Nuru FM

Recent posts

23 January 2025, 11:26 am

Lissu atakiwa kuzisemea changamoto Cha wananchi

Na Cleef Mlelwa Wanachama wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA mjini Makambako wamemtaka Mwenyekiti wao Tundu Lissu kuhakikisha wanajenga ofisi zake na kuwa tumaini kwa wananchi kwa kuzisemea changamoto zinazoikabili jamii hasa katika sekta ya afya,elimu na kilimo. Wakizungumza…

20 January 2025, 12:13 pm

Tuna Finance Hub kutoka UoI kuwanufaisha vijana

Na Joyce Buganda Umoja wa Tuna Finance Hub kutoka Chuo Kikuu cha Iringa wamejidhatiti kuhakikisha vijana wa Iringa wanakombolewa kiakili na kifikra katika utafutaji na jinsi ya kupata maendeleo katika sekta mbalimbali. Akizungumza wakati wa kutoa elimu hiyo  katika chuo…

17 January 2025, 12:46 pm

One Acre Fund yatoa miti Kilolo kutunza mazingira

Na Joyce Buganda Wananchi wa kijiji cha Itimbo, kata ya Ihimbo wilayani Kilolo Mkoani Iringa wamenufaika na msaada wa miti uliotolewa na Shirika la One Acre Fund. Wakizungumza wakazi wa kijiji hicho wakati wa kupokea miti hiyo Wamesema miti hiyo…

17 January 2025, 12:14 pm

Mafinga Mji yafanya ufuatiliaji wa wanafunzi waliopangiwa shule mwaka 2025

Na Sima Bingilek Halmashauri ya Mji Mafinga Mkoani Iringa imefanya Ufuatiliaji wa wanafunzi wa kidato cha kwanza waliopangiwa katika Shule zetu za Sekondari tangu kufunguliwa kwa shule Jan 13 mwaka huu. Akizungumza wakati wa Ufuatiliaji huo Afisa Elimu Sekondari Halmashauri…

16 January 2025, 5:05 pm

Msigwa amuunga mkono Lissu uchaguzi Chadema

Joto la Uchaguzi wa Chadema limezidi kupanda baada ya Aliyekuwa mwanachama wa Chadema ambaye kwa sasa ni Kada wa CCM Peter Msigwa kuonesha nia ya kutamani Lissu awe mwenyekiti wa Chama hicho. Na Hafidh Ally Mwanasiasa mkongwe na Kada wa…

16 January 2025, 12:46 pm

Iringa kupanda miti milion 42 kutunza mazingira

Na Joyce Buganda Serikali ya mkoa wa Iringa inatarajia kupanda zaidi ya miti millioni 42 kwa kipindi Cha mwaka 2025 ikiwa ni sehemu ya kuunga juhudi za serikali ya awamu ya 6 Ili kutunza mazingira. Hayo yamezungumzwa na Mkuu wa…

16 January 2025, 12:37 pm

Wafanyabiashara Iringa mjini wavunjiwa vibanda vyao usiku

Na Azory Orema Wafanyabiashara wadogo pamoja na ofisi zilizokuwa katika eneo la MR mpaka wa kata ya miyomboni na kata ya makorongoni halmashauri ya manispaa ua iringa wamelelamikia vibanda vyao kubomolewa pasipo kupewa notice ya ubomoaji. Zoezi hilo la ubomoaji…

14 January 2025, 10:48 am

DC Linda awapa wiki moja wazazi kuwapeleka wanafunzi shule

Na Sima Bingilek Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Dkt. Linda Salekwa ametoa wiki Moja kwa wazazi na walezi kuhakikisha wanawapeleka shule wanafunzi wote waliochaguliwa kujinga na masomo kwa mwaka 2025. Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa…

14 January 2025, 10:17 am

Mafinga Mji yahakiki vikundi 62 vipewe mikopo

Halmashauri ya Mji wa Mafinga Mkoani Iringa inatekeleza programu ya utoaji mikopo kwa wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kama ilivyo kwa Halmashauri zote nchini kutokana na mapato ya ndani. Na Joyce Buganda Halmashauri ya Mji wa Mafinga Mkoani Iringa…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.