Nuru FM
Nuru FM
6 October 2023, 10:29 am
Na Frank Leonard Serikali imetangaza kutenga Sh bilioni 70 kila mwezi kwa ajili ya kulipa madeni ya wakandarasi wa ndani na nje wanaotekeleza miradi mbalimbali ya ujenzi nchini. Akitoa taarifa hiyo leo mara baada ya kukagua maendeleo ya ukarabati wa…
24 September 2023, 6:08 pm
Mkurugenzi waTeknolojia za Nishati Jadidifu na Nishati Mbadala, Wakala wa Nishati Vijijini – REA, Mhandisi Advera Mwijage umesema atahakikisha washirikiana na Sekta binafsi katika kuhakikisha upatikanaji wa huduma bora na nishati ya uhakika vijijini. Mhandisi Mwijage ameyasema hayo baada ya…
21 September 2023, 11:34 am
Na Adelphina Kutika Wafugaji mkoani Iringa wametakiwa kutumia bidhaa ya Lishe ya wanyama kutoka Yara ili kuboresha mifugo yao na kukuza kipato kwa ufugaji. Agizo hilo limetolewa na mkuu wa mkoa wa iringa Halima dendego katika hafla ya uzinduzi wa…
4 September 2023, 10:25 am
Na Mwandishi wetu WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amekutana na ujumbe kutoka Korea Kusini uliojumuisha viongozi wa makampuni makubwa ya madini yanayohusika na mnyororo wa thamani wa uzalishaji betri za magari ya Posco Holdings, Posco…
4 September 2023, 10:20 am
Na Frank Leonard MFANYABIASHARA Salim Asas kutoka mkoani Iringa amekubali kupewa hadhi ya umachinga katika tukio lilikowenda sambamba na kuitikia wito wa kuwa mlezi na mwanachama wa Shirikisho la Umoja wa Machinga Tanzania (SHIUMA). Katika tukio hilo lililofanyika katika soko la…
30 August 2023, 10:57 am
Na Frank Leonard Klabu ya Lipuli FC ya mjini Iringa inayoshiriki ligi daraja la pili inatarajiwa kurudi ligi daraja la kwanza baada ya wadau wa soka wa mkoani Iringa (hawakutajwa) kuinunua klabu ya Ruvu Shootings ya daraja la kwanza katika…
24 August 2023, 11:15 am
Na Frank Leonard WANANCHI katika Vijiji vitatu vya Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa, wanatarajiwa kunufaika na mradi wa maji wa Masalali, Masege na Kihesa Mgagao ambao ujenzi wake unatarajiwa kuanza hivi karibuni ukigharimu zaidi ya Sh Bilioni 1.6. Kukamilika kwa…
20 August 2023, 1:09 pm
Semina hiyo imelenga kuwapa kanuni na sheria za mashindano ya Kiswaga Cup ili kuepukana na changamoto za kikanuni. Na Hafidh Ally Viongozi wa timu shiriki katika mashindano ya Kiswaga cup 2023 yanayodhaminiwa na Mbunge wa Jimbo la Kalenga Mh Jackson…
16 August 2023, 10:39 am
Na Hafidh Ally Kampuni ya Asas Diaries @asas_dairies Mkoani Iringa inatarajia kujenga kiwanda cha maziwa katika Wilaya ya Njombe ili kuwainua wafugaji wa eneo hilo na kukuza uchumi. Hayo yamezungumzwa na Mkurugenzi wa Kampuni hiyo Ahmed Salim Abri @ahmed.s.asas mara…
14 August 2023, 12:22 pm
Na Fabiola Bosco Watumishi wa Shamba la Miti Sao Hill wilayani Mufindi mkoani Iringa wamepongezwa kwa utendakazi mzuri huku wakiaswa kuendelea kufanya kazi kwa uadilifu na uzalendo kwa maslahi ya umma na serikali . Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.