Nuru FM
Nuru FM
12 January 2025, 11:37 am
Na Mwandishi wetu Watu wenye ulemavu mkoa wa Iringa wameendelea kunufaika na jitihada za mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa, Mh Dr. Ritta Kabati za kutoa vifaa saidizi katika kundi hilo. Kabati ameendelea kutoa vifaa saidizi kwa kukabidhi baiskeli…
12 January 2025, 11:17 am
Na Godfrey Mengele Mkuu wa Wilaya ya Iringa Komred Kheri James ameipongeza USAID Tanzania kupitia Mradi wa Feed the Future Tanzania imarisha Sekta binafsi, pamoja na wadau wao Agriedo Hub kwa kuwezesha vikundi vya vijana na Wanawake wilayani humo. Akizungumza…
12 January 2025, 11:04 am
Na Adelphina Kutika Mkuu wa wilaya ya Iringa Komred Kheri James amewataka wadau wa elimu wilayani Iringa kujipanga kikamilifu ili kupandisha ufaulu na kusimamia malezi na maadili ya watoto. Komred Kheri James ameyasema hayo katika kikao kazi cha Wakuu wa…
12 January 2025, 10:57 am
Na Zahara Said na Halima Abdallah Ikiwa tupo katika msimu wa mvua, wananchi Manispaa ya Iringa wametakiwa kuchukua tahadhari ikiwemo kuacha kufungulia maji taka ili kuepukana na magonjwa ya mlipuko hasa kipindu pindu. Wakizungumza na kituo hiki baadhi ya wananchi…
31 December 2024, 10:01 am
Na Adelphina Kutika Wakazi wa Kijiji cha Lusinga, Kata ya Dabaga, Wilaya ya Kilolo, wanaoishi katika mikoa mbalimbali ya Tanzania, wamekusanyika kwenye kijiji hicho kusherehekea sikukuu za mwisho wa mwaka kwa lengo la kukumbushana malezi bora na maadili yenye misingi…
24 December 2024, 8:55 am
Na Godfrey Mengele Takribani wananchi 4,610 wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wamefaidika na kampeni ya Msaada wa kisheria ya mama Samia iliyokuwa na lengo la kuwasaidia wananchi utatuzi wa kisheria wa masuala mbalimbali Hayo yamezungumzwa na Mkuu wa wilaya…
19 December 2024, 9:09 am
Na Zahara Said na Halima Abdallah Kuelekea sikukuu za Mwisho wa Mwaka, Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Iringa limewataka madereva kuwa makini pindi wanapoendesha vyombo vya moto ili kupunguza ajali barabarani. Hayo yamezungumwa na Mtahini wa…
19 December 2024, 9:01 am
Na Hafidh Ally Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeeleza kuwa uwepo wa mawakala kwenye vituo vya kuandikisha wapiga kura ni kielelezo cha uwazi na haki katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Akizungumza wakati…
16 December 2024, 12:54 pm
Na Hafidh Ally Tume huru ya Taifa ya uchaguzi imewataka wananchi Mkoani Iringa kutojiandikisha zaidi ya mara moja katika zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura linalotarajia kuanza Dec 27 mwaka huu. Akizungumza katika mkutano wa Tume…
16 December 2024, 10:27 am
Na Ayoub Sanga Jeshi Polisi Mkoa wa Iringa linawatafuta Askari namba F. 4987 Sajenti Rogers Joshua Mmari wa kituo cha Polisi Ipogolo na Askari wa Jeshi la Akiba (Mgambo) Thomas Mkembela kwa tuhuma za kumuua Nashon Kiyeyeu (23) Mkazi wa…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.