Nuru FM

Recent posts

19 March 2025, 11:24 am

Dkt. Samia aunga Mkono juhudi za wanawake Iringa kwa kukabidhi bajaji

Na Joyce Buganda Baraza la Wanawake wa Kiislamu Tanzania, Wilaya ya Iringa wamekabidhiwa Bajaji yenye Thamani ya Shilingi Milioni 10.5 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kuunga Mkono Juhudi za Wanawake wa Kiislamu Wilayani humo kukuza uchumi.…

17 March 2025, 11:30 am

Wajasiriamali wanawake waagizwa kutumia fursa za kiuchumi

Na Adelphina Kutika Wajasiliamali Wanawake Mkoani Iringa wamehimizwa kutumia fursa zilizopo kuwekeza katika maeneo yao ili kuongeza upatikanaji wa masoko na huduma za kibiashara ili kukuza uchumi na kuzalisha vyanzo vingi vya ajira hapa nchini. Agizo hilo limetolewa na Mkuu…

14 March 2025, 12:11 pm

Polisi Iringa yawatunuku vyeti wakaguzi na askari

Na Adelphina Kutika Jeshi la polisi mkoa wa Iringa  limewapongeza  wakaguzi  na askari  waliofanya vizuri   mwaka 2024  ili kuongeza chachu  kwa wengine kufanya kazi kwa nidhamu na weledi Akizumgumza katika hafla hiyo ya kukabidhi vyeti hivyo  kamanda wa polisi mkoa…

11 March 2025, 8:50 pm

Wananchi Kidamali walia na kero ya barabara

Na Joyce Buganda Wananchi wa kijiji cha Kidamali kilichopo kata ya Nzihi Halmashauri ya wilaya ya Iringa Mkoani Iringa wamelalamikia kero ya miundombinu ya barabara hasa kwenye kipindi hiki cha mvua za masika kuleta madhara ikiwamo kushindwa kusafirisha mazao kuletakatika…

11 March 2025, 12:17 pm

Vijana Iringa wajengewa uwezo wa kilimo na usindikaji

Na Joyce Buganda Vijana mkoani Iringa wametakiwa kutumia mbinu za kisasa za kilimo na usindikaji ikiwemo kutumia virutubisho Ili kiboresha wa mazao na bidhaa wanazozizalisha. Mafunzo hayo yametolewa kwa siku mbili mjini Iringa kwa kushirikiana na viongozi wa Serikali, Shirika…

7 March 2025, 6:36 pm

DC Kheri aiagiza TAWA kudhibiti wanyamapori wanaovamia mazao ya wananchi

Na Godfrey Mengele Mkuu wa Wilaya ya Iringa Kheri James ameitaka Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania – TAWA pamoja na hifadhi ya wanyamapori Ruaha kuchukua hatua madhubuti ili kudhibiti wanyama wanaovamia na kuharibu mazao, mifugo na kusababisha madhara kwa binadamu…

6 March 2025, 12:47 pm

Urusi kuwekeza katika kilimo mkoani Iringa

Na Adelphina Kutika Balozi wa Urusi nchini Tanzania, Mhe. Andrey Avetisyan, ameonesha dhamira ya kuleta uwekezaji wa viwanda nchini Tanzania, hasa katika sekta ya kilimo, ili kuongeza fursa za ajira na kuchochea maendeleo ya kiuchumi. Balozi Avetisyan amesema hayo  akiwa…

5 March 2025, 10:15 am

Wanawake Iringa washauriwa kuacha mikopo ya kausha damu

Na Adelphina Kutika Wanawake Mkoani Iringa  wametakiwa kuacha kukopa mikopo ya kausha damu na badala yake wakope mikopo inayotambulika na Serikali ikiwemo taasisi za fedha ili kupunguza vifo kwa vijana. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi mtendaji wa shirika la Vyombo…

4 March 2025, 10:50 am

CCM Iringa yakanusha matamshi ya Mhapa yaliyozua taharuki

Na Frank Leonard CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Iringa kimekanusha taarifa iliyotolewa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Iringa, Steven Mhapa inayodai majina ya madiwani na wabunge waliopo madarakani sasa yatakuwa miongoni mwa majina matatu yatakayorudishwa kwenye mchakato…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.