Nuru FM
Nuru FM
4 December 2024, 11:09 am
Na Hafidh Ally Maambukizi ya Ukimwi Mkoa wa Iringa maambukizi ya virusi vya ukimwi mkoa wa iringa yapungua kutoka 11.3% mpaka 11.1% kwa mwaka 2020- 2023. Hayo yamezungumzwa na Mratibu wa huduma za kudhibiti Ukimwi Mkoa wa Iringa Prizantus Ngongi…
3 December 2024, 8:43 am
Na Halima, Aisha, Zahara na Shahanazi Viongozi wa dini mkoani Iringa wamewaasa vijana kuacha kujihusisha na shughuli zisizo halali kama michezo ya kubashiri na Kamari na badala yake kufanya shughuli zingine halali za kujiingizia kipato . Hayo yamezungumzwa na Mchungaji…
27 November 2024, 12:15 pm
Na Azory Orema Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jimbo la Iringa Mjini kimesusia uchaguzi wa serikali za mtaa kwa kilee walichokiita kutoridhishwa na mwenendo mzima wa msimamizi wa uchaguzi jimbo la iringa mjini. Akizungumza na Nuru Fm mwenyekiti wa…
26 November 2024, 1:20 pm
Na Zahara Said na Aisha Ibrahim Kuelekea Uchaguzi wa serikali za Mitaa hapo kesho Nov 27, Serikali Wilaya ya Iringa imeweka utaratibu wa kuwapa kipaumbele wanawake wajawazito, wazee na watu wenye mahitaji Maalumu ili waweze kushiriki katika uchaguzi huo. Akizungumza…
26 November 2024, 1:00 pm
Na Adelphina Kutika Zaidi ya shilingi milioni 150 zimetumika kujenga Ghala la Dawa katika Hospitali ya Wilaya ya Frelimo, iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa. Hayo Yamebainishwa na Mfamasia wa Hospitali hiyo, Sued Deogratius katika ziara ya mwendelezo wa…
25 November 2024, 10:01 am
Na Adelphina Kutika Mkuu wa Wilaya ya Iringa, amewapongeza wakuu wa shule kwa usimamizi mzuri wa miradi inayotekelezwa katika maeneo yao, akieleza kuwa wameonyesha uaminifu mkubwa katika kusimamia miradi hiyo. Haya yamejiri katika kikao cha uzinduzi wa jukwaa la mafanikio,…
21 November 2024, 11:44 am
Na Fredrick Siwale CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa kimeanza kuwanadi wagombea nafasi uongozi wa Serikali za Mitaa kwa Wananchi kuelekea uchaguzi utakaofanyika Nov 27 mwaka huu. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Kampeni katika Mtaa wa Mjimwema…
20 November 2024, 7:00 pm
Wananchi Mkoani Iringa wamesema kuwa mila na desturi katika jamii imetajwa kuwa sababu inayopelekea wanaume wengi wanaofanyiwa ukatili wa kijinsia kushindwa kuripoti pindi wanafanyiwa vitendo hivyo. Wakizungumza katika kongamano la wanaume lililofanyika mkoani Iringa baadhi ya wananchi wameeleza kuwa mila…
20 November 2024, 6:13 pm
Na Hafidh Ally Rajuun Mkuu wa wilaya ya Mufindi Dkt. Linda Salekwa ameiagiza Halmashauri ya Mafinga Mji kutenga fedha katika bajeti ijayo ili kujenga uwanja wa michezo. DC linda ameyasema hayo leo katika baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Mafinga…
19 November 2024, 10:42 am
Na Hafidh Ally Hekta zinazokadiriwa kufikia zaidi ya mia nne zimeteketea kwa moto katika mashamba ya Miti ya Sao hill yanayomilikiwa na Serikali pamoja na wananchi yaliyopo Wilaya ya Mufindi , Mkoani Iringa huku chanzo kikiwa bado hakijafahamika. Akizingumza akiwa…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.