Nuru FM
Nuru FM
11 November 2022, 5:13 am
Takwimu zinaonesha kuwa, watoto takribani elfu kumi na moja huzaliwa na ugonjwa wa Sikoseli kila mwaka nchini Tanzania hali ambayo imekuwa tishio kwa Taifa la baadae. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa huduma za Tiba Prof. Paschal Ruggajo wakati wa uzinduzi…
11 November 2022, 5:10 am
Naibu Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora, Deo Ndejembi amesema Serikali nchini, imetenga nafasi 30,000 za ajira kwa kada mbalimbali katika mwaka wa 2022/23. Ndejembi ametoa kauli hiyo hii leo Bungeni jijini Dodoma na kuongeza kuwa…
11 November 2022, 5:06 am
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Mhandisi Modeatus Lumato,amesema kuwa wamejipanga kupokea na kutatua malalamiko ya watumiaji wa Huduma za Nishati na Maji ili wananchi wapate thamani halisi ya huduma zinazodhibitiwa Hayo ameyasema …
2 November 2022, 5:25 pm
Mbunge wa Viti maalumu Mkoa wa Iringa Kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dr Ritta Kabati ameihoji serikali ina mkakati gani wa kuhamasisha wanawake kujihusisha katika sekta ya uchimbaji wa madini. Mbunge Kabati ametoa hoja hiyo bungeni Jijini Dodoma katika kipindi…
31 October 2022, 5:34 pm
MWENYEKITI wa jumuiya ya vijana wa chama cha mapinduzi wilaya ya Iringa vijijini (UVCCM) Elia kidavile amewataka wanafunzi wanaohitimu darasa na saba kukataa kwenda kufanya kazi za ndani pindi wanapohitimu elimu ya msingi. Akizungumza kwenye mahafali ya darasa la saba…
31 October 2022, 5:07 pm
Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi iliyofanyika mwezi Agosti, 2022 yametangwazwa na kuonesha kuwa idadi ya watanzania imefikia watu milioni 61,741,120, ambapo wanawake wapo milioni 31.6 sawa na asilimia 51 huku Wanaume wakiwa ni milioni 30.5 sawa na asilimia…
28 October 2022, 4:56 pm
Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mohamed Hassan Moyo ametoa mwezi mmoja idara ya mipango miji kuhakikisha wanatatua mgogoro ya mipaka katika eneo la mlima Igeleke uliopo kata ya Mkimbizi Manispaa ya Iringa baina ya wananchi na kikundi cha uhifadhi wa…
28 October 2022, 8:39 am
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi ameutaka uongozi wa Manispaa ya Iringa kuzingatia mahitaji na maslahi ya watumishi ili kuwajengea ari na morali ya utendaji kazi katika kuwahudumia wananchi. Mhe.…
25 October 2022, 4:05 pm
BODI ya Sukari Tanzania imeanza mikakati ya kuongeza uzalishaji wa sukari nchini ili kukabili na uhaba wa bidhaa hiyo ambapo wanatarajia ifikapo mwaka 2025/2026 uzalishaji wa sukari utaongezeka hadi kufikia tani laki 756. Hayo yamesemwa leo Oktoba 25,2022 jijini Dodoma…
25 October 2022, 4:02 pm
Ripoti ya Utendaji wa Kisekta imeonesha ongezeko la asilimia 3.4 kwa laini za simu zinazotumika, ambapo hadi mwezi Juni 2022 kulikuwa na laini Milioni 56.2 idadi iliyoongezeka hadi kufikia laini milioni 58.1 Septemba 2022. Takwimu zinaonyesha kwamba mikoa mitano nchini…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.