Nuru FM
Nuru FM
8 October 2024, 12:11 pm
Na Joyce Buganda Serikali imapanga kuboresha miudombinu katika hifadhi ya Taifa ya Ruaha Mkoani Iringa ili kuongeza idadi ya watalii kufika bila kero huku wawekezaji wakishauriwa kwenda kuwekeza hifadhini hapo. Akizungumza katika kilele cha miaka 60 ya hifadhi ya taifa…
8 October 2024, 12:09 pm
Na Adelphina Kutika Mbunge wa Jimbo la Mufindi Kusini na Naibu Waziri wa Uchukuzi David Mwakiposa Kihenzile amegawa majiko 2000 kwa mabalozi wa mashina wa Chama cha mapinduzi (CCM) katika Jimbo hilo ikiwa ni katika kuendeleza jitihada za kuhamasisha matumizi…
4 October 2024, 3:51 pm
Na Adelphina Kutika Viongozi wa dini kutoka Mkoa wa Iringa wamejizatiti kushirikiana na Hifadhi ya Taifa ya Ruaha katika kutoa elimu kuhusu uhifadhi wa vyanzo vya maji na ulinzi wa mazingira. Haya yanajiri kufuatia ziara ya viongozi October 3 2024…
3 October 2024, 6:56 pm
Na Hafidh Ally Mbunge wa Jimbo la Kalenga Mh. Jackson Kiswaga amechangia shililingi Milioni 1 kwa ajili ya ukarabati wa madarasa shule ya Msingi Kidamali iliyopo Kata ya Nzihi Mkoani Iringa. Akizungumza katika mahafali ya 22 ya darasa la saba…
2 October 2024, 10:25 am
Na joyce Buganda Chifu wa Kabila la Wahehe Mkoani Iringa Adam Abdul Mkwawa ameongoza kundi la wazee kwenda kufanya utalii wa ndani katika hifadhi ya Taifa ya Ruaha ikiwa ni ufunguzi wa kusherehekea Miaka 60 toka hifadhi ya Taifa ya…
2 October 2024, 10:02 am
Na Ayoub Sanga Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limemkamata Vitus Nkuna (29) Mjasiriamali, Mkazi wa Mwangata Manispaa na Mkoa wa Iringa kwa kosa kusababisha ajali barababarani akiwa amelewa na kuchapisha taarifa za uongo Mtandaoni. Akizungumza na Waandishi wa habari…
1 October 2024, 9:57 am
Na Adelphina Kutika Vijana wa Uvccm mkoa wa Iringa wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii kuzungumza mazuri yanayofanywa serikali na serikali ya awamu ya sita. Agizo hilo limetolewa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Asas,wakati…
27 September 2024, 8:47 pm
Na Hafidh Ally Wananchi mkoani Iringa wametakiwa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura Kuelekea uchanguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika mwezi November mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari ofsini kwake Mkuu wa Mkoa wa…
26 September 2024, 9:49 am
Na Joyce Buganda Mkuu wa Wilaya ya Iringa Kheri James amewasihi wananchi Wilayani Iringa kuhakikisha wanalinda rasilimali zilizowekwa katika chuo cha ufundi stadi (VETA) kilichopo Pawaga wilaya ya iringa. Kheri James ameyasema wakati alipotembelea na kukagua maendeleo ya chuo hicho…
26 September 2024, 9:45 am
Na Hafidh Ally Zaidi ya shilingi bilioni 1.6 zimetolewa na serikali kwa ajili ya ujenzi wa shule ya sekondari ya Umma inayotoa elimu ya Amali (Ufundi) katika kata ya Changarawe Halmashauri ya Mafinga Mji mkoani Iringa. Hayo yamezungumzwa na Mkuu…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.