Nuru FM
Nuru FM
16 April 2025, 9:51 am
Na Joyce Buganda Wanafunzi wa vyuo vikuu nchini wametakiwa kujifunza lugha ya kichina kwani kupitia lugha hiyo wanaweza kupata fursa mbalimbali ikiwemo ufadhiri katika masomo yao. Akizungumza katika mashindano ya taranta za kichina ya wanafunzi wa vyuo vikuu duniani yaliofanyika …
15 April 2025, 11:50 am
Na Adelphina Kutika Katika juhudi za kuimarisha ustawi wa vijana na kuwawezesha kiuchumi na kiafya, Shirika la SOS Children’s Villages limezindua rasmi Mradi wa Uwezeshaji wa Vijana katika Hafua za Afya ya Uzazi na Uchumi Endelevu mkoani Iringa chini ya…
14 April 2025, 11:14 am
Na Ayoub Sanga Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Iringa Vijijini, Elia Juma Kidavile, ametoa wito kwa vijana wa wilaya hiyo kutotumika vibaya kwa maslahi binafsi ya wanasiasa na badala yake kuwa mstari wa…
12 April 2025, 1:08 pm
Na Adelphina Kutika Bodi ya Maji Bonde la Rufiji, imefanikiwa kujenga mabirika matano ya kunyweshea mifugo na vituo vya kuchota maji safi ya kunywa kupitia mradi wa REGROW, ikiwa ni hatua muhimu katika kuimarisha ulinzi na uhifadhi wa vyanzo vya…
11 April 2025, 3:20 pm
Na Joyce Buganda Mwenyekiti wa umoja wa vijana UVCCM Taifa komredi Mohamed Kawaida ameanza ziara ya siku mbili mkoani Iringa lengo likiwa ni kukagua Miradi ya chama pamoja na Kukiimarisha Chama kiwe kwenye umoja na mshikamano hasa katika kipindi Cha…
8 April 2025, 8:22 am
Na Editha Maximillan na Israel Nchimbi Wafanyabiashara wa zao la Viazi Mviringo katika Soko Kuu Manispaa ya Iringa wamesema kuwa bei ya zao hilo imepanda ikilinganishwa na ilivyokuwa katika mwezi wa Ramadhan. Wakizungumza na Nuru Fm baadhi ya Wafanyabiashara wa…
8 April 2025, 7:47 am
Na Zaitun Mustapha na Catherin Soko Katika kuadhimisha Kumbukizi ya Miaka 53 ya Kifo cha Hayati Abeid Aman Karume, Wananchi Manispaa ya Iringa wamesema ni vyema kuadhimisha siku hii kwa kuuendeleza Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Wakizungumza na Nuru FM…
5 April 2025, 7:18 am
Na Adelphina Kutika Wasichana waliopokea msaada kutoka Shirika lisilo la Kiserikali la Campaign for Female Education (CAMFED) wameiomba Serikali kuhakikisha wakulima wote nchini wanapata mbolea ya ruzuku kwa wakati, ili kuwasaidia kuongeza uzalishaji wa mazao na kufikia malengo ya Serikali…
26 March 2025, 10:53 am
Na Fredrick Siwale Katika kuadhimisha siku ya Afya na Lishe, Halmashauri ya Mji Mafinga imetoa elimu ya namna ya kupambana na changamoto za lishe kwa wakazi wa Mtaa wa Mkombwe uliopo Kata ta Boma. Akizungumza katika Maadhimisho ya siku ya…
20 March 2025, 12:27 pm
Na Fredrick Siwale Chama cha Walimu C.W.T Wilaya ya Mufindi Wametakiwa kujiepusha na mikopo umiza na kausha damu,ili kuondoa vitendo vya udhalilishaji wanavyokutana navyo mitaani kutoka kwa Wakopeshaji. Hayo yamezungumzwa na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa Dkt.Linda Salekwa…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.