Nuru FM
Nuru FM
27 October 2025, 3:31 pm
“Zingatieni maadili na viapo vyenu mnapoenda kusimamia uchaguzi katika vituo vyenu” Na Fredrick Siwale Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Jimbo la Mafinga Mjini Imewataka Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa vituo vya kupigia kura kusimamia maadili na masharti ya…
27 October 2025, 8:43 am
Mikopo hiyo imetolewa kupitia asilimia 10 ya mapato ya ndani ya Halmashauri hiyo katika kipindi cha miezi tisa. Na Godfrey Mengele Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo mkoani iringa imetoa mikopo yenye thamani ya Shilingi bilioni 1.7 kwa vikundi 104 vya…
24 October 2025, 8:34 am
“Magari haya yatakuwa chachu ya kupunguza matukio ya uhalifu mkoani Iringa” Na Hafidh Ally MKUU wa Mkoa wa Iringa, Kheri James amekabidhi magari mapya manane (8) kwa Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa ili kuboresha mazingira ya utendaji kazi na…
23 October 2025, 11:29 am
“Udereva ni taaluma kama taaluma nyingine na ni vyema wakazingatia weledi wanaootekeleza majukumu yao” Na Adelphina Kutika Madereva wa Magari ya Masafa marefu ndani na nje ya Tanzania wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia msingi kama ya Jeshi la Polisi…
23 October 2025, 10:46 am
“Nichagueni ili niwaletee huduma bora ya maji katika eneo lenu” Villa Na Fredrick Siwale Mgombea wa Ubunge Jimbo la Mafinga Mjini kupitia chama cha Mapinduzi CCM Dickson Nathan Lutevele Villa ameahidi kutatua kero ya Maji kwa wananchi wa eneo la…
23 October 2025, 10:25 am
Na Noela Nyalusi Jeshi la Polisi Kikosi Cha usalama Barabarani Mkoa wa Iringa limewataka abiria wanaosafiri kwenda mikoani kukata tiketi katika kampuni husika ili kuepuka kulipa kiasi kikubwa tofauti na bei elekezi. Hayo yamezungumwa na Afisa Usalama barabarani wilaya ya…
21 October 2025, 11:07 am
“Magari haya yatasaidia kupunguza majanga ya moto katika jamii” RC Kheri Na Hafidh Ally Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe. Kheri James amekabidhi rasmi magari na vitendea kazi vya kisasa kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji ili kuimarisha utendaji wa…
18 October 2025, 8:56 am
“Wanahabari wakielimishwa kuhusu rushwa watatusaidia kutoa elimu kwa wananchi” Swela Na Joyce Buganda na Adelphina Kutika Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Iringa imeendesha mafunzo maalum kwa waandishi wa habari ili kuwajengea uwezo wa kuelimisha jamii…
17 October 2025, 9:04 am
Makala hii inaelezea Jinsi Taasisi Binafsi na za Kiserikali zinavyoshiriki kuhamasisha wanawake kujihusisha na masuala ya Uchaguzi na siasa. Na Hafidh Ally na Dorice Olambo Nuru FM imekuandalia makala hii maalum kujua ni kwa kiwango gani Taasisi Binafsi, za Kidini…
17 October 2025, 8:20 am
Nuru FM kupitia Kampeni yake ya ulipo tupo imeendelea kufanya matukio ya kijamii kuelekea katika kilele cha miaka 17 toka kuanzishwa kwake. Na Hafidh Ally Kuelekea kusherehekea Miaka 17 toka Nuru fm Radio ilipoanishwa, Wafanyakazi wa Kituo hicho wametembelea hospital…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.