo cha kushuka ufaulu
Miongoni mwa changamoto zinazowakabili wanafunzi wengi ni pamoja na miundombinu ya vyumba vya madarasa hivyo wadau wanaombwa kutatua changamoto za wanafunzi wanazokumbana nazo. Na Ezra Mwilwa Ubovu wa miundombinu katika Shule ya Sekondari Ruiwa iliyopo halmashauri ya wilaya ya Mbarali…
11 October 2023, 19:23
Ukatili wa kingono unakwamisha ndoto za wasichana wengi
Mtoto wa kike amekuwa akikutana na changamoto nyingi tofauti na mtoto wa kiume na hii ndio sababu ya mtoto wa kike kulindwa na kupinga ukatili anaofanyiwa. Na Ezra Mwilwa Wazazi na walezi mkoani Mbeya wameshauriwa kumlinda mtoto wakike na kutoa…
11 October 2023, 16:34
Nyimbo za chadema zakwamisha mkutano wa Mwabukusi, aitwa na jeshi la polisi Mbey…
Kila nchi ina utaratibu wake katika kujiongoza, Tanzania ni moja ya nchi inayoongozwa kwa mujibu sheria kupitia katiba ya nchi na katika hali hiyo hakuna mtu ambaye yupo juu ya sheria hivyo kila mtu anapaswa kutii na kuheshimu uwepo wa…