Nuru FM
Nuru FM
16 September 2024, 1:22 pm
Viongozi wa dini wametajwa kuwa msaada katika kuhakikisha wananchi wanashiriki katika Shughuli za kijamii. Na Joyce Buganda Viongozi wa dini Wilaya ya Iringa wametakiwa kuwajibika na kuwahimiza waumini wao wanashiriki katika shuhuli za maendeleo hasa za uzalishaji mali. Wito huo…
4 September 2024, 12:13 pm
Na Joyce Buganda Wazazi na walezi wa kijiji cha Kisilwa Kata ya Mahuninga Wilaya ya iringa wamepongezwa kwa kuwa na muamko wa kuwaendeleza watoto wao shule pindi wanapomaliza darasa la saba. Hayo yamezungumzwa kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha…
4 September 2024, 10:59 am
Na Adelphina Kutika Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewataka Walimu wa Hesabu kuwaandaa wanafunzi na vijana kujikita katika masomo ya Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati (STEM) ili kupata fursa ya kushiriki maendeleo ya Dunia katika zama hizi za kidijiti. Hayo…
3 September 2024, 9:50 am
Na Joyce Buganda Mkuu wa Wilaya Iringa Kheri James amewapongeza Chama cha walimu Tanzania mkoa wa Iringa kwa mafanikio ya kununua gari kwa ajili ya shughuli mbalimbali. Pongezi hizo zimetolewa wakati wa kutambulishwa kwa gari lililonunuliwa kwa michango ya wanachama…
3 September 2024, 9:33 am
Ukosefu wa hosteli katika kada za elimu hapa nchini Tanzania imekuwa ni changamoto inayowakabili wanafunzi wengi jambo linalopelekea kushindwa kutimiza malengo yao. Na Adelphina Kutika Wanafunzi wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Mkwawa (MUCE) wameishukuru serikali kuwaletea mradi wa (HEET)…
30 August 2024, 10:27 am
Na Adelphina Kutika na Ayoub Sanga Wenyeviti wa Serikali ya Vijiji katika Halmashauri za Iringa wametakiwa kusimamia miradi ya Wadau wa Maendeleo inayolenga vijana ili kuhakikisha utekelezaji wake unafanyika kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa. Wito huo umetolewa na Afisa…
29 August 2024, 3:15 pm
Na Joyce Buganda Shirika la SOS Childrens Villagers kupitia mradi wa binti bora limetoa vifaa vya saluni na cherehani 14 vyenye thamani ya shilingi milioni 5 na laki mbili ili kuwaendeleza wasichana hao kimaisha. Akizungumza wakati wa zoezi la utoaji…
26 August 2024, 10:06 am
Elimu ya watoto wa kike ni moja ya njia bora za kupunguza umaskini, mimba na ndoa za utotoni katika mataifa yanayostawi. Na Adelphina Kutika Wadau wa elimu mkoani Iringa wamelitaka shirika la Campaign for Female Education (CAMFED) kuisambaza kwenye jamii…
23 August 2024, 10:28 am
Na Fredrick Siwale Wananchi wa Kijiji cha Kikombo Kilichopo Kata ya Isalavanu Halmashauri ya Mafinga Mji wamelalamikia ubovu wa barabara jambo linalopelekea kuwa na vumbi linalotarisha afya zao. Wakizungumza katika ziara ya kikazi ya Mbunge wa Jimbo la Mafinga Cossato…
20 August 2024, 9:57 am
Madiwani Mafinga mji wamekazia Marufuku ya maduka binafsi ya dawa kuwa karibu na viunga vya hospitali za umma kuwa yanapaswa kuwa umbali usiopungua mita 500 kutoka hospitali ilipo sababu ikitajwa kuwa maduka hayo ya dawa yanahusika katika kuchochea upungufu wa…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.