

6 April 2022, 6:29 am
Serikali kupitia Wizara ya Kilimona Umwagiliaji imetoa kipaumbele kwenye miradi ya umwagiliaji iliyopo Mkoani iringa ili wananchi waweze kulima kilimo cha biashara. Hayo yamezungumzwa Jijini Dodoma na Naibu waziri wa Kilimo na Umwagiliaji Antony Mavunde aalipokuwa ajibu swali la Mbunge…
5 April 2022, 9:11 am
Wizara ya Afya leo imepokea vifaa vya TEHAMA vyenye thamani ya shilingi 203,550,000 kutoka Shirika la USAID kwa kushirikiana na JHPIEGO kupitia mradi wake wa Momentum Challenge Global Leadership (MCGL). Akiongea wakati wa hafla hiyo Katibu Mkuu wa Wizara hiyo…
5 April 2022, 9:08 am
Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa ameshuhudia utiaji Saini Mkataba wa Utafiti wa Gesi ya Heliam kati ya Kampuni ya Noble Helium Limited kupitia Kampuni yake Tanzu ya Rocket Tanzania Limited na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa…
5 April 2022, 8:20 am
Sh93.1 bilioni zimetumika katika miradi mbalimbali ya maendeleo wilayani Iringa ikiwemo ujenzi wa barabara ya Kihesa Kilolo – Igumbilo itakayosaidia kupunguza msongamano wa magari mjini. Kwa sasa magari yote yanapita katikati ya mji na kusababisha msongamano mkubwa kutokana na ukosefu…
4 April 2022, 4:56 pm
JESHI la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani limepiga marufuku magari yote ya mizigo pamoja na magari yanayokwenda nje maarufu kama IT kubeba abiria huku likitoa anyo kwa wamiliki ambao wanaingiza magari mabovu babaranani na kusababisha ajali. Akizungumza wakati wa kufunga…
4 April 2022, 4:53 pm
Watu wanne wamefariki dunia na 19 kujeruhiwa mkoani Dodoma katika ajali iliyohusisha basi la Geita Express kugongana na Fuso jana Jumapili Aprili 3, 2022. Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Onesmo Lyanga amesema ajali hiyo…
4 April 2022, 4:51 pm
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikiliwa watu wawili kwa tuhuma za kujaribu kuharibu miundombinu ya Daraja la Tanzanite. Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es salaam, Jumanne Muliro amesema kuwa…
4 April 2022, 4:47 pm
Katibu wa Bunge. Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc amesema vikao vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania vitaanza kurushwa moja kwa moja kutoka Bungeni katika vipindi vyote vya bunge. Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dodoma, Nenelwa amesema baada ya…
1 April 2022, 3:29 pm
Jumla ya viongozi wa wapya wa vyama vya Ushirika wa akiba na Mikopo Mkoani Iringa 22 wamepewa mafunzo ya namna ya kuendesha vyama vyao katika ukumbi wa chuo kikuu cha ushirika Moshi Tawi la Iringa. Akizungumza mara baada ya kumalizika…
31 March 2022, 4:58 pm
Mkuu wa Wilaya ya Iramba mkoani Singida Suleiman Mwenda ametoa mwezi mmoja kwa Wazazi na Walezi wa wanafunzi 16 wa Tarafa ya Shelui ambao hadi sasa hawajaripoti shuleni baada ya kufaulu darasa la saba kwenda Sekondari kuhakikisha wanafanya hivyo na…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.