Nuru FM

Recent posts

14 August 2024, 8:20 am

Wakurugenzi Iringa kutenga bajeti ya program ya malezi PJT MMMAM

Utekelezaji wa Programu Jumuishi ya Taifa ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto ( PJT-MMMAM) unaweza kutoa suluhisho la kudumu la changamoto inayokabili mkoa wa Iringa ya ukatili wa kijinsia, lishe, afya na malezi bora dhidi ya watoto…

13 August 2024, 10:13 am

Wakazi wa Jimbo la Isimani waagizwa kujiandikisha daftari la mpiga kura

Na Adelphina Kutika Wakazi  wa kata ya Malengamakali, Jimbo la Isimani, wilaya ya Iringa, wametakiwa  kujiandikisha  katika daftari la mpiga kura ili waweze kushiriki zoezi la uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi Mkuu mwakani. Wito huo umetolewa na Afisa…

13 August 2024, 9:58 am

KKKT usharika wa Magulilwa kupinga ukatili wa kijinsia

Viongozi wa dini wana jukumu na nafasi kubwa katika kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia katika jamii. Na Mwandishi wetu Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Iringa Dr. Blaston Gavile amelitaka kanisa hili kupinga vitendo vya ukatili…

8 August 2024, 2:22 pm

Waotumia misiba kujipatia umaarufu kisiasa waonywa

Na Frank Leonard, Iringa Watia nia wa ubunge katika baadhi ya majimbo ya mkoa wa Iringa wametuhumiwa kuomba ongezeko la misiba ili kujipatia umaarufu na kuonyesha kujali jamii. Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Salim Asas, alitoa taarifa hiyo…

5 August 2024, 3:26 pm

ASAS aonya dhidi ya uongozi wa matajiri

Na Frank Leonard MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Salim Asas, amewaonya wanachama wa CCM kuhusu hatari ya kukumbatia wenye fedha kunyakua uongozi, akihofia kwamba wasio nacho wanaweza kukosa fursa hata kama wana sifa bora zaidi. Asas ameahidi kuendelea…

5 August 2024, 12:20 pm

MNEC Asas awaonya watia nia wanaoanza kampeni kabla ya muda

Na Frank Leonard, Mafinga MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Salim Asas amewakemea watia nia wa nafasi mbalimbali za uongozi kupitia chama hicho, akisema mbali ya kujifanyia kampeni kabla ya muda, wanajijenga wao badala ya kujenga chama. Akizungumza na…

30 July 2024, 9:01 am

Mbunge Kabati akabidhi vitanda Zahanati ya Ng’ang’ange

Na Halfan Akida Mbunge wa viti Maalum mkoa wa Iringa, (CCM), Dr. Ritta Kabati ametekeleza ahadi yake ya kusaidia vitanda 3, Mablanketi pamoja na mashuka katika zahanati ya Ng’ang’ange iliyopo wilaya ya Kilolo. Kabati amekabidhi vitanda hivyo wakati alipofanya ziara…

22 July 2024, 12:03 pm

Wananchi Kinyanambo walalamikia bei kubwa ya nauli

Na Joyce Buganda Uongozi wa Halmashauri ya Mafinga Mji umewaomba Uongozi wa Bajaji katika Mji wa Mafinga kupunguza nauli ya bajaji ambayo imekuwa kero kwa wakazi wa eneo hilo. Hayo yamezungumzwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Mafinga, Mhe. Regnant …

19 July 2024, 9:51 am

Elimu, mitaji kikwazo kwa vijana Iringa kujikita katika kilimo

Vijana wanahitaji kuandaliwa vizuri ili waelewe wanalima nini, mtaji watapata wapi, watauza wapi mazao yao. Na Naida Athanasi na Michael Mundellah Ukosefu wa elimu ya kilimo bora na mitaji imetajwa kama sababu inayopelea vijana wengi Mkoani Iringa wasijiusishe na shughuli…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.