Nuru FM
Nuru FM
20 October 2023, 10:08 pm
Na Adelphina Kutika Zaidi ya Wanafunzi 300 wanaosomea kilimo katika vyuo Vinne vilivyo Chini ya programu inayojulikana kama Kilimo-Viwanda scholarship, wamenufaika na ufadhili wa masomo unaotolewa na Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) nchini Tanzania. Akiongea 19 Oktoba, 2023 wakati…
15 October 2023, 7:59 am
Bingwa wa mashindano ya Kiswaga Cup ataelekea Visiwani Zanzibar kwa ajili ya kufanya utalii kwa siku tatu. Na Hafidh Ally Timu ya Chamgogo Fc imeibuka Mabingwa wa Mashindano ya Mpira wa Miguu ya Kiswaga Cup 2023 yanayodhaminiwa na Mbunge wa…
6 October 2023, 10:29 am
Na Frank Leonard Serikali imetangaza kutenga Sh bilioni 70 kila mwezi kwa ajili ya kulipa madeni ya wakandarasi wa ndani na nje wanaotekeleza miradi mbalimbali ya ujenzi nchini. Akitoa taarifa hiyo leo mara baada ya kukagua maendeleo ya ukarabati wa…
24 September 2023, 6:08 pm
Mkurugenzi waTeknolojia za Nishati Jadidifu na Nishati Mbadala, Wakala wa Nishati Vijijini – REA, Mhandisi Advera Mwijage umesema atahakikisha washirikiana na Sekta binafsi katika kuhakikisha upatikanaji wa huduma bora na nishati ya uhakika vijijini. Mhandisi Mwijage ameyasema hayo baada ya…
21 September 2023, 11:34 am
Na Adelphina Kutika Wafugaji mkoani Iringa wametakiwa kutumia bidhaa ya Lishe ya wanyama kutoka Yara ili kuboresha mifugo yao na kukuza kipato kwa ufugaji. Agizo hilo limetolewa na mkuu wa mkoa wa iringa Halima dendego katika hafla ya uzinduzi wa…
4 September 2023, 10:25 am
Na Mwandishi wetu WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amekutana na ujumbe kutoka Korea Kusini uliojumuisha viongozi wa makampuni makubwa ya madini yanayohusika na mnyororo wa thamani wa uzalishaji betri za magari ya Posco Holdings, Posco…
4 September 2023, 10:20 am
Na Frank Leonard MFANYABIASHARA Salim Asas kutoka mkoani Iringa amekubali kupewa hadhi ya umachinga katika tukio lilikowenda sambamba na kuitikia wito wa kuwa mlezi na mwanachama wa Shirikisho la Umoja wa Machinga Tanzania (SHIUMA). Katika tukio hilo lililofanyika katika soko la…
30 August 2023, 10:57 am
Na Frank Leonard Klabu ya Lipuli FC ya mjini Iringa inayoshiriki ligi daraja la pili inatarajiwa kurudi ligi daraja la kwanza baada ya wadau wa soka wa mkoani Iringa (hawakutajwa) kuinunua klabu ya Ruvu Shootings ya daraja la kwanza katika…
24 August 2023, 11:15 am
Na Frank Leonard WANANCHI katika Vijiji vitatu vya Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa, wanatarajiwa kunufaika na mradi wa maji wa Masalali, Masege na Kihesa Mgagao ambao ujenzi wake unatarajiwa kuanza hivi karibuni ukigharimu zaidi ya Sh Bilioni 1.6. Kukamilika kwa…
20 August 2023, 1:09 pm
Semina hiyo imelenga kuwapa kanuni na sheria za mashindano ya Kiswaga Cup ili kuepukana na changamoto za kikanuni. Na Hafidh Ally Viongozi wa timu shiriki katika mashindano ya Kiswaga cup 2023 yanayodhaminiwa na Mbunge wa Jimbo la Kalenga Mh Jackson…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.