![](https://radiotadio.co.tz/barakafm/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
![](https://radiotadio.co.tz/barakafm/wp-content/uploads/sites/41/2023/09/logo-baraka-fm-150x150.jpg)
26 July 2024, 21:48
Wahenga wanasema kutoa ni moyo si utajiri hii inatukumbusha kuwa kila mtu anawajibu wa kumsaidia mahitaji yeyote popote anapokutana nae haijalishi ni mhitaji wa mahitaji gani. Na Ezekiel Kamanga Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani na Spika wa Bunge la…
24 July 2024, 10:00
Kilimo cha pareto kimekuwa na manufaa makubwa kwa wakulima wengi, kutokana frusa hiyo kampuni ya uzinduzi wa pareto PCT Imekuwa ikihamasisha wakulima kuchangamkia kilimo hicho kwa kuwa patia wakulima mbegu bure na kulipa thamani zao hilo kwa kununua kwa Bei…
23 July 2024, 13:12
Kongamano la kuwawezesha vijana kiuchumi lavunja rekodi kutokana na idadi kubwa ya vijana waliojitokeza. Na mwandishi wetu, Momba Songwe Mamia ya vijana kutoka makundi na kanda mbalimbali wamemshukuru Mbunge wa Jimbo la Momba Mheshimiwa Condester Sichalwe (Mundy) kwa kuandaa kongamano…
23 July 2024, 10:50
Viongozi wa Serikali wameletwa ili kuiponya Miili ya Watu wakiwemo Viongozi wa dini ndio maana vitabu vya dini vinasisitiza kutii mamlaka iliyojuu ya mtu. Na Hobokela Lwinga Katibu Tawala Mkoa wa Mbeya Rodrick Mpogolo amekutana na Kufanya Mazungumzo na Prophet…
19 July 2024, 17:29
Na Sifael Kyonjola Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mkoa wa Mbeya imepanga kuongeza mtandao wa maji taka na kukarabati ili kuwafikia wateja wengi zaidi. Hayo yamesemwa na kaimu meneja wa mamlaka ya maji safi na usafi wa…
16 July 2024, 20:20
Kila Jambo linalopaswa huwa linakuwa na mwisho, hata kwenye suala la elimu nalo linaukomoo kulingana na ngazi aliyopo mtu. Na Rukia Chasanika Wahitimu wa vyuo mbalimbali nchini wameshauriwa kutumia vizuri elimu zao katika kukabiliana na vitendo vya kikatili pamoja na…
14 July 2024, 18:23
Kudumisha amani ni jambo linalopaswa kufanya na mtu yeyote kwenye, amani inapotoweka husababisha madhara mbalimbali ilikiwemo vifo ili kuepuka hayo jamii inapaswa kuishi na kuwa sababu ya kutunza Amani, ukiwa ni pamoja na kuwa na mshikamano. Na Hobokela Lwinga Katika…
14 July 2024, 11:37
Kutokana na ajali za mara kwa mara mkoani Mbeya zimewafanya wakristo kufanya ibada ya maombezi kukomesha matukio hayo. Na Deus Mellah Jukwaa la wakristo wa madhehebu mbalimbali mkoani Mbeya wamefanya maandamano ya amani na kuombea maeneo ambayo ajali zimekuwa zikitokea …
13 July 2024, 13:58
Kutembelewa ni jambo la heri na hii ni ishara kwamba unapendwa, hii ndio maana halisi ya kile kinachokuwa kimefanyika kwa mgeni yoyote anayefika katika malango yako. Na Hobokela Lwinga Mapema leo kituo cha matangazo cha redio Baraka kimepokea ugeni wa…
13 July 2024, 10:57
Kanisa la Moravian limekuwa na utaratibu wa mgawanyo wa utawala katika kuwafikisha waumini wake karibu kwenye maeneo mbalimbali hali hiyo inafanya wilaya zake kumiliki ofisi ambazo asilimia kubwa zinajengwa na waumini. Na Ezekiel Kamanga Askofu Robert Pangani wa Kanisa la…
OVERVIEW
Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road.
Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.
More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.
COVERAGE AREA
Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),
Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.
VISION
A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.
MISSION:
To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership
To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues
To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area
To provide messages of hope to heal the broken society
SOCIAL IMPACT
BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.
SLOGAN
Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.
CORE VALUES
Christianity: We seek to provide high quality media services
Quality: We seek to provide high quality media services
Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.
Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings
Social responsibility: We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities
Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity
Respect: We seek to treat all manner of people with respect
Impartiality: We seek to be fair to everybody
Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station
NUMBER OF STATION
At present BFM radio has two stations which are:
Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios
Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)
There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.
Baraka FM products:
DAILY PROGRAMMES:
From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.
NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.
KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.
JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education.
EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students.
IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge
MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.