Nuru FM

Recent posts

26 November 2025, 10:46 am

MTAKUWWA kutokomeza ukatili kwa vitendo Iringa

Matukio ya ukatili yamekuwa yakidumaza ustawi wa watoto na wanawake. Na Joyce Buganda Wadau na Wajumbe wa mpango wa Taifa wa kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto MTAKUWWA sehemu ya 2 wametakiwa  kutumia uzoefu wao katika kuelimisha jamii  kupinga…

26 November 2025, 7:15 am

Wafanyabiashara waaswa kukatia bima biashara zao

“Bima hizo zitawasaidia kupata fidia endapo utakutana ana majanga yatakayoharibu biashara” Na Godfrey Mengele Wafanyabiashara wanaojishughulisha na shughuli za sekta isiyo rasmi ikiwamo bodaboda, mamalishe, wauza mitumba na makundi mengine wametakiwa kujiunga na huduma za bima ili kujilinda na majanga…

24 November 2025, 10:04 pm

Wakulima Iringa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi

Wananchi wanakumbushwa kudumisha uhifadhi wa mazingira huku wakichukua hatua za kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa. Na Joyce Buganda Nuru FM imekuandalia makala fupi kuhusu mkakati wa serikali mkoani Iringa wenye lengo la kuwaunganisha wananchi katika mifumo na miradi…

18 November 2025, 2:02 pm

TWCC yaombwa kukuza mitaji ya wajasiriamali

“Wajasiriamali wanapaswa kuunganishwa na taasisi za kifedha kwa lengo la kuwainua kichumi” Na Adelphina Kutika Wataalamu waliofadhiliwa na shirika la Campaign for Female Education (CAMFED) nchini Tanzania wameiomba Tanzania Women Chamber of Commerce (TWCC) kuwasaidia kuwaunganisha na taasisi za kifedha,…

18 November 2025, 11:41 am

Mkutano wa COP-30 kuwanufaisha wakulima wadogo Iringa

Mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, maarufu kamaConference of the Parties — COP 30, unaendelea huko Belem nchini Brazil, ambapoTanzania ikiwa imewasilisha agenda kumi na mbili. Na Joyce Buganda Nuru Fm imekuandalia makala fupi kuhusu athari zinazowakumba…

11 November 2025, 11:38 am

RC Iringa akagua Iringa Commercial Complex

Mradi wa Iringa Commercial Complex unatarajiwa kukuza uchumi wa Iringa. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Herry James, amepongeza maendeleo makubwa ya ujenzi wa mradi wa Iringa Commercial Complex, unaotekelezwa mjini Iringa kwa gharama ya shilingi bilioni…

9 November 2025, 2:18 pm

COP 30 kuleta mabadiliko kwa wakulima Iringa

Tanzania ni mwanachama wa mkataba wa umoja wa mataifa na mabadiliko ya tabia nchi, itifaki ya Kyoto na makubaliano ya Paris UNFCCCTanzania ikiwa kama mshiriki wa mkutano wa COP 30. Na Joyce Buganda Wataalamu wa masuala ya mazingira wametakiwa kuwafikia…

28 October 2025, 12:34 pm

Kamanzi: Andikeni habari zenye tija kuelekea COP 30

“Lengo la mafunzo hayo ni kuwaona wanahabari katika ngazi ya kitaifa wakiweza  kuhabarisha jamii juu ya mkutano huo kwa kuandika habari za kabla, wakati na baada ya mkutano” Na Joyce Buganda Wanahabari wametakiwa kuandika habari zenye kufikia jamii  hasa katika…

27 October 2025, 3:31 pm

INEC yawaonya wasimamizi wa uchaguzi kuzingatia maadili

“Zingatieni maadili na viapo vyenu mnapoenda kusimamia uchaguzi katika vituo vyenu” Na Fredrick Siwale Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Jimbo la Mafinga Mjini Imewataka Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa vituo vya kupigia kura kusimamia maadili na masharti ya…

27 October 2025, 8:43 am

Bilion 1.7 kunufaisha vikundi 104 Kilolo

Mikopo hiyo imetolewa kupitia asilimia 10 ya mapato ya ndani ya Halmashauri hiyo katika kipindi cha miezi tisa. Na Godfrey Mengele Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo mkoani iringa imetoa mikopo yenye thamani ya Shilingi bilioni 1.7 kwa vikundi 104 vya…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.