Nuru FM

Recent posts

4 September 2025, 9:55 am

Bilion 9.2 kutatua kero ya maji Iringa

Mradi huo wa maji ambao uko asilimia 99 kukamilika umetajwa kuwa mkombozi kwa wananchi wa Iringa. Na Hafidh Ally Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Maji imetekeleza ujenzi wa mradi mkubwa wa maji wa Ismani–Kilolo kwa…

3 September 2025, 8:28 pm

Mwanamke atolewa uvimbe wa kilo 10 Iringa

Na Zainabu Mlimbila Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Iringa imefanikiwa kufanya upasuaji na kutoa uvimbe wenye uzito wa kilo 10 uliokuwa unamsumbua mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 42 aliyeteseka kwa Zaidi ya miaki 5. Akizungumza mara baada ya kukamilika…

2 September 2025, 12:47 pm

Bajaji 32 zatolewa kuwainua kiuchumi Vijana

Na Godfrey Mengele Taasisi binafsi Mkoa Iringa zimepatakiwa kuisaidia jamii kujikwamua kiuchumi kwa kuwafikishia huduma mbalimbali. Hayo yameelezwa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Kheri James wakati wa hafla ya kukabidhi bajaji 32 zenye thamani ya shilingi milion 315 zilizotolewa…

2 September 2025, 11:33 am

Walimu wazalendo wawasaidia Watoto Huruma Center

Utaratibu wa kuwasaidia watoto yatima imekuwa ni moja ya matendo yanayoleta baraka katika jamii. Na Joyce Buganda Jukwaa la Walimu Wazalendo Manispaa ya Iringa limetoa msaada wa Mahitaji muhimu kuwawezesha watoto yatima wanaoishi na kulelewa katika Kituo cha Huruma Center…

1 September 2025, 11:58 am

Bil 29 zatekeleza miradi ya elimu MUCE

Miradi hiyo inalenga kuongeza fursa na ubora wa elimu kwa wanafunzi wote hapa nchini. Na Ayoub Sanga Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mheshimiwa Kheri James, amefanya ziara katika Chuo Kishiriki cha Mkwawa kilichopo Manispaa ya Iengo ikiwa ni kukagua miradi…

31 August 2025, 9:17 am

Wazazi Iringa waaswa kuwapa elimu watoto

 Wazazi na walezi mkoani Iringa wametakiwa kuhakikisha wanawapa elimu bora watoto wao kwani ndio urithi wa kudumu ili taifa liwe na wasomi wenye hekima na busara. Akizungumza katika mahafali ya nne katika shule ya  awali na msingi Luindo Mkurugenzi wa …

30 August 2025, 10:30 am

Kituo cha polisi Tanangozi suluhu ya uhalifu

Kabla ya kituo hicho kujengwa wananchi walikuwa wakijichukulia sheria mkononi jambo ambalo kwa sasa halikubaliki. Na Godefrey Mengele Wananchi wa kijiji cha Tanangozi kata ya Mseke halmashauri ya wilaya ya Iringa wametakiwa kutumia kituo kipya cha polisi kuripoti matukio ya…

28 August 2025, 10:58 am

RC Iringa apiga marufuku uuzaji ardhi kiholela

“Wananchi wanatakiwa kulinda maeneo yao ili mradi huo unapokamilika waweze kunufaika zaidi kiuchumi” RC Kheri. Na Ayoub Sanga Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James, amepiga marufuku rasmi uuzaji holela wa ardhi unaofanywa na baadhi ya wananchi , hususani…

27 August 2025, 1:05 pm

Rais Samia apongezwa kwa matumizi ya Nishati

Matumizi ya nishati safi ya kupikia yanalenga kupunguza athari za kiafya, mazingira na kuboresha maisha ya wananchi, huku ukipunguza athari za mabadiliko ya tabianchi. Na Adelphina Kutika Katika juhudi za kuhimiza matumizi ya nishati safi na kuboresha lishe katika jamii,…

27 August 2025, 11:21 am

Wanawake wenye ulemavu wanashirikije uchaguzi mkuu 2025?

Makala hii inaelezea ushiriki wa wanawake wenye ulemavu katika nafasi za uongozi kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Na Hafidh Ally na Dorice Olambo Nuru FM imekuandalia makala hii maalum kujua ni kwa kiwango gani watu wenye ulemavu hasa wanawake…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.