

20 April 2022, 7:37 am
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema linaendelea na uchunguzi wa tukio la kifo cha Paroko wa Parokia ya Mbezi Mshikamano, Padri Francis Kangwa aliyekutwa ndani ya tenki la maji akielea. Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya…
20 April 2022, 7:29 am
Wanahabari wa Tanzania wanatarajia kupata tuzo kwa makundi tofauti katika tasnia hiyo ikiwa ni katika kuenzi na kutambua umuhimu wao katika kuleta maendeleo ya nchi kitaifa na kimataifa. Hayo yamesemwa na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Rodney Thadeus…
20 April 2022, 7:19 am
HALMASHAURI ya Wilaya ya Manyoni imefikisha asilimia 90 ya zoezi la anwani za makazi na postikodi licha ya kuwepo changamoto ndogondogo zilizojitokeza. Hayo yameelezwa na Mkuu wa Wilaya hiyo Rahabu Mwagisa wakati akitoa taarifa ya zoezi hilo kwa Mkuu wa…
18 April 2022, 9:14 am
KLABU ya Simba Sc imeendelea kutka dozi mechi za kimataifa nara baada ya usiku wa kuamkia leo kuichapa klabu ya Orlando Pirates Fc bao 1-0 katika dimba la Benjamini Mkapa. Bao hilo liliwekwa kimyani na beki kisiki Shomari Kapombe ambaye…
18 April 2022, 9:10 am
Kwa kutambua thamani ya Wateja wao na umuhimu Mwezi wa Ramadhani, Benki ya NMB imeshiriki Futari na Wateja na Wadau mbalimbali wa Dar es Salaam na kuhudhuriwa Mufti Mkuu wa Tanzania Aboubakary Bin Zubery. Akizungumza wakati wa hafla fupi ya…
18 April 2022, 9:06 am
Makundi maalum ya Wajane, Wagane, Yatima, Wazee na Watu wasiojiweza wametakiwa kujitokeza na kuhesabiwa siku ya zoezi la Sensa ya Watu na Makazi Ili kuisaidia Serikali kupata takwimu sahihi zitakazotumika katika kupanga mipango ya maendeleo. Rai hiyo imetolewa na…
18 April 2022, 9:00 am
UJENZI wa Ofisi ya Kanda ya Kati ya Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) ambao umebuniwa na unajengwa na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Jijini Dodoma, kwa sasa umefikia asilimia 50 katika ujenzi ambapo Meneja wa Mradi huo, Mhandisi Mshauri Mtogomi…
9 April 2022, 7:41 am
SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limesisitiza umuhimu wa wavuvi kuzingatia usalama ikiwemo kuwataka kuacha kufanya kazi kwa mazoea wanapokuwa katika shughuli za Uvuvi wawapo majini ili kuwaepusha na vifo,majeruhi na kupoteza mali. Huku wakisisitiziwa umuhimu wa kuwa na…
9 April 2022, 7:32 am
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) imeweza kutoa jumla ya vyeti na leseni mia mbili kumi na moja (211) na Kati ya hizo, leseni na vyeti mia moja kumi na tano (115) sawa na (55%) vilitolewa kwa wajasiriamali wadogo. Aidha Shirika…
6 April 2022, 9:22 am
Serikali imesema wiki ijayo itatangaza nafasi za ajira 32,000 katika sekta ambazo zina upungufu mkubwa wa watumishi. Ahadi hiyo imetolewa Bungeni leo Jumatano Aprili 6, 2022 na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora, Jenista Mhagama ambapo…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.