Nuru FM
Nuru FM
8 September 2025, 11:03 am
Katika Muendelezo wa Kampeni za kunadi sera za Chama Cha Mapinduzi CCM kwa wananchi Mkoani Iringa. Na Ayoub Sanga Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza dhamira ya Serikali yake kujenga jengo la kisasa…
4 September 2025, 8:29 pm
Rushwa Imetajwa kuwa adui wa haki jambo linalopelekea Takukuru Iringa kutoa elimu. Na Joyce Buganda Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoa wa Iringa imetoa elimu ya kujiepusha na Rushwa kwa wagombea wa Udiwani wa manispaa ya Iringa …
4 September 2025, 9:55 am
Mradi huo wa maji ambao uko asilimia 99 kukamilika umetajwa kuwa mkombozi kwa wananchi wa Iringa. Na Hafidh Ally Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Maji imetekeleza ujenzi wa mradi mkubwa wa maji wa Ismani–Kilolo kwa…
3 September 2025, 8:28 pm
Na Zainabu Mlimbila Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Iringa imefanikiwa kufanya upasuaji na kutoa uvimbe wenye uzito wa kilo 10 uliokuwa unamsumbua mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 42 aliyeteseka kwa Zaidi ya miaki 5. Akizungumza mara baada ya kukamilika…
2 September 2025, 12:47 pm
Na Godfrey Mengele Taasisi binafsi Mkoa Iringa zimepatakiwa kuisaidia jamii kujikwamua kiuchumi kwa kuwafikishia huduma mbalimbali. Hayo yameelezwa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Kheri James wakati wa hafla ya kukabidhi bajaji 32 zenye thamani ya shilingi milion 315 zilizotolewa…
2 September 2025, 11:33 am
Utaratibu wa kuwasaidia watoto yatima imekuwa ni moja ya matendo yanayoleta baraka katika jamii. Na Joyce Buganda Jukwaa la Walimu Wazalendo Manispaa ya Iringa limetoa msaada wa Mahitaji muhimu kuwawezesha watoto yatima wanaoishi na kulelewa katika Kituo cha Huruma Center…
1 September 2025, 11:58 am
Miradi hiyo inalenga kuongeza fursa na ubora wa elimu kwa wanafunzi wote hapa nchini. Na Ayoub Sanga Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mheshimiwa Kheri James, amefanya ziara katika Chuo Kishiriki cha Mkwawa kilichopo Manispaa ya Iengo ikiwa ni kukagua miradi…
31 August 2025, 9:17 am
Wazazi na walezi mkoani Iringa wametakiwa kuhakikisha wanawapa elimu bora watoto wao kwani ndio urithi wa kudumu ili taifa liwe na wasomi wenye hekima na busara. Akizungumza katika mahafali ya nne katika shule ya awali na msingi Luindo Mkurugenzi wa …
30 August 2025, 10:30 am
Kabla ya kituo hicho kujengwa wananchi walikuwa wakijichukulia sheria mkononi jambo ambalo kwa sasa halikubaliki. Na Godefrey Mengele Wananchi wa kijiji cha Tanangozi kata ya Mseke halmashauri ya wilaya ya Iringa wametakiwa kutumia kituo kipya cha polisi kuripoti matukio ya…
28 August 2025, 10:58 am
“Wananchi wanatakiwa kulinda maeneo yao ili mradi huo unapokamilika waweze kunufaika zaidi kiuchumi” RC Kheri. Na Ayoub Sanga Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James, amepiga marufuku rasmi uuzaji holela wa ardhi unaofanywa na baadhi ya wananchi , hususani…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.