Nuru FM
Nuru FM
4 July 2024, 11:16 am
Wananchi wamelalamika kuongezeka makato ya kodi ya majengo kuanzia Julai Mosi 2024. Na Michael Mundellah na Naida Atannas Wananchi Manispa ya Iringa wamelalamikia kuona ongezeko la tozo ya makato ya kodi ya majengo kuanzia Julai Mosi 2024 pindi wanaponunua umeme…
3 July 2024, 12:17 pm
Majukumu na wajibu wa kikatiba wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali yameainishwa katika Ibara ya 143 ya Katiba ya Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 na Kifungu Na. 10(1) cha Sheria ya Ukaguzi, Sura ya…
3 July 2024, 11:48 am
Na Michael Mundellah na Naida Atannas Siku chache baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa Peter Msigwa kujiunga na Chama Cha Mapinduzi CCM, Uongozi wa Chadema Jimbo la Iringa Mjini umesema kuwa umempoteza kiongozi ambaye aliwasaidia kwa asilimia…
3 July 2024, 8:42 am
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imesema itawachukulia hatua za kisheria mabasi yanayotoa huduma ya usafiri kwa wanafunzi kuacha tabia ya kupandisha nauli. Na Godfrey Mengele Kampuni za Usafirishaji Abiria Mkoani Iringa zimetakiwa kutopandisha nauli kipindi hiki ambacho shule zimefunguliwa…
28 June 2024, 7:44 pm
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hutumika kuwapata Viongozi wataoongoza wananchi wao kuanzia Ngazi ya Mtaa huku wananachi wakihimizwa kushiriki ipasavyo. Na Adelphina Kutika Wananchi wa Iringa Mjini wametakiwa kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi za uongozi katika uchaguzi wa serikali za…
25 June 2024, 11:36 am
Kiongozi wa mbio za mwenge ameridhia kuzindua Mradi wa ujenzi wa kituo Cha Mafuta Cha ASAS Energy ili kisaidie upatikanaji wa huduma ya nishati. Na Adelphina Kutika Mwenge Wa Uhuru 2024 Umezindua Kituo Cha Mafuta Cha Asas Energies Ltd kilichopo…
24 June 2024, 4:11 pm
Mwenge wa uhuru hutumiwa na Viongozi wa serikali kukagua Miradi ya maendeleo ambapo Wilaya ya Iringa utakagua Miradi ya kinaendelea upatayo 21. Na Adelphina Kutika Mwenge wa uhuru unatarajia kuzindua miradi 21 yenye thamani ya shiringi billion 145.2 katika wilaya…
21 June 2024, 10:50 am
Na Hafidh Ally Jumla ya vijana 192 kunufaika na ajira za ulinzi wa misitu ya shamba la miti Sao Hill lililopo wilaya ya Mufindi mkoani Iringa kupitia ajira za muda mfupi. Akizungumza wakati wa zoezi la usahili, Msaidizi wa Mhifadhi…
19 June 2024, 10:44 am
Na Adelphina Kutika Waandishi wa habari wa redio jamii mkoani Iringa wametakiwa kutumia kalamu zao kuandika na kuelimisha jamii ili kuleta mabadiliko chanya kwa mtoto na taifa kwa ujumla. Hayo yamebainishwa katika ufunguzi wa mafunzo kwa waandishi wa habari kuhusu Program…
19 June 2024, 10:30 am
Wakati Mikoa mingine ikiwa na hati yenye mashaka kuhusu ukaguzi kwa hesabu za serikali, Manispaa ya Iringa imezidi kufanya vizuri katika hesabu zake kwa mwaka uliopita. Na Adelphina Kutika Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Peter Serukamba amepongeza Halmashauri ya…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.