Nuru FM
Nuru FM
29 May 2025, 4:57 pm
Kijana Mwinuka alitenda kosa la ubakaji kwa mtoto mwenye umri wa miaka 8 kinyume na sheria. Na Mwandishi wetu Mahakama ya wilaya ya Kilolo, mkoani Iringa imemhukumu Theonas Mwinuka maarufu kama Razack, mkazi wa Ruaha Mbuyuni, kifungo cha maisha jela…
29 May 2025, 3:18 pm
Ujenzi wa barabara ya Makombe-Kitanewa utaenda kuyaunganisha majimbo mawili ya Kalenga na Ismani na kukuza uchumi wa wananchi. Na Adelphina Kutika Mbunge wa Jimbo la Kalenga mkoani Iringa, Jackson Kiswaga ameweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa barabara…
29 May 2025, 9:00 am
Makala hii inatazama ni upi ushiriki wa wanawake katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Na Hafidh Ally na Dorice Olambo Katika kuondokana na changamoto ya wanawake kushiriki kwenye nafasi za uongozi katika uchaguzi, Nuru FM imeandaa makala yenye lengo la…
28 May 2025, 5:43 pm
Changamoto ya wafanyajasiriamali wadogo Manispaa ya Iringa kuvamia katika maeneo yasiyo Rasmi kufanya shughuli zao imepatiwa mwarobaini. Na Godfrey Mengele Halmashauri ya Manispaa ya Iringa imepanga kuanzia masoko mengine kwa ajili ya wafanyabiashara wadogo ikiwa ni mpango mkakati wa kuhakikisha…
27 May 2025, 4:03 pm
Maonesho ya Biashara na Viwanda yaliyofanyika Wilaya ya Kilolo yameonesha kuwaleta pamoja wadau mbalimbali wa sekta hizo ili kukuza soko. Na Joyce Buganda Mkuu wa Wilaya ya Kilolo, Mhe. Rebecca Nsemwa Sanga amewapongeza chemba ya biashara viwanda na Kilimo TCCIA…
26 May 2025, 12:34 pm
Wananchi wanaotembea umbali mrefu kufuata huduma za afya wataanza kuneemeka na huduma za afya. Na Ayoub Sanga Zaidi ya shilingi milioni 400 zimetumika katika ujenzi wa Kituo cha afya cha Mninga kilichopo kata ya Mninga, Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi…
21 May 2025, 3:18 pm
Kuchelewa kukamilika kwa miradi ya maendeleo katika Wilaya ya Kilolo kimetajwa kusababishwa na Afisa Manunuzi ambaye alinunua Tofali moja kwa shilingi elfu 2500. Na Adelphina Kutika Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Peter Serukamba, ametoa agizo kwa Katibu Tawala wa…
20 May 2025, 6:25 pm
Halmashauri ya Manispaa ya Iringa imekuwa na mafanikio katika ukusanyaji wa mapato, ikipongezwa kwa kufanya vizuri. Na Joyce Buganda Mkuu wa Mkoa wa Iringa Peter Serukamba amelitaka Baraza la madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kusimamia vyema mapato yanayokusanywa…
20 May 2025, 7:40 am
Na Godfrey Mengele Mkuu wa Mkoa wa Iringa Peter Serukamba ametangaza rasmi kuwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu anaenda kugombea nafasi ya ubunge wa jimbo. Serukamba ameyasema hayo katika kikao cha halmashauri kuu ya CCM Mkoa wa Iringa kilicholenga…
18 May 2025, 8:51 pm
Mwalim Silvester aliyekosa tabasamu kwa miaka 6 baada ya kupata ajali iliyompa ulemavu ameanza safari mpya ya maisha baada ya kupatiwa kitimwendo cha umeme, miguu saidizi na toyo ya kumuingizia kipato. Na Hafidh Ally na Fredrick Siwale Hatimaye Mwalimu wa…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.