Nuru FM
Nuru FM
9 March 2026, 9:45 am
Serikali imeweka mifumo na vituo vya kuripoti matukio ya ukatili, na wananchi wanapaswa kuitumia Na Fredrick Siwale Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James, amekemea tabia ya baadhi ya wanawake, kutotoa ushahidi katika mashauri yanayohusiana na matukio ya ukatili…
8 March 2026, 8:00 am
“Tumeona tusherehekee siku ya wanawake duniani Kwa kutoa msaada wa mahitaji Kwa watoto hawa” Na Joyce Buganda Wanawake kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Iringa wameadhimisha maadhimisho ya siku ya wanawake kiwilaya kitofauti kwa kwenda kutembelea vituo viwili vya watoto yatima…
7 March 2026, 10:41 am
Kliniki hii ina lenga kuhakikisha wanawake wanapata fursa ya kumiliki ardhi sawa na wanaume. Na Telesia Chalamila na Elika Matonya Kuelekea maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani Wizara ya ardhi nyumba na Maendeleo ya Makazi Ofisi ya ardhi Mkoa wa…
7 March 2026, 10:29 am
“Wanaume Wilaya ya Mufindi wamekuwa wakikutana na vipigo na wanakaa kimya” Na Fredrick Siwale Wanawake Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa wametakiwa kuacha tabia ya kuwapiga waume zao ili kukuza ustawi katika Jamii. Hayo yamezungumzwa wakati wa Maadhimisho ya…
6 March 2026, 4:02 pm
“Maadili bora katika jamii yanaanzia kwa wanawake hivyo wanapaswa kuwa mstari wa mbele” Na Joyce Buganda Wanawake wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wametakiwa kusimamia maadili mema na malezi katika familia zao na jamii inayowazunguka. Akizungumza wakati wa kufunga kongamano…
6 March 2026, 8:50 am
Na Elika Matonya na Telesia Chalamila Wafanyabiashara wa soko kuu Mkoani Iringa wameeleza hali halisi ya biashara na aina ya bidhaa zinazouzika katika msimu huu wa mwezi mtukufu wa Ramadhan pamoja na kwaresma. Wakizungumza na Nuru FM Baadhi ya Wafanyabiashara…
5 March 2026, 6:36 pm
Uzinduzi wa kadi alama utasaidia kupata takwimu sahihi na kujua namna bora ya kulea na siyo kutunza watoto. Na Hafidh Ally Maafisa wanaotekeleza Afua tano za mradi wa Program Jumuishi ya Taifa ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya…
5 March 2026, 5:16 pm
Mafunzo hayo yatasaidia kujua mfumo wa kupata takwimu halisi katika maendeleo ya ukuaji wa mtoto. Na Adelphina Kutika Waratibu wa afua tano zinazotekeleza mradi wa PJT–MMMAM katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wamepatiwa mafunzo ya siku moja kuhusu ujio wa…
3 March 2026, 10:14 am
“Serikali itahakikisha Barabara zinapitika Kwa Mwaka mzima hasa katika Misimu ya Mvua kwa kuzikarabati” Kabati Na Hafidh Ally Wananchi wa Jimbo la Kilolo Mkoani Iringa wamelalamikia changamoto ya ubovu wa barabara za Jimbo hilo hasa njia za Dabaga na idete…
3 March 2026, 9:50 am
Mkitaka kukopa ni vyema mkazifuata taasisi zinazotoa mikopo zilizosajiliwa kisheria Na Fredrick Siwale Wanawake Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa wametakiwa kutojihusisha na mikopo yenye viashiria vya kausha damu ili ambayo imekuwa ikileta taharuki na kupoteza utu wa mwanamke…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.