Nuru FM

Recent posts

17 February 2025, 10:15 am

Ubovu wa daraja wahatarisha usalama wa wanafunzi Ihongole

Na Fredrick Siwale Wananchi wa Mtaa wa Ihongole uliopo kata ya Boma Halmashauri ya Mji Mafinga wameiomba serikali iwajengee daraja linalotumiwa na wanafunzi kuelekea shule ya JJ na Nyamalala ili kuwanusuru na hatari ya kusombwa na maji ya mvua. Wakizungumza…

9 February 2025, 1:27 pm

Mwanilwa akabidhi bati 40 ujenzi wa nyumba ya watoto yatima Zizini

Na Mwandishi wetu Mjumbe wa Mkutano Mkuu UWT Taifa Wilaya ya Handeni Bi Mariam Mwanilwa amechangia Bati 40 kwa familia ya watoto Yatima 6 iliyopo Mtaa wa Zizini Kata ya Chanika Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga. Akizungumza wakati wa kukabidhi…

5 February 2025, 12:08 pm

Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi yapaa ukusanyaji mapato

Na Fredrick Siwale Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi kwa kipindi cha robo ya pili ya mwaka imeonyesha kupaa katika ukusanyaji wa mapato kutoka katika vyanzo vyake mbali mbali vya mapato na kukusanya milioni 170 kwa wiki. Awali akifunga Baraza hilo…

5 February 2025, 11:48 am

RC Serukamba aagiza kutendeka haki katika huduma za kimahakama

Na Joyce Buganda Wadau wa mahakama mkoani iringa wametakiwa kutenda haki wanapokuwa katika majukumu yao ikiwemo kujenga ukaribu kwa wananchi wakati wa wanapotoa huduma za kimahakama. Akizungumza wakati wa maadhimisho ya  kilele cha  siku ya sheria yaliofanyika katika viwanja ya…

4 February 2025, 9:33 am

Bilioni 11.7 kutengeneza barabara za Mafinga Mji

Na Hafidh Ally Halmashauri ya Mji Mafinga Mkoani Iringa imeomba kupatiwa Bilioni 11.7 kwa ajili ya matengenezo ya barabara korofi katika jamii. Hayo yamezungumzwa na  Meneja wa Wakala wa barabara vijijini (TARURA) Wilaya ya Mufindi Mhandisi Richard Sanga wakatia akitoa…

1 February 2025, 9:47 am

Halmashauri ya Mafinga Mji yapitisha bajeti ya bil 31.5 mwaka 2025/2026

Na Hafidh Ally Halmshauri ya Mafinga Mji  Mkoani Iringa imepitisha  jumla ya shilingi Bilioni 31.5 katika Bajeti ya Mwaka wa fedha 2025/2026. Akiwasilisha rasimu ya Mpango wa Bajeti ya 2025/2026 katika Baraza Madiwani,  Afisa Mipango Halmashauri ya Mji Mafinga, Peter…

30 January 2025, 1:43 pm

Shirika la GAIN Iringa latoa mbegu za maharage lishe shuleni

Na Joyce Buganda Shirika la Global Alliance for Improved Nutrition (GAIN) limegawa mbegu za maharage lishe katika shule za msingi na Sekondari Halmashauri ya Manispaa ya Iringa huku  lengo ni kuhamasisha kilimo cha mazao lishe na kupambana na tatizo la…

30 January 2025, 10:00 am

CCM Iringa wataja sababu za kuunga mkono Rais Samia kugombea 2025

Na Hafidh Ally Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Iringa kimesema kuwa sababu ya mkutano Mkuu wa CCM Taifa Kupendekeza Jina la Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea pekee katika nafasi ya Urais kwenye Uchaguzi Mkuu ujao ni utekelezaji wa…

28 January 2025, 3:16 pm

Takukuru Iringa yabaini kasoro miradi ya maendeleo

Na Hafidh Ally Taasisi ya Kuzuia na Kupambana Rushwa Takukuru Mkoa wa Iringa imebaini kasoro katika mradi wa maji wenye thamani ya Bilioni 1.5 fedha za Mfuko wa Maji wa Taifa. Akizungumza na waandishi wa habari Mkuu wa Takukuru Mkoa…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.