Nuru FM

Recent posts

12 January 2025, 11:37 am

Mbunge Kabati akabidhi baiskeli kwa mwenye Ulemavu Ibumu

Na Mwandishi wetu Watu wenye ulemavu mkoa wa Iringa wameendelea kunufaika na jitihada za mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa, Mh Dr. Ritta Kabati za kutoa vifaa saidizi katika kundi hilo. Kabati ameendelea kutoa vifaa saidizi kwa kukabidhi baiskeli…

12 January 2025, 11:17 am

USAID yapongezwa kwa kuwezesha vijana na wanawake Iringa

Na Godfrey Mengele Mkuu wa Wilaya ya Iringa Komred Kheri James ameipongeza USAID Tanzania kupitia Mradi wa Feed the Future Tanzania imarisha Sekta binafsi, pamoja na wadau wao Agriedo Hub kwa kuwezesha vikundi vya vijana na Wanawake wilayani humo. Akizungumza…

12 January 2025, 11:04 am

Iringa yajipanga kupandisha ufaulu

Na Adelphina Kutika Mkuu wa wilaya ya Iringa Komred Kheri James amewataka wadau wa elimu wilayani Iringa kujipanga kikamilifu ili kupandisha ufaulu na kusimamia malezi na maadili ya watoto. Komred Kheri James ameyasema hayo katika kikao kazi cha Wakuu wa…

12 January 2025, 10:57 am

Wananchi Iringa waaswa kuacha tabia ya kufungulia maji taka

Na Zahara Said na Halima Abdallah Ikiwa tupo katika msimu wa mvua, wananchi Manispaa ya Iringa wametakiwa kuchukua tahadhari ikiwemo kuacha kufungulia maji taka ili kuepukana na magonjwa ya mlipuko hasa kipindu pindu. Wakizungumza  na kituo hiki baadhi ya wananchi…

31 December 2024, 10:01 am

Iringa wakusanyika kuenzi utamaduni wa Wahehe

Na Adelphina Kutika Wakazi wa Kijiji cha Lusinga, Kata ya Dabaga, Wilaya ya Kilolo, wanaoishi katika mikoa mbalimbali ya Tanzania, wamekusanyika kwenye kijiji hicho kusherehekea sikukuu za mwisho wa mwaka kwa lengo la kukumbushana malezi bora na maadili yenye misingi…

24 December 2024, 8:55 am

Wananchi 4,610 wapatiwa msaada wa Kisheria Iringa

Na Godfrey Mengele Takribani wananchi 4,610 wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wamefaidika na kampeni ya Msaada wa kisheria ya mama Samia iliyokuwa na lengo la kuwasaidia wananchi utatuzi wa kisheria wa masuala mbalimbali Hayo yamezungumzwa na Mkuu wa wilaya…

19 December 2024, 9:09 am

Madereva Iringa waaswa kuongeza umakini barabarani

Na Zahara Said na Halima Abdallah Kuelekea sikukuu za Mwisho wa Mwaka, Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Iringa limewataka madereva kuwa makini pindi wanapoendesha vyombo vya moto ili kupunguza ajali barabarani. Hayo yamezungumwa na Mtahini wa…

19 December 2024, 9:01 am

INEC yasisitiza uwazi katika uboreshaji daftari la mpiga kura

Na Hafidh Ally Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeeleza kuwa uwepo wa mawakala kwenye vituo vya kuandikisha wapiga kura ni kielelezo cha uwazi na haki katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Akizungumza wakati…

16 December 2024, 10:27 am

Askari polisi Iringa asakwa kwa tuhuma za mauaji

Na Ayoub Sanga Jeshi Polisi Mkoa wa Iringa linawatafuta Askari namba F. 4987 Sajenti Rogers Joshua Mmari wa kituo cha Polisi Ipogolo na Askari wa Jeshi la Akiba (Mgambo) Thomas Mkembela kwa tuhuma za kumuua Nashon Kiyeyeu (23) Mkazi wa…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.