Nuru FM
Nuru FM
21 October 2025, 11:07 am
“Magari haya yatasaidia kupunguza majanga ya moto katika jamii” RC Kheri Na Hafidh Ally Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe. Kheri James amekabidhi rasmi magari na vitendea kazi vya kisasa kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji ili kuimarisha utendaji wa…
18 October 2025, 8:56 am
“Wanahabari wakielimishwa kuhusu rushwa watatusaidia kutoa elimu kwa wananchi” Swela Na Joyce Buganda na Adelphina Kutika Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Iringa imeendesha mafunzo maalum kwa waandishi wa habari ili kuwajengea uwezo wa kuelimisha jamii…
17 October 2025, 9:04 am
Makala hii inaelezea Jinsi Taasisi Binafsi na za Kiserikali zinavyoshiriki kuhamasisha wanawake kujihusisha na masuala ya Uchaguzi na siasa. Na Hafidh Ally na Dorice Olambo Nuru FM imekuandalia makala hii maalum kujua ni kwa kiwango gani Taasisi Binafsi, za Kidini…
17 October 2025, 8:20 am
Nuru FM kupitia Kampeni yake ya ulipo tupo imeendelea kufanya matukio ya kijamii kuelekea katika kilele cha miaka 17 toka kuanzishwa kwake. Na Hafidh Ally Kuelekea kusherehekea Miaka 17 toka Nuru fm Radio ilipoanishwa, Wafanyakazi wa Kituo hicho wametembelea hospital…
15 October 2025, 1:17 pm
Na Ayoub Sanga Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kusisitiza umuhimu wa kuanzisha na kuimarisha maeneo ya kimkakati ya kiuchumi, kwa lengo la kuongeza tija na ushirikishwaji wa wananchi katika shughuli za maendeleo ya taifa. Katika kongamano la…
14 October 2025, 10:02 am
Wakati sahihi kwa viongozi wa dini kutoa ujumbe unaowaunganisha Watanzania, badala ya maneno yanayoweza kuchochea chuki au migawanyiko. Na Ayoub Sanga Waandishi wa habari na viongozi wa dini Mkoani Iringa wametakiwa kutumia nafasi zao kuhimiza amani na umoja wa kitaifa,…
14 October 2025, 9:48 am
Kukamilika kwa ujenzi wa Soko la Machinga Complex Iringa utarasihisha wajasiriamali kufanya kazi zao kwa uhuru. Na Adelphina Kutika Mgombea Ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fadhili Ngajilo, amesema kukamilika kwa ujenzi wa…
9 October 2025, 5:17 pm
“Mikopo hiyo inaenda kuwanufaisha kiuchumi vijana, wanawake na watu wenye ulemavu” Na Hafidh Ally Halmashauri ya Manispaa ya Iringa imefanikiwa kukabidhi mikopo yenye thamani ya Tsh. Milioni 240 katika robo ya kwanza kwa mwaka wa fedha 2025/2026 kwa vikundi 28.…
24 September 2025, 10:27 am
Makala hii inaelezea Changamoto ambazo wanawake wanazipitia pindi wanapoonesha nia ya kutaka kujihusisha na masuala ya kisiasa kuelekea katika Uchaguzi Mkuu wa Octoba 2025. Na Hafidh Ally na Dorice Olambo Wakati Tanzania ikitarajiwa kuingia katika kinyang’anyanyiro cha kupata viongozi wapya…
24 September 2025, 9:49 am
“Vijana ndio hazina ya Leo hivyo wanapaswa kuchagua viongozi wanaowataka kwa maslahi Yao na Taifa” Alisema Mvamba Na Hafidh Ally Vijana Wilaya ya Iringa wameaswa kutokukubali kuathiriwa na taarifa za kupotosha zinazozagaa kwenye mitandao ya kijamii kwa lengo la kuwavunja…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.