Nuru FM
Nuru FM
3 March 2025, 11:03 am
Na Halfan Akida Wanawake wa Manispaa ya Iringa wamehamasishwa kuwa na utamaduni wa kutunza mazingira ikiwemo kupanda miti ya vivuli pamoja na matunda katika maeneo yao. Wito huo umetolewa na , Diwani wa Viti maalum Manispaa ya Iringa, Dora Nziku…
28 February 2025, 8:46 am
Na Joyce Buganda Kuelekea uchaguzi mkuu mwezi oktoba mwaka huu makatibu, siasa, uenezi na mafunzo w CCM ngazi ya kata na matawi wilayani kilolo ukanda wa juu wamepewa semina elekezi ili kuwaandaa na kuwakumbusha kutekeleza majukumu yao Kulingana na katiba…
25 February 2025, 12:26 pm
Na Adelphina Kutika Tume ya Taifa na Mpango wa Matumizi ya Ardhi imeanzisha mchakato wa kuandaa mpango wa matumizi bora ya ardhi katika kijiji cha Iwungi, kilichopo katika kata ya Uhambingeto, Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo, mkoani Iringa. Akizungumza na…
21 February 2025, 12:12 pm
Na Fredrick Siwale Mwalimu wa shule ya msingi Kinyanambo Silvester Joseph Lyuvale (57) aliyepata ajali na kukatwa miguu yote miwili ameiomba Serikali na Wadau wa maendeleo ili aweze kupata msaada wa Kitimwendo kinachotumia umeme. Akizungumza na Nuru FM Mwl.Silvester anayefundisha…
21 February 2025, 12:08 pm
Na Ayoub Sanga Serikali kupitia wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini RUWASA imetoa zaidi ya shilingi Millioni 271 kwaajili ya uboreshaji wa mradi wa maji wa Ruaha Mbuyuni wilayani Kilolo,mradi ambao unaenda kuondoa adha ya upatikanaji wa maji…
19 February 2025, 12:24 pm
Na Adelphina Kutika Tume ya Haki za Binadamu na Utawala bora Nchini inatarajia kutoa elimu kuhusu misingi ya haki na Utawala bora kwa wananchi katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Iringa kwa lengo la kuwawezesha Wananchi kutambua haki zao na…
19 February 2025, 10:43 am
Na Victor Meena Wananchi wa Kitongoji cha Imalinyi kilichopo Kijiji cha Lupembelwasenga Kata ya Lyamgungwe Mkoani Iringa wanakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa huduma ya maji jambo linalohatarisha usalama kwao. Wakizungumza na Nuru FM baadhi ya wananchi wa kijiji hicho…
18 February 2025, 8:54 pm
Na Joyce Buganda Wadau wa maendeleo mkoani Iringa wametakiwa kuwa na utaratibu wa kujitoa na kuwasaidia watu wenye uhitaji na kutowatenga. Hayo yamzungumzwa na msanii kutoka nyanda za juu kusini Ezra Francis maalufu kwa jina la Eze Nice ambae ndiye…
17 February 2025, 10:15 am
Na Fredrick Siwale Wananchi wa Mtaa wa Ihongole uliopo kata ya Boma Halmashauri ya Mji Mafinga wameiomba serikali iwajengee daraja linalotumiwa na wanafunzi kuelekea shule ya JJ na Nyamalala ili kuwanusuru na hatari ya kusombwa na maji ya mvua. Wakizungumza…
9 February 2025, 3:57 pm
Na Mwandishi wetu Umoja wa Wanawake UWT Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga umeanza utekelezaji wa ujenzi wa nyumba ya Watumishi hasa Katibu umoja huo. Katika ujenzi huo ambao umeanza Rasmi, baada ya kupatikana Vifaa vya ujenzi kutoka kwa wadau mbalimbali…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.